Kipangaspecial
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 19,429
- 25,964
Alikupelekea moto msawazoWanafiri watafuta legacy ya Jiwe kwa kuanzisha Uzi.
Hata UN walienzi wakitamuka wazi huyu alikuwa Mwanaume.
Alikupelekea moto msawazoWanafiri watafuta legacy ya Jiwe kwa kuanzisha Uzi.
Hata UN walienzi wakitamuka wazi huyu alikuwa Mwanaume.
Nyerere alitengwa na dunia kwa kushadidia na kuunga mkono ukombozi, ujamaa na kutaifisha mali na kupinga sera za benki ya dunia na IMF na kubakiza nchi za scandinavia, urusi,cuba na china kutusaidia.Hata Nyerere alishawahi kutengwa na jumuiya ya kimataifa pale ambapo tulionekana kuwa na ukaribu sana na mataifa ya KIKOMUNISTI kama URUSI+CHINA wakati ule wa Vita baridi....
Ni kweli Uongozi uliwekwa na Mungu ila viongozi hata shetani anaweza kupenyeza wa kwake.Rais kama JPM hakuletwa na CCM. Na haitakuwa mara ya mwisho kuwa na Rais wa style ya JPM au hata zaidi. Hujui kwamba uongozi anayetoa ni Mwenyezi Mungu?
Unamwambiaje mwananchi "Kaa na mavi yako nyumbani".
Embu kaa utulie huko tuache na CCM yetuCCM ndio walioshoka mpini sasa, na kwa hulka za Watanzania ukichanganya na hulka za Kitanzania niko sahihi kusema kuwa CCM itatawala miaka mingi mbele.
Sasa ombi langu kwa chama cha Mapinduzi CCM ni kwamba msituletee tena Rais kama Magufuli.
Hafai.
Kamaraishiwa watu wenye uwezo wa kuongoza chukueni hata watu wa upinzani.
Magufuli hakupaswa kupewa nafasi kubwa kama ile.
Rais ana majibu ya hovyo sana kwa wananchi.
Unamwambiaje mwananchi "Kaa na mavi yako nyumbani".
Wanafiri watafuta legacy ya Jiwe kwa kuanzisha Uzi.
Hata UN walienzi wakitamuka wazi huyu alikuwa Mwanaume.
Hakuna Manzania mwingine aliyebaki anayefanana na Magufuli. Magufuli alikuwa ni Pepo ndani ya mwili wa mwanadamu.CCM ndio walioshoka mpini sasa, na kwa hulka za Watanzania ukichanganya na hulka za Kitanzania niko sahihi kusema kuwa CCM itatawala miaka mingi mbele.
Sasa ombi langu kwa chama cha Mapinduzi CCM ni kwamba msituletee tena Rais kama Magufuli.
Hafai.
Kamaraishiwa watu wenye uwezo wa kuongoza chukueni hata watu wa upinzani.
Magufuli hakupaswa kupewa nafasi kubwa kama ile.
Rais ana majibu ya hovyo sana kwa wananchi.
Unamwambiaje mwananchi "Kaa na mavi yako nyumbani".
Magu alikua namapungufu yake..ila kwenye kazi na maamuzi magumu hamuwezi mfikia.
#MaendeleoHayanaChama
Kama huna la kusema si ujinyamazie na kuficha ujuha wako baada ya kuuanika ukidhani inakusaidia wakati inakuonyesha kama kihiyo anayepaswa kudharauliwa na kukemewa kwa mawazo mfu na mgando hata kama kusema ni haki yako na hulipii mkumbaff we usiye na hoja wala adabu eti CCM wawaletee kama Magufuli nyinyi akina nani katika nchi hii ambayo haijachoka kiasi cha kutegemea majuha ndo watuambie nini cha kufanya na nini cha kutofanya kana kwamba wametumwea sijui nani kakutuma mkubaff wee?CCM ndio walioshoka mpini sasa, na kwa hulka za Watanzania ukichanganya na hulka za Kitanzania niko sahihi kusema kuwa CCM itatawala miaka mingi mbele.
Sasa ombi langu kwa chama cha Mapinduzi CCM ni kwamba msituletee tena Rais kama Magufuli.
Hafai.
Kamaraishiwa watu wenye uwezo wa kuongoza chukueni hata watu wa upinzani.
Magufuli hakupaswa kupewa nafasi kubwa kama ile.
Rais ana majibu ya hovyo sana kwa wananchi.
Unamwambiaje mwananchi "Kaa na mavi yako nyumbani".
Uwe na adabu.Huwezi kusema uyasemayo ukawa mzima. Ukiona hivi jua wewe ni fisadi, au mtoto wa fisadi. Mtakuja mkumbuka siku moja fwaki youHakuna Manzania mwingine aliyebaki anayefanana na Magufuli. Magufuli alikuwa ni Pepo ndani ya mwili wa mwanadamu.
Tanzania iko salama sasa, yeyote akitawala iwe CCM, CHADEMA au ACT
Atakumbukwa na nyinyi tu misukule yake na sukuma gang wa Chato. Let him rot in hell
Uwe na adabu.Huwezi kusema uyasemayo ukawa mzima. Ukiona hivi jua wewe ni fisadi, au mtoto wa fisadi. Mtakuja mkumbuka siku moja fwaki you
Naona unapenda maraisi washikwa matako na mzungu wa dini yako ,ukweli maraisi waislamu ndiyo maraisi wapuuzi kuliko wote hapa tanzania ,huo ndiyo ukweli sijui mzungu anawafanyaga nini chumbani ? Maana wao ni kila kitu mfadhili sijui un sijui mzungu kasema chanjo ,sijui haki za kijinsia ,na kuuza nchi kwa wazunguSio tuu Rais wa dizaini ile ila nashangaa inakuaje dini ile inaleta watu makatili tuu?
Kichwani pako hapajatuliaCCM ndio walioshoka mpini sasa, na kwa hulka za Watanzania ukichanganya na hulka za Kitanzania niko sahihi kusema kuwa CCM itatawala miaka mingi mbele.
Sasa ombi langu kwa chama cha Mapinduzi CCM ni kwamba msituletee tena Rais kama Magufuli.
Hafai.
Kamaraishiwa watu wenye uwezo wa kuongoza chukueni hata watu wa upinzani.
Magufuli hakupaswa kupewa nafasi kubwa kama ile.
Rais ana majibu ya hovyo sana kwa wananchi.
Unamwambiaje mwananchi "Kaa na mavi yako nyumbani".
Hapana Shaka yoyote wewe ni fisadi...CCM ndio walioshoka mpini sasa, na kwa hulka za Watanzania ukichanganya na hulka za Kitanzania niko sahihi kusema kuwa CCM itatawala miaka mingi mbele.
Sasa ombi langu kwa chama cha Mapinduzi CCM ni kwamba msituletee tena Rais kama Magufuli.
Hafai.
Kamaraishiwa watu wenye uwezo wa kuongoza chukueni hata watu wa upinzani.
Magufuli hakupaswa kupewa nafasi kubwa kama ile.
Rais ana majibu ya hovyo sana kwa wananchi.
Unamwambiaje mwananchi "Kaa na mavi yako nyumbani".
Vibaka sasa hivi mmeanza na ukwapuaji wenu,Atakumbukwa na nyinyi tu misukule yake na sukuma gang wa Chato. Let him rot in hell
Watz tuna kazi, halafu ndio anatuongoza, na tuko radhi! Ila si ajabu waliopo madarakani inabidi kuwa waadilifu ili watu wasiteuwe wangombea kwa hasira, kukomoa au liwalo na liwe, hata Hitler halipatikana kwa jamii kupoteza matumaini!Yule hakuwa rais, rejea maneno ya dk. Diallo. Alikuwa ni Milembe material.