ostrichegg
JF-Expert Member
- Jun 30, 2013
- 12,052
- 6,197
Kama CHADEMA walikuwa wameisajili kisheria hii ndembo yao huko BRELA, basi CCM watakuwa na ya kujibu. Pia Mh. Dr. Magufuli amesikika mara kadhaa akisema majukwaani ya kuwa M4C maana yake ni: Magufuli for Change.
Kaitazame tena. Haikuandikwa unavyosema