Bill
JF-Expert Member
- Oct 5, 2007
- 10,703
- 11,809
Kama ni wizi mtupu ni nani kaiba kura za CHADEMA?
Haha kaka Gembe aliyeiba kura za CHADEMA ni CCM
Kama ni wizi mtupu ni nani kaiba kura za CHADEMA?
Hii kauli si sahihi.
Walioshindwa uchaguzi ni wana-Busanda wenyewe na huo ndio ukweli. Tusikwepekwepeshe mpira golini wajameni. The next thing fot them is to suffer the consequences, or rather to continue to suffer..lol
Haha kaka Gembe aliyeiba kura za CHADEMA ni CCM
Mtindio,
Unadhani kauli ipi ni sahaihi zaidi ya hiyo?mbona unapotea??
Kama una mtoto mdogo ambaye ndiyo kwanza anakua,unajitahidi kumpa ushauri na hataki kukusikiliza utasemaje?
anajifunza tabia ambayo anapewa na marafiki zake walioshindwa utamfundihsa vipi?unamwaacha anapigwa na Dunia.Na ndiyo upinzani wetu huo,kila siku tunawafundisha wapendane ila wao hawataki?
Pasco,Morning,
Usiku umepita, nimelala kwa taabu sana nikitafakari nilichokiona nilicho sikia na kilichotokea.
Asubuhi hii nimeanzia kwa Msimamizi wa Uchaguzi jimbo la Busanda. Tumeingia kwenye ukumbi wa Halmashauri ambapo kazi ya kujumlisha matokeo inatarajiwa kuanza wakati wowote. Mpaka sasa, hakuna mgombea yoyote aliyeshafika hapa wala mawakala wao.
Mgombea wa Chadema amezima simu tangu jana usiku baada ya taarifa kichapo
Kikao kimeanza.
Pasco,
mtindio,
CCM inachukua na wote sasa inachokkifanya ni kuwasaidia kwa kuwapa Ruzuku na ni mapenzi makubwa sana.Kuhusu kupendana ni kweli kama wasipopendana ni vigumu kuiondoa CCM
Zoezi la kuhesabu halijaanza kwa sababu mpaka sasa ni CCM tuu ndio wametuma wawakilishi.
Juhudi za ziada kuwatafuta kwa simu zinaendelea bila mafanikio.
Nadhani zoezi litaanza bila UDP, CUF na Chadema,
Pasco said:Morning,
Usiku umepita, nimelala kwa taabu sana nikitafakari nilichokiona nilicho sikia na kilichotokea.
Asubuhi hii nimeanzia kwa Msimamizi wa Uchaguzi jimbo la Busanda. Tumeingia kwenye ukumbi wa Halmashauri ambapo kazi ya kujumlisha matokeo inatarajiwa kuanza wakati wowote. Mpaka sasa, hakuna mgombea yoyote aliyeshafika hapa wala mawakala wao.
Mgombea wa Chadema amezima simu tangu jana usiku baada ya taarifa kichapo
Kikao kimeanza.
Gembe said:Pasco,
Habari nilizozipata Muda wa asubuhi toka kwa Mkulu mmoja aliyeko hapo ni kuwa CCCM imeshinda kwa zaidi ya kura 10,000.
mtindio,
CCM inachukua na wote sasa inachokkifanya ni kuwasaidia kwa kuwapa Ruzuku na ni mapenzi makubwa sana.Kuhusu kupendana ni kweli kama wasipopendana ni vigumu kuiondoa CCM
Zoezi la kuhesabu halijaanza kwa sababu mpaka sasa ni CCM tuu ndio wametuma wawakilishi.
Juhudi za ziada kuwatafuta kwa simu zinaendelea bila mafanikio.
Nadhani zoezi litaanza bila UDP, CUF na Chadema,
Unafahamu ofisi hizo za CCM zilijengwa kwa mtindo upi? Michango ya lazima ikiwepo kukamata kuku na mbuzi wa wananchi kwa lazima ili ofisi hizo zijengwe. Jiulize CHADEMA wanaweza hivyo?Tatizo la CHADEMA
wanafikiri wananchi wote ndio wafuasi wa JF,kumbe JF ngoma karibu zote ziko nje?
Waulizeni CHADEMA ofsi zao ktk jimbo hilo zipo ngapi? mambo ya zima moto hayo,wakishindwa huko watakuja kusema wameibiwa kura
Heheheee, Mkuu inaelekea ulisoma na kuelewa vizuri yale mahesabu ya logic, yaani statement kuwa valid au kuwa fallacy!Kama hapokei maana yake hapatikani.
Na kama "pande zote" hazipatikani, basi na CCM wasingepatikana.
Na kama CCM wanapatikana ina maana tatizo sio umeme...