kibaravumba
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 6,633
- 7,021
kwa ufupi CCM ndo imepoteza kabisa hivyo viti vya udiwani.
Inaonekana huwajui wahaya wewe!ni wanafiki balaa.Wataendelea na CCM yao tu.We hujui ndio wamejaa serikalini na wameifaidi sana serikali tangu uhuru wa nchi hii.
Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums