kina kirefu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2018
- 11,732
- 13,214
Kumbe wametimuliwa na taarifa unazo...utasemaje waliokua makada ,kwani sio makada!
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyohuyo atafanyakazi akikataa atanitambuakama
....two options.
1.wanazuiwa kufanya siasa for sometime -mpaka uchaguzi upite
2.watasema tumewasamehe lakn mmeonywa
.....hawana uwezo wa kuwafanya nje ya hayo mawili coz wanajua nguvu ya Kinana si ya kitoto
Sent using Jamii Forums mobile app
Already?Wamesamehewaaaaaa..... Ukisikia ccm ina wenyewe ndio hao sasa
Jr
Pigo lipi sasa wakati maagizo na maamuzi yanatoka kwa mtu mmojaEither watapewa kesi ya kutakatisha fedha na kuwekwa sero mpaka uchaguzi upite au watasamehewa kwakuwa wakiwapoteza hao itakuwa pigo kwa fisiem
Naonya CCM wasifanye Maamuzi ya Hasira na Kukomoa dhidi ya hawa Makada Waandamizi kwani wanaweza wakaja Kujuta kama si Kujutia hapo baadae. Nimeonya hivi hasa baada ya kupata za chini chini kuwa Maamuzi yatakayotolewa dhidi yao yatakuwa ni ya Kuwakomoa zaidi badala ya kuwa ya Kibusara kwa Afya na Ustawi wa Chama Cha Mapinduzi ( CCM )
Musiba yupoKampeni meneja mwaka huu wa mgombea uraisi wa CCM anakuwa nani? Mh. Kinana ametumika kama kampeni meneja wa Mh Kikwete na baadaye Mh Magufuli; jee CCM itamteua nani kuchukua nafasi ya Kinana?
Mmm labda Mh January au Mh Lukuvi. Lakini meneja anatakiwa mtu ambaye hagombei; pengine atakuwa Mh SumayeMusiba yupo
....two options.
1.wanazuiwa kufanya siasa for sometime -mpaka uchaguzi upite
2.watasema tumewasamehe lakn mmeonywa
.....hawana uwezo wa kuwafanya nje ya hayo mawili coz wanajua nguvu ya Kinana si ya kitoto
Sent using Jamii Forums mobile app
Hawa akina Abrahman Kinana na Yusuf Makamba walipaswa wawe washauri wake na siyo kushauriwa na Pole Pole na Bashiru Ally au Makonda. Hata waliyoyaongea kwenye simu alizowarekodi kijinai bado ni ushauri mzuri wa kukijenga chama, Mwenyekiti wa CCM kama angekuwa na akili nzuri angechukulia mawazo ya wale wazee positively kuliko kuwadhalilisha kwa kuyaanika na kutaka wamuombe msamaha.
Hili likiendelea usijeshangaa siku nyingine ikatokea akamdhalilisha JK na Mkapa.
Huyu Jiwe analazimisha kupendwa wakati kiukweli wananchi wamemchoka sana.