CCM yanguruma Busanda; Wapinzani chali!

CCM yanguruma Busanda; Wapinzani chali!

That is all politics. Kupoteza ni sehemu ya mchezo wenyewe, ingawa historia siku zote huwapamba washindi.

Magessa ni G.211 na nina uhakika anajua jinsi ambavyo ushindi may be tricky. However kuteleza si kuanguka, take a lesson. Uchaguzi mwingine ni mwakani tuu.

Wanaoshauri umoja wa vyama vya upinzani sijui wanatumia basis zipi. Hivi tuna maana kwamba kama CUF na UDP wangeungana na CHADEMA matokeo yangebadilika? Hakuna kitu hapo. CHADEMA ni CHADEMA na CUF ni CUF. kuungana si lazima kumaanishe nguvu. Wakati mwingine umoja huwa ni udhaifu.

Pamoja na dharau na prejudice tulizo nazo humu, mabadiliko ya kweli yataanzia mashambani. Kule ambako upinzani umefanikiwa kupenetrate vijijini ndiko mabadiliko yaliko tokea. Kwa hiyo challenge kwa upinzani ni kutengeneza packages zinazouzika vijijini zaidi. Mijini kuna ma-activist wachache ambao ni very noisy, na majority ni watu wa status quo; Wafanyakazi walio makazini na wafanya biashara wenye biashara zao wote wanaangalia mwisho wa kazi zao na biashara zao.

Tanzania hatuna labour movements; hivyo tusitarajie eti wafanyakazi kuleta mabadiliko.

Uchaguzi ulikuwa ni two way mapambano. Kulikuwa na tactics nyingi! Kupiga magoti was one of them, tumeona effect yake?

Vyama CCM, ilibadilisha kidogo tactics walizotumia Tarime. We saw some new faces ambazo hazikutia mguu Tarime; zimewasaidia CCM kushinda?? Hilo ni juu ya CCM wenyewe kuamua.
 
Msimamizi wa Uchaguzi ameamua kusitisha zoezi la majumuisho, amekwenda kuwaandikia barua nyingine CUF, UDP na Chadema, kuwatahadharisha zoezi litaanza bila uwepo wao.
CCM waliopo, wametaka zoezi la majumuisho lianze kwa utaratibu wa asiyekuwepo na lake halipo.
Wamesisitiza utumike utaratibu kama wa kwenye mechi za mpira, hata kama timu haijafika uwanjani, muda ikiwadia kipenga cha kuanza mechi kinapulizwa kikifuatiwa na vipenga vitatu vya kipenga cha mwisho, mpira umekwisha, aliyekuwepo ndiye mshindi.

Vyama vilivyoshindwa vinataka kutuletea mchezo wa kitoto kususia kuhesabu kura ili wasisaini fomu za matokeo ili wakimbilie mahakamani kutaka kubatilisha uchaguzi huu ambao kampeni zake zilitawaliwa na kila aina ya uvunjaji waa sheria ambazo ushahidi ukipelekwa mahakamani, uchaguzi unabatilishwa.
Ikumbukwe kuwa kipindi kilichobakia cha Bunge lililopo ni kifupi, hakuna chaguzi ndogo nyingine yoyote zaidi ya Biharamulo. Ni fainali tuu 2010.
Mlio karibu na kina Zitto, Mzee Invicible, mwambie rafiki yako aje kura zihesabiwe na wakubali matokeo. Nilijipanga kuondoka Busanda milango ya saa 5 ili niwahi feri ya saa 8 na kuishia zangu
Hiki kitendo cha hivi vyama kitapelekea matokeo kuchelewa na mimi nitaondoka bila kumalizia matokeo rasmi.
Ka-nzi ka Mwanakijiji kama unanisikia nakuomba uendeleze nitakapoishia ili JF tuendelee kutamba we arre the first to know.

Ile live ya TBC-1 kumbe siyo kwa ajili ya CCM, bali ni kutangazwa kwa live kwa matokeo. Hivyo kaeni mkao wa kula na TBC-1 Mkongwe aliyebobea na asiyeegemea upande wowote, Richard Leo atawavurumishia matokeo live from Geita.
 
Issue sio wapinzani wapi tumewachagua, wala sina maana kuchagua upinzani ndio kuamka, ama kuichagua CCM ndio kulala usingizi.
Nimesema mimi pia naichagua CCM kwa sababu sijaona mbadala. Wapinzani hawachaguliwi kwa sababu hawajaonyesha wanaweza, nimehudhuria kampeni ya Chadema nikathibitisha wameonyesha wanaweza na wakasema wanaweza watu wa mijini wakawasikia wakawakubali wakawachagua. Watu wa vijijini, wamewasikia, au hawakuwaelewa, au hawakuwakubali wakawapiga chini. Kwa nilichosikia na kuona, ndipo nikakubali ndugu zangu bado wamelala.
Mimi ni pro-democracy siichukii CCM wala sishabikii Chadema, bali natamani tupate heathy opposition kama Democrat na Republican Us na Labor na Conservative UK.
Ili tupate demokrasia ya kweli ndani ya bunge.
Maadamu wapinzani wameanza kuonyesha wanaweza, wananchi wapatiwe civic education ya elimu ya demokrasia, waamke wachague vyama kwa sababu sio kwa mazoea.
2010 maeneo yenye literacy level ya hali ya juu na hali ya kiuchumi yenye ehueni, ushindi wa CCM sio walkover wapinzani watachance, sehemu zenye low literacy level na umasikini wa kutupa ni CCM tuu kwa sababu uelewa ni mdogo ndio maana nasisitiza elimu ya uamsho.

Huko mjini walikowaelewa ni wapi? Acheni visingizio vya kitoto eti wakaelimishwe akina nani? Hawa hawa mnaotaka kuwaelimisha mwaka 1995 ndio waliwaletea wapinzani BUNGENI ,ILALA,kinondoni ,temeke, mwanza zote,dodoma mkapeleka CCM bungeni, Wanakijiji wakaona wapinzani wanawa wayeyusha wakaanza kutoa mmoja mmoja kwa kuwa vunja moyo .

Mnatakiwa ninyi wapinzani ndio MJIELIMISHE MNATAKA NINI .Ni wazi watu wa vijijini kidomokrasia wameamka kuliko wa mjini ,hapa mnachofanya ni uonezi tu kwa vile wao hawana media.Mbona siwasikii mkilalama wasomi wa kinondoni wa melala kwa kuchaguwa yule mbunge wao?

Acha kabisa kujaribu kutudaganya kuhalalisha kushindwa kwenu. Biharamulo ni masikini kuliko Geita lakini walichaguwa mpinzani marehemu kabuye,Bariadi napo ni masikini sana lakini yupo mpinzani.Kinondoni,ilala,temeke,nyamagana n.k ni tajiri sana lakini wapo CCM.
 
Msimamizi wa Uchaguzi ameamua kusitisha zoezi la majumuisho, amekwenda kuwaandikia barua nyingine CUF, UDP na Chadema, kuwatahadharisha zoezi litaanza bila uwepo wao.
CCM waliopo, wametaka zoezi la majumuisho lianze kwa utaratibu wa asiyekuwepo na lake halipo.
Wamesisitiza utumike utaratibu kama wa kwenye mechi za mpira, hata kama timu haijafika uwanjani, muda ikiwadia kipenga cha kuanza mechi kinapulizwa kikifuatiwa na vipenga vitatu vya kipenga cha mwisho, mpira umekwisha, aliyekuwepo ndiye mshindi.

Vyama vilivyoshindwa vinataka kutuletea mchezo wa kitoto kususia kuhesabu kura ili wasisaini fomu za matokeo ili wakimbilie mahakamani kutaka kubatilisha uchaguzi huu ambao kampeni zake zilitawaliwa na kila aina ya uvunjaji waa sheria ambazo ushahidi ukipelekwa mahakamani, uchaguzi unabatilishwa.
Ikumbukwe kuwa kipindi kilichobakia cha Bunge lililopo ni kifupi, hakuna chaguzi ndogo nyingine yoyote zaidi ya Biharamulo. Ni fainali tuu 2010.
Mlio karibu na kina Zitto, Mzee Invicible, mwambie rafiki yako aje kura zihesabiwe na wakubali matokeo. Nilijipanga kuondoka Busanda milango ya saa 5 ili niwahi feri ya saa 8 na kuishia zangu
Hiki kitendo cha hivi vyama kitapelekea matokeo kuchelewa na mimi nitaondoka bila kumalizia matokeo rasmi.
Ka-nzi ka Mwanakijiji kama unanisikia nakuomba uendeleze nitakapoishia ili JF tuendelee kutamba we arre the first to know.

Ile live ya TBC-1 kumbe siyo kwa ajili ya CCM, bali ni kutangazwa kwa live kwa matokeo. Hivyo kaeni mkao wa kula na TBC-1 Mkongwe aliyebobea na asiyeegemea upande wowote, Richard Leo atawavurumishia matokeo live from Geita.

Sasa mbona humu ndani ya JF tunaleta politics??? Matokeo yametoka au vipi?????
 
All in all, well done to CHADEMA kwa upinzani walioutoa kwa CCM. This is a very strong message kwa CCM na serikali yake.
 
Upinzani unahitajika kutoa elimu ya uraia vijijini ili wananchi waelewe ni nini haki yao ili wasiogope vitisho vya CCM chaguzi zijazo.
 

- Busanda sikujui lakini ninawaamini wananchi wa huko kwamba wanajua what is better kwao, nimewahi ksuema hivi hapa JF, kwamba niliwahi kukutana na mwamanchi mmoja aliyeniambia hivi yeye ana njaa kijijini mgombea ubunge anakuja na kumpa kilo tano za mchele, akasema eti ataacha kumpigia kura kwa sababu ya maneno ya huku JF no way,

- Busanda CCM wameshinda kwa sababu wananchi wameamini zaidi kuliko wengine wote, sasa labda uwasaidie mawazo Chadema, lakini sio kuwatukana wananchi wa Busanda, hata mikoa ya Kaskazini yote ni CCM tu hamna lolote, viongozi wote wa upinzani ni CCM tu.

Respect.

FMES!
FMES, Wasukuma pamoja na umasikini wetu, we are not that cheap!. Sisi ni masikini jeuri, tuko tayari kufa njaa kuliko kuendekeza njaa. Naamini huyo mwananchi anauza uhuru wake kwa shibe ya siku moja sio Msukuma.

Ni kweli CCM imeshinda kwa sababu wananchi wamewaamini. Kwa upande wangu siwatukani lakini ignorance ya ndugu zangu inachangia, Wasukuma sio watu wa makuu, tangu enzi za almasi walichezea bao na wazungu wakawapa gololi kubadili kwa Almasi.
Geita is filthy rich ana wananchi wanaogelea kwenye stinking poverty. Hivi kweli hiki ndio wanachokitaka Wanabusanda, no, hawajua watakacho, hawajui utajiri wao, demokrasia kwao siyo issue, wanachohitaji ni kuelimishwa elimu ya uraia, kueleweshwa wao wana nini, na kuamka usingizini kudai haki zao.
Nimekaa Dodoma vijijin enzi hizo, its the same scanerio na Busanda, hakuna maji, hakuna umeme, hakuna chochote simply nothing. Kuoga ni luxury. Siwashangai Kinamatonya wakiwa ombaomba kwa sababu some of them hawana altenative. In Dodoma there is nothing sio Geita, why watu wawe masikini kama watu wa Dodoma ama Singida?.
Please dont take it personal its just a scanerio.
CCM itachaguliwa Milele, Kidumu Chama Cha Mapinduzi!.
 
:"....Vyama CCM, ilibadilisha kidogo tactics walizotumia Tarime. We saw some new faces ambazo hazikutia mguu Tarime; zimewasaidia CCM kushinda?? Hilo ni juu ya CCM wenyewe kuamua."

_________________________

Kipimapembe: KuleTarime Chadema walishinda kwa sababu wapiga kura walikuwa na mapanga nje nje wakati kura zinahesabiwa, kwa hivyo maajenti wa CCM (maafisa wa NEC) waliogopa kuiba. Busanda haikuwa hivyo!
 
nimesikia kupitia kipindi cha toka magazetini kuwa CCM wako mbele kwa kula 9000, na vimebaki vituo vitatu tu, tena vya vijijini! ni wazi ccm wameibuka kidedea tena! Hongera Mguchika na Kilango Kigumu Chama Cha Mapinduzi! wote mikonooooz KIGUMU!
 
FMES, Wasukuma pamoja na umasikini wetu, we are not that cheap!. Sisi ni masikini jeuri, tuko tayari kufa njaa kuliko kuendekeza njaa. Naamini huyo mwananchi anauza uhuru wake kwa shibe ya siku moja sio Msukuma.

Ni kweli CCM imeshinda kwa sababu wananchi wamewaamini. Kwa upande wangu siwatukani lakini ignorance ya ndugu zangu inachangia, Wasukuma sio watu wa makuu, tangu enzi za almasi walichezea bao na wazungu wakawapa gololi kubadili kwa Almasi.
Geita is filthy rich ana wananchi wanaogelea kwenye stinking poverty. Hivi kweli hiki ndio wanachokitaka Wanabusanda, no, hawajua watakacho, hawajui utajiri wao, demokrasia kwao siyo issue, wanachohitaji ni kuelimishwa elimu ya uraia, kueleweshwa wao wana nini, na kuamka usingizini kudai haki zao.
Nimekaa Dodoma vijijin enzi hizo, its the same scanerio na Busanda, hakuna maji, hakuna umeme, hakuna chochote simply nothing. Kuoga ni luxury. Siwashangai Kinamatonya wakiwa ombaomba kwa sababu some of them hawana altenative. In Dodoma there is nothing sio Geita, why watu wawe masikini kama watu wa Dodoma ama Singida?.
Please dont take it personal its just a scanerio.
CCM itachaguliwa Milele, Kidumu Chama Cha Mapinduzi!.

Mara nyingi ni better uwe ktk mazingira ya umasikini kuliko ya utajiri maana Manyang'au wote huwa wameyaangalia maeneo hayo. Kwa njisi hiyo hiyo kwanini hushangai IRAQ pamoja na utajiri wao mkubwa wako ktk hali teh teh ama kwanini CONGO DRC maisha yao ni teteh hata wenda yakalingana ama kuzidiwa na ya mtanzania pamoja na utajiri wao.?
 
Msimamizi wa Uchaguzi ameamua kusitisha zoezi la majumuisho, amekwenda kuwaandikia barua nyingine CUF, UDP na Chadema, kuwatahadharisha zoezi litaanza bila uwepo wao.
CCM waliopo, wametaka zoezi la majumuisho lianze kwa utaratibu wa asiyekuwepo na lake halipo.
Wamesisitiza utumike utaratibu kama wa kwenye mechi za mpira, hata kama timu haijafika uwanjani, muda ikiwadia kipenga cha kuanza mechi kinapulizwa kikifuatiwa na vipenga vitatu vya kipenga cha mwisho, mpira umekwisha, aliyekuwepo ndiye mshindi.

Vyama vilivyoshindwa vinataka kutuletea mchezo wa kitoto kususia kuhesabu kura ili wasisaini fomu za matokeo ili wakimbilie mahakamani kutaka kubatilisha uchaguzi huu ambao kampeni zake zilitawaliwa na kila aina ya uvunjaji waa sheria ambazo ushahidi ukipelekwa mahakamani, uchaguzi unabatilishwa.
Ikumbukwe kuwa kipindi kilichobakia cha Bunge lililopo ni kifupi, hakuna chaguzi ndogo nyingine yoyote zaidi ya Biharamulo. Ni fainali tuu 2010.
Mlio karibu na kina Zitto, Mzee Invicible, mwambie rafiki yako aje kura zihesabiwe na wakubali matokeo. Nilijipanga kuondoka Busanda milango ya saa 5 ili niwahi feri ya saa 8 na kuishia zangu
Hiki kitendo cha hivi vyama kitapelekea matokeo kuchelewa na mimi nitaondoka bila kumalizia matokeo rasmi.
Ka-nzi ka Mwanakijiji kama unanisikia nakuomba uendeleze nitakapoishia ili JF tuendelee kutamba we arre the first to know.

Ile live ya TBC-1 kumbe siyo kwa ajili ya CCM, bali ni kutangazwa kwa live kwa matokeo. Hivyo kaeni mkao wa kula na TBC-1 Mkongwe aliyebobea na asiyeegemea upande wowote, Richard Leo atawavurumishia matokeo live from Geita.
Mkuu Pasco,kabla hujaondoka uwanjani hebu tufafanulie katika hiyo red
 
nimesikia kupitia kipindi cha toka magazetini kuwa CCM wako mbele kwa kula 9000, na vimebaki vituo vitatu tu, tena vya vijijini! ni wazi ccm wameibuka kidedea tena!!
Yeah, lakini kipindi cha kutoka magazetini hakina update yoyote, kwani wanasoma magazeti haya haya ya leo yaliyokuwa na latest news za jana usiku. Tunataka update za sasa si tena kwa lengo la kujua nani kashinda, ila sasa kwa ajili ya analysis. Ikumbukwe mwaka 2005 CCM walipata asilimia 79, CHADEMA asilimia 4 na CUF asilimia 16. Sasa hapa tunasubiri asilimia za kura mwaka huu ili kuangalia trend inaendaje. Roughly inaonyesha CCM itakuwa imepata about 55% na CHADEMA 38% na the rest wamegawana CUF na UDP (nimesema roughly kutokana na matokeo ya awali). Hata hivyo tusubiri matokeo rasmi tuangalie trend.
 
kama hankuna mtu mwenye matokeo rasmi tusihisi matokeo
tupewe data za kweli maana wengine hatujui porojo

watu walioko busanda tunawategemea sana
thanks
 
Back
Top Bottom