CCM msituletee tena Rais kama Hayati Magufuli

CCM msituletee tena Rais kama Hayati Magufuli

CCM ndio walioshoka mpini sasa, na kwa hulka za Watanzania ukichanganya na hulka za Kitanzania niko sahihi kusema kuwa CCM itatawala miaka mingi mbele.
Sasa ombi langu kwa chama cha Mapinduzi CCM ni kwamba msituletee tena Rais kama Magufuli.
Hafai.
Kamaraishiwa watu wenye uwezo wa kuongoza chukueni hata watu wa upinzani.
Magufuli hakupaswa kupewa nafasi kubwa kama ile.
Rais ana majibu ya hovyo sana kwa wananchi.
Unamwambiaje mwananchi "Kaa na mavi yako nyumbani".
Na ndio ilikuwa kauli yake ya mwisho hadharani kabla ya kufa.

Jamaa alijiona ataishi Milele!
 
Broo hata wapinzani nao ni CCM. Wale wana/mna hubiri upinzani ila wandani wenye vyama ni wazalendo wafia nchi. Baadhi yenu mmepumbazwa akili na hili hamlioni. Kwa mfumo huu wa miili kuwa upinzani huku roho ikiwaza CCM unatarajia meli ije airport?
Bado ninatafuta jibu la swali langu kwenye hii comment yako silioni, itapendeza zaidi ukinionesha hilo jibu.
 
Ebu wacha kufuru wewe chawa wa mwendazake .

F7E240D6-17B1-45C1-BE16-B2D64F9CAFC5.jpeg
 
JPM ameshafariki mkuu....

Pamoja na hulka zake za UKALI...zimetusaidia kwenye mengi mno......

JPM ndiye aliyeamsha ARI ya baadhi ya watanzania kuiamini tena serikali baada ya kupita miaka mingi ya MVUMO(wa uongo na kweli) kuwa inafumbia macho MATENDO MAKUBWA YA KIFISADI......

JPM kama mwanadamu atahukumiwa kwa mazuri na mabaya yake kwani hakuna aliye mkamilifu chini ya JUA.....

SIEMPRE JMT
 
CCM ndio walioshoka mpini sasa, na kwa hulka za Watanzania ukichanganya na hulka za Kitanzania niko sahihi kusema kuwa CCM itatawala miaka mingi mbele.
Sasa ombi langu kwa chama cha Mapinduzi CCM ni kwamba msituletee tena Rais kama Magufuli.
Hafai.
Kamaraishiwa watu wenye uwezo wa kuongoza chukueni hata watu wa upinzani.
Magufuli hakupaswa kupewa nafasi kubwa kama ile.
Rais ana majibu ya hovyo sana kwa wananchi.
Unamwambiaje mwananchi "Kaa na mavi yako nyumbani".
Akili za kijinga sana hizi ndio.maana marehemu Komba alisema yoyote akiteuliwa na CCM kugombea Urais tayari kawa Rais kutokana na Katiba mbaya
 
Hatukujua kuwa nasi ipo siku tunge nyooshewa vidole na hata kutengwa na jumuia za kimataifa.
Hata Nyerere alishawahi kutengwa na jumuiya ya kimataifa pale ambapo tulionekana kuwa na ukaribu sana na mataifa ya KIKOMUNISTI kama URUSI+CHINA wakati ule wa Vita baridi....
 
Hiyo hati miliki ya CCM kutuletea Rais walipewa na nani?
Inawezekana nikaonekana Kama niliyekunywa maji ya bendera....

Ila UFINYWANGAJI wa taifa letu ulijengwa juu ya Sera za TANU(baba wa CCM)....mathalani ndani ya KATIBA YETU tunatambulika kuwa ni TAIFA LA UJAMAA NA KUJITEGEMEA.....tofauti sana na Sera za upinzani(CUF&CHADEMA) ambao wao ni WALIBERALI(in contarary with the country's constituition)....hili lina ATHARI KUBWA TU......
 
Hivi huyu Magufuli anayezungumziwa hivi hakuwa binadamu?

Mbona kila binadamu ana mapungufu yake, lakini pia wapo ambao Wana mabaya mengi kuliko mazuri Ila Magufuli mazuri ni mengi zaidi.

Na ukitaka kujua vizuri fanya research ndogo, uliza watu kumi wanamjuaje Magufuli,kwa hakika nane watakwambia huyo alijitoa haswa kwa watanzania ili wapate maendeleo.

Bado Nchi yetu inamsubiri ambaye atavaa viatu vyake vimtoshe, mpaka sahizi size ya viatu vyake ni kubwa mno.
 
  • Thanks
Reactions: nao
CCM ndio walioshoka mpini sasa, na kwa hulka za Watanzania ukichanganya na hulka za Kitanzania niko sahihi kusema kuwa CCM itatawala miaka mingi mbele.
Sasa ombi langu kwa chama cha Mapinduzi CCM ni kwamba msituletee tena Rais kama Magufuli.
Hafai.
Kamaraishiwa watu wenye uwezo wa kuongoza chukueni hata watu wa upinzani.
Magufuli hakupaswa kupewa nafasi kubwa kama ile.
Rais ana majibu ya hovyo sana kwa wananchi.
Unamwambiaje mwananchi "Kaa na mavi yako nyumbani".
Mkuu unajielewa kwel
 
CCM ndio walioshoka mpini sasa, na kwa hulka za Watanzania ukichanganya na hulka za Kitanzania niko sahihi kusema kuwa CCM itatawala miaka mingi mbele.
Sasa ombi langu kwa chama cha Mapinduzi CCM ni kwamba msituletee tena Rais kama Magufuli.
Hafai.
Kamaraishiwa watu wenye uwezo wa kuongoza chukueni hata watu wa upinzani.
Magufuli hakupaswa kupewa nafasi kubwa kama ile.
Rais ana majibu ya hovyo sana kwa wananchi.
Unamwambiaje mwananchi "Kaa na mavi yako nyumbani".
Hawa kupenda kumleta maji yaliwafika shingoni.
Yakiwafika tena watamleta tu hamna namna
 
Hawa kupenda kumleta maji yaliwafika shingoni.
Yakiwafika tena watamleta tu hamna namna
Hata wamarekani walimleta Mh.TRUMP.....kuna kipindi binadamu anastahiki kufanya maamuzi magumu yanayoendana na CHANGAMOTO KUBWA za kipindi husika......

JPM atahukumiwa kwa mazuri na mabaya yake.....na mazuri mengi tu ametuachia.......
 
CCCM nadhani wakati wanampitisha kama mgombea wao hawakumu-consult Dk.Diallo Mana alikuwa na siri kubwa juu ya mgombea huyo. Mana alikuja kutupa mrejesho baadaye. CCM mjifunze kuyapitia mafaili ys wagombea wenu kwa umakini mlituletea balaa.
 
Back
Top Bottom