Kinoamiguu
JF-Expert Member
- Nov 29, 2018
- 16,320
- 23,023
TISSHiyo hati miliki ya CCM kutuletea Rais walipewa na nani?
TISSHiyo hati miliki ya CCM kutuletea Rais walipewa na nani?
wananchi wapumbavuKwa wananchi wa hali ya kawaida, Huyo usiyemtaka ndiye alikuwa kipenzi chao.
Aligusa mioyo yao.
Safari hii rais atakuwa mheshimiwa mboweCCM ndio walioshoka mpini sasa, na kwa hulka za Watanzania ukichanganya na hulka za Kitanzania niko sahihi kusema kuwa CCM itatawala miaka mingi mbele.
Sasa ombi langu kwa chama cha Mapinduzi CCM ni kwamba msituletee tena Rais kama Magufuli.
Hafai.
Kamaraishiwa watu wenye uwezo wa kuongoza chukueni hata watu wa upinzani.
Magufuli hakupaswa kupewa nafasi kubwa kama ile.
Rais ana majibu ya hovyo sana kwa wananchi.
Unamwambiaje mwananchi "Kaa na mavi yako
Na wananchi wameamua kuwaachia bucha la nyama wajinafasi...Hiyo hati miliki ya CCM kutuletea Rais walipewa na nani?
Rais kama JPM hakuletwa na CCM. Na haitakuwa mara ya mwisho kuwa na Rais wa style ya JPM au hata zaidi. Hujui kwamba uongozi anayetoa ni Mwenyezi Mungu?
Aloo ndo maana Diallo alisema "mnatuletea mtu ana cheti mirembe"CCM ndio walioshoka mpini sasa, na kwa hulka za Watanzania ukichanganya na hulka za Kitanzania niko sahihi kusema kuwa CCM itatawala miaka mingi mbele.
Sasa ombi langu kwa chama cha Mapinduzi CCM ni kwamba msituletee tena Rais kama Magufuli.
Hafai.
Kamaraishiwa watu wenye uwezo wa kuongoza chukueni hata watu wa upinzani.
Magufuli hakupaswa kupewa nafasi kubwa kama ile.
Rais ana majibu ya hovyo sana kwa wananchi.
Unamwambiaje mwananchi "Kaa na mavi yako nyumbani".
Vijana wa lumumba Punguzeni matusi ,,,nyinyi ndio wenye nchi...mnapokamuliwa kende na vijana wa ufipa tulieni tu...
Wengine tunatafuta Chama Cha kujiunga kiwe Cha mwendakuzimu au mwenda mahabusu....
Jengeni hoja lumumbalism guys.
Diallo mtu mbayaAloo ndo maana Diallo alisema "mnatuletea mtu ana cheti mirembe"
Nyie ndo ukiulizwa dunia inaishia wa mashariki? Jibu ni Zanzibar.Labda UN ya Chato
Na hawatakaa kuisha. Lazima tuwe na institutions imara. Tusijidanganye kuwa tuna maarifa ya kuzuia baadhi ya mambo hayaHuyo kateuliwa na Shetani na si mara ya Kwanza kutokea hivyo tumewaona Hitler,Idd Amin,Papa Doc Duvellier,Bokassa,Nguema na wengine wengi tangu enzi ya Farao wa Mussa wa Wayahudi.
fwaki yu hata wewe utamkumbuka. Kama humkumbuki ulimtaja wa nini kumbaff wewe ni wa kuniita baba wa baba na mama yako msukule kumxxa we?Atakumbukwa na nyinyi tu misukule yake na sukuma gang wa Chato. Let him rot in hell
Mimi kakiongezea nyama kitabu changu cha ujasiriamali ,kumbe unaweza kushindwa kufanya biashara hata kama una mtaji, ama elimu ya ujasiriamaliRais kama JPM hakuletwa na CCM. Na haitakuwa mara ya mwisho kuwa na Rais wa style ya JPM au hata zaidi. Hujui kwamba uongozi anayetoa ni Mwenyezi Mungu?
Tulikuwa pabaya sana!CCM ndio walioshoka mpini sasa, na kwa hulka za Watanzania ukichanganya na hulka za Kitanzania niko sahihi kusema kuwa CCM itatawala miaka mingi mbele.
Sasa ombi langu kwa chama cha Mapinduzi CCM ni kwamba msituletee tena Rais kama Magufuli.
Hafai.
Kamaraishiwa watu wenye uwezo wa kuongoza chukueni hata watu wa upinzani.
Magufuli hakupaswa kupewa nafasi kubwa kama ile.
Rais ana majibu ya hovyo sana kwa wananchi.
Unamwambiaje mwananchi "Kaa na mavi yako nyumbani".
Hili ni jamabazi na lifisadi kabisa, kwa kweli magufuli alitufumbua macho na akili anayebisha muache.ILI LITAKUWA NI JIZI LA MALI ZA UMA BILA SHAKA YOYOTE
Sisi tunamkumbuka kwa UDIKTETA, UWONGO na WIZI wa Mali ya umma. Nyie akina Father of All mtamkumbuka kwa kuwaita WANYONGEfwaki yu hata wewe utamkumbuka. Kama humkumbuki ulimtaja wa nini kumbaff wewe ni wa kuniita baba wa baba na mama yako msukule kumxxa we?