youngsharo
JF-Expert Member
- Jan 8, 2015
- 2,491
- 500
Moja ya vitu adimu unavyoweza kupata kutoka kwa Waberoya ni ukubali kukosea au kukubaliana na wewe regardless of our differences
uko sahihi kabisa
Tunarudi sasa upande wa pili
Je mmiliki wa M4C ni nani? CDM walimililisha hiyo Logo?
There are so many logos duniani zenye hiyo M4C maana sio kitu kigeni
ona hii
waangalie na hawa walishaanza kutumia kabla yako
https://en.wikipedia.org/wiki/Movement_for_Change
sema mzee
ndugu angalia colour differences ile full red ile ina blue, red, black and white.
then angalia designing
hii inaandikwa "M"
ile inaandikwa "M4C"
kuna utofauti But unapoichukua jinsi ilivyo ni kosa, either wangeiweka iwe kwa maandishi ya kijani na njano or rangi yoyote iliyo kwenye bendera ya chama chao.
nadhani mwandishi kakuelekeza vizuri tu.
Ccm haina rangi nyekundu wala blue.