Kaniki1974
JF-Expert Member
- Dec 2, 2008
- 352
- 22
Kwa ufupi,
CCM wameshinda... Am out
What? Mbona kilio sasa...B.A.D. Tutapinga matokeo mahakamani.
Kwa ufupi,
CCM wameshinda... Am out
Kwa sasa CCM ndio mzizi wa matatizo ya Watanzania. it's time kuing'oa CCM by other means...ballot box can't work now.
Mh. Zitto, Benson Kigaila, Dr. Slaa, Mbowe. Na nani vile... Dada Asha Abdallah.Mtafute Ka-inzi na utabiri wake... Leo mnalala nalo tu donge la koo! CCM kidedea
At last nimempata Zitto, kakiri CCM wameshinda. Yeah, kwa wapenda kuona mabadiliko inaweza kuwakera au kuwauma, lakini jiulizeni kabla ya uchaguzi upinzani katika jimbo hilo ulikuwa katika hali gani? Nadhani kuna maendeleo makubwa. Suala si kuondoa CCM kabisa, suala ni kuonesha kuwa kunahitajika mabadiliko haraka iwezekanavyo! Mabadiliko ya kuwasaidia wananchiWameshinda kwa bao la mkono!
Soma hapo ChiniKwa sasa CCM ndio mzizi wa matatizo ya Watanzania. Kibunango kama wapinga hili, nitakuongeza katika orodha ya Mengi....Upinzani ukishindwa Busanda, it's time kuing'oa CCM by other means...ballot box can't work now.
Nina kila sababu ya kwenda kupata ze laga jioni ya leo... Panapo majaliwa Ka-inzi atatuletea habari ya kukubali ama kukata rufaa.Kwa ufupi,
CCM wameshinda... Am out
jus kiddin, dont start tantrums, plz.What did u just say?
At last nimempata Zitto, kakiri CCM wameshinda. Yeah, kwa wapenda kuona mabadiliko inaweza kuwakera au kuwauma, lakini jiulizeni kabla ya uchaguzi upinzani katika jimbo hilo ulikuwa katika hali gani? Nadhani kuna maendeleo makubwa. Suala si kuondoa CCM kabisa, suala ni kuonesha kuwa kunahitajika mabadiliko haraka iwezekanavyo! Mabadiliko ya kuwasaidia wananchi
At last nimempata Zitto, kakiri CCM wameshinda. Yeah, kwa wapenda kuona mabadiliko inaweza kuwakera au kuwauma, lakini jiulizeni kabla ya uchaguzi upinzani katika jimbo hilo ulikuwa katika hali gani? Nadhani kuna maendeleo makubwa. Suala si kuondoa CCM kabisa, suala ni kuonesha kuwa kunahitajika mabadiliko haraka iwezekanavyo! Mabadiliko ya kuwasaidia wananchi
MkamaP,Tatizo la CHADEMA
wanafikiri wananchi wote ndio wafuasi wa JF,kumbe JF ngoma karibu zote ziko nje?
Waulizeni CHADEMA ofsi zao ktk jimbo hilo zipo ngapi? mambo ya zima moto hayo,wakishindwa huko watakuja kusema wameibiwa kura
Nadhani tunaweza kuendelea kuanzia hapo, tutafika tu, hata hiyo jamii ya vijijini itafikiwa. Mabadiliko siyo kitu cha mara moja ni process. Tusikate tamaa, tukaze mwendo, safari ni ndefu, lakini anguko la hawa jamaa haliko mbali sana!!! Kuna mwanga mbele.
At last nimempata Zitto, kakiri CCM wameshinda. Yeah, kwa wapenda kuona mabadiliko inaweza kuwakera au kuwauma, lakini jiulizeni kabla ya uchaguzi upinzani katika jimbo hilo ulikuwa katika hali gani? Nadhani kuna maendeleo makubwa. Suala si kuondoa CCM kabisa, suala ni kuonesha kuwa kunahitajika mabadiliko haraka iwezekanavyo! Mabadiliko ya kuwasaidia wananchi
Tatizo la CHADEMA
wanafikiri wananchi wote ndio wafuasi wa JF,kumbe JF ngoma karibu zote ziko nje?
Waulizeni CHADEMA ofsi zao ktk jimbo hilo zipo ngapi? mambo ya zima moto hayo,wakishindwa huko watakuja kusema wameibiwa kura
Tatizo la CHADEMA
wanafikiri wananchi wote ndio wafuasi wa JF,kumbe JF ngoma karibu zote ziko nje? Waulizeni CHADEMA ofsi zao ktk jimbo hilo zipo ngapi? mambo ya zima moto hayo,wakishindwa huko watakuja kusema wameibiwa kura
Hakuna cha kufika hapo NCCR mwaka 1995 ilikuwa chachu kuliko leo 2010 CHADEMA. Huwezi kusema watu ndio wanaanza kuamka wakati 1995 tuliona wabunge wengi wa upinzani.Kusema hivyo nikujaribu kujidaganya tu.