CCTV cameras events playblacks special thread

CCTV cameras events playblacks special thread

kanikumbusha bibi yangu tulikua tukimtembelea, ikifika asubuhi hataki mfanyakazi akamulie maziwa wajukuu wake hivyo anatoa tangazo mapema usiku " kesho asubuhi sitaki mtu kwenze zizi naingia mwenyewe kuwakamulia wajukuu zangu maziwa " sasa siku hiyo kajihimu bibi yule alikua na 80s, kakamua ng'ombe zake kindoo cha lita 10 kimejaa anataka kutoka tu akashangaa kindoo kimekula shuti sisi huku nje hatuna hili wala lile tunasikia matusi na mijeledi inatembea humo ndani bandani nilicheka siku hiyo hatari! Nilikua nasikia " shuwaini koromaita " " fuqfruit madona " alafu mijeledi inaendelea hahaha! Apumzike huko alipo alikua anavituko sana yule mama
 
Video hii imekuwa ikisambaa kwenye mitandao ya kijamii hata you tube ipo na ni story ya kweli kabisa kama inavyoonekana Kwenye Video huyo na mwanaume anaeonekana kwenye Video ni muigizaji wa movies toka nchi ya Nigeria na dada anaeonekana ni mpenzi wake na anaesikika Kwenye hiyo Video record ni manager wa hotel kama anavyojitambulisha jamaa kaenda kukojoa mwanamke kamuwekea sumu kwenye kinywaji CCTV Carmera zikawa zinamwona ndo Manager wa hotel akamuwahi kwenda kumzuia asinywe dem anaambiwa anywe kinywaji ili ku prove ukweli kama hajaweka sumu dem anagoma kunywa kijasusi hii ina funzo kubwa tusiwaamini hawa marafiki zetu ki rahisi rahisi.CCTV Camera ni muhimu sana. Kukosa huyo meneja kuingilia tukio hilo huyo jamaa angekunywa pombe hiyo iliyowekwa sumu na huyo mwanamke

 
Back
Top Bottom