Wanafiri watafuta legacy ya Jiwe kwa kuanzisha Uzi🤣🤣🤣.Hivi wewe ma wenzako kazi yako mi kuleta thread za Magufuli!?
Hata UN walienzi wakitamuka wazi huyu alikuwa Mwanaume.
Wanafiri watafuta legacy ya Jiwe kwa kuanzisha Uzi🤣🤣🤣.Hivi wewe ma wenzako kazi yako mi kuleta thread za Magufuli!?
Tulitengwa na nchi gani?Hata Nyerere alishawahi kutengwa na jumuiya ya kimataifa pale ambapo tulionekana kuwa na ukaribu sana na mataifa ya KIKOMUNISTI kama URUSI+CHINA wakati ule wa Vita baridi....
Wanafiri watafuta legacy ya Jiwe kwa kuanzisha Uzi🤣🤣🤣.Hivi wewe ma wenzako kazi yako mi kuleta thread za Magufuli!?
Hilo la kukaa na mavi tumboni ndo limekuuma?kwani yanakaa mdomoni kumbe.CCM ndio walioshoka mpini sasa, na kwa hulka za Watanzania ukichanganya na hulka za Kitanzania niko sahihi kusema kuwa CCM itatawala miaka mingi mbele.
Sasa ombi langu kwa chama cha Mapinduzi CCM ni kwamba msituletee tena Rais kama Magufuli.
Hafai.
Kamaraishiwa watu wenye uwezo wa kuongoza chukueni hata watu wa upinzani.
Magufuli hakupaswa kupewa nafasi kubwa kama ile.
Rais ana majibu ya hovyo sana kwa wananchi.
Unamwambiaje mwananchi "Kaa na mavi yako nyumbani".
Yaani ukitizama watu wanavyopost thread jamii forum Magufuli Magufuli yaani sijui aliwafanya nini! Yaani naona kama kuna watu wamejipanga kumchafua lakini hawajui Magufuli huyu alikuwa mchapakazi kuliko waziri yeyote tokea wakati wa Mkapa mpaka Rais Mkapa wakati huo akamwita Askari wa Mwamvuri! lakini wanajifanya hawajui! Yaani wanasifia watu mataahira washakuwa viongozi hawana impact yeyote miaka nenda rudi!Wanafiri watafuta legacy ya Jiwe kwa kuanzisha Uzi🤣🤣🤣.
Hata UN walienzi wakitamuka wazi huyu alikuwa Mwanaume.
Sasa hivi tuko vizuriHiyo nayo imeingia kwenye history. Mpaka tukanyoshewa vidole vya ukandamizaji.
Miaka ya nyuma tukiwanyoshea vidole wabaguzi wa rangi na ma dictator popote ulimwenguni. Tuliwatukana SA , Zaire, Uganda , Malawi na hata US tulisimamia kucha kukataa uungwaji mkono makaburu. But this time yametukuta .
Hiyo hati miliki ya CCM kutuletea Rais walipewa na nani?
Aliyemshika pembe ng'ombe ndo mwenye ng'ombe huyo. Hilo ni hukumu lenu wakereketwa kumuuliza mwenyewe.Yeye ni nan ajue mengi kuliko mabosi zake ndani ya chama na watu waliofanya kazi na Magufuli kwa karibu Ben na JK wasigundue hilo
🤣🤣🤣🤣. Sina utaalamu wa kufufua wafu. Siwezi kufanya hivyo.Hiyo ni special maombi maana umesema kuwa bado unamhitaji
Siyo kwa ccm. Sina utaalamu wa kufufua wafu. Siwezi kufanya hivyo.
Cha msingi ni kujenga taasisi imara. Sio suala la chama kinamsimamisha nani. Kuna nyakati zitakuja na watu ambao sio lazima tuwe tunakubaliana. Mfano, US na Trump
Umesema, ila mwig"ulu, mkimchagua tu, tunarudi kulekule!Alicho watendea wakulima wa korosho hata leo hii wanaugulia .
Mwigulu hakuna mtu wa kumpendekeza hata kwa wana ccm wenzakeUmesema, ila mwig"ulu, mkimchagua tu, tunarudi kulekule!
Hao unaoamini kwamba watakuja kuiondoa CCM siyo kweli. WanawadanganyaBado ninatafuta jibu la swali langu kwenye hii comment yako silioni, itapendeza zaidi ukinionesha hilo jibu.
Yule hakuwa rais, rejea maneno ya dk. Diallo. Alikuwa ni Milembe material.Rais ana majibu ya hovyo sana kwa wananchi.
Unamwambiaje mwananchi "Kaa na mavi yako nyumbani".
Huenda ndo hawa waliomunywesha sumu akiwa waziri.Yaani ukitizama watu wanavyopost thread jamii forum Magufuli Magufuli yaani sijui aliwafanya nini! Yaani naona kama kuna watu wamejipanga kumchafua lakini hawajui Magufuli huyu alikuwa mchapakazi kuliko waziri yeyote tokea wakati wa Mkapa mpaka Rais Mkapa wakati huo akamwita Askari wa Mwamvuri! lakini wanajifanya hawajui! Yaani wanasifia watu mataahira washakuwa viongozi hawana impact yeyote miaka nenda rudi!
CCM ndio walioshoka mpini sasa, na kwa hulka za Watanzania ukichanganya na hulka za Kitanzania niko sahihi kusema kuwa CCM itatawala miaka mingi mbele.
Sasa ombi langu kwa chama cha Mapinduzi CCM ni kwamba msituletee tena Rais kama Magufuli.
Hafai.
Kamaraishiwa watu wenye uwezo wa kuongoza chukueni hata watu wa upinzani.
Magufuli hakupaswa kupewa nafasi kubwa kama ile.
Rais ana majibu ya hovyo sana kwa wananchi.
Unamwambiaje mwananchi "Kaa na mavi yako nyumbani".
CCM wakimleta Rais kama Magufuli mwingine ndiyo wataimarisha upinzani na watawaamsha wananchi waliolala. Wananchi wataichoka CCM mapema sana. CCM wakimleta Rais mpole, wananchi watarudi kulala tena maana wanaona mambo yanaenda shwari. Kwa hiyo kama wewe ni mpinzani wa CCM, omba Mungu CCM wamlete Magufuli 2.0.CCM ndio walioshoka mpini sasa, na kwa hulka za Watanzania ukichanganya na hulka za Kitanzania niko sahihi kusema kuwa CCM itatawala miaka mingi mbele.
Sasa ombi langu kwa chama cha Mapinduzi CCM ni kwamba msituletee tena Rais kama Magufuli.
Hafai.
Kamaraishiwa watu wenye uwezo wa kuongoza chukueni hata watu wa upinzani.
Magufuli hakupaswa kupewa nafasi kubwa kama ile.
Rais ana majibu ya hovyo sana kwa wananchi.
Unamwambiaje mwananchi "Kaa na mavi yako nyumbani".