VUTA-NKUVUTE
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 6,140
- 18,004
Timuatimua ya jana ya Madiwani wa Bukoba ni danganya toto. Watanzania wenzangu na mjue mapema hili.
Taarifa za ndani ya chama chetu zinaonesha kuwa timuatimua ya Bukoba inalenga hasa kupata maoni ya ndani na nje ya chama kuhusu suala hilo.
Kwanza,chama kinataka kusikia juu ya uwezo wake wa kufanya maamuzi magumu kama yalwiyofanywa na wapinzani wetu CHADEMA kule Arusha.
Pili,ni utafiti ya juu ya nani hasa anskubalika Bukoba kati ya Meya na Madiwani waliotimuliwa jana.
Ni maamuzi ya utafiti tu. Hayana dhima nyingine. Msishangae Madiwani wote kurejeshwa madarakani na 'ngazi za juu'. Subirini muone
Mzee Tupatupa wa Lumumba,Dar es Salaam
Taarifa za ndani ya chama chetu zinaonesha kuwa timuatimua ya Bukoba inalenga hasa kupata maoni ya ndani na nje ya chama kuhusu suala hilo.
Kwanza,chama kinataka kusikia juu ya uwezo wake wa kufanya maamuzi magumu kama yalwiyofanywa na wapinzani wetu CHADEMA kule Arusha.
Pili,ni utafiti ya juu ya nani hasa anskubalika Bukoba kati ya Meya na Madiwani waliotimuliwa jana.
Ni maamuzi ya utafiti tu. Hayana dhima nyingine. Msishangae Madiwani wote kurejeshwa madarakani na 'ngazi za juu'. Subirini muone
Mzee Tupatupa wa Lumumba,Dar es Salaam