assadsyria3
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 6,909
- 4,057
ni kweli wasipobadilisha imekula kwaokuna habari kwamba ccm lumumba wamesitisha uamuzi wa mkoa na sasa wanajiandaa kutoa tamko,
machale yamewacheza, na pia siyo kawaida kwa ccm kuwajibishana
ni kweli wasipobadilisha imekula kwaokuna habari kwamba ccm lumumba wamesitisha uamuzi wa mkoa na sasa wanajiandaa kutoa tamko,
machale yamewacheza, na pia siyo kawaida kwa ccm kuwajibishana
acha matusileo akili umeziweka kichwani make siku nyingine unaziwekaga miguuni, hongera sana assad
Mkuu Crashwise hivi Meya wa Ilemela Mwanza ni kutoka chama gani vile!.unakazi kubwa sana ya kutetea kinyesi ccm.
Kuna habari kwamba Ccm Lumumba wamesitisha uamuzi wa mkoa na sasa wanajiandaa kutoa tamko,
Machale yamewacheza, na pia siyo kawaida kwa Ccm kuwajibishana
Mkuu maamuzi gani?
Maamuzi yametolewa na ngazi ya Mkoa, wahusika wanafasi ya kukata rufaa ngazi za juu na Chama kikiona kuna namna nyingine ya kutatatua tatizo zaidi ya kuwafukuza kinaweza kubatilisha maamuzi....thats demekrasi
Chama cha mapinduzi kimewafukuza madiwani wake bukoba. Hili ni pigo kwani ninaamini hili litawagharimu utakapo itishwa uchaguzi mdogo lazima chadema watachukua baadhi ya kata na hivyo hasira ya mkizi nafuu ya mvuvi, kimsingi madiwani walikua wanasimamia haki je kuungana na chadema na cuf kudai haki ndio wamefanya kosa bila shaka yoyote chadema watachukua madiwani wengi uchaguzi mdogo utakapoandaliwa labda kipofu ndo hawezi kuliona hili. Mtu anatetea haki unamfukuza unataka atetee ufisadi hapa ccm mmechemka sana mtakuja kukumbuka maamuzi mabovu kama haya
Mimi naongelea maamuzi iliyoyatoa,wasirudi nyuma hata kwa level ya mkoa!
Kinachonitia wasiwasi kwa udhaifu iliyonao sasa CCM haina ubavu wa kurinda hizo kata uchaguzi ukifanyika!
Mimi nina hamu kubwa yakuona mchuano mkali kati ya CHADEMA na CCM katika kuzigombea kata hizo,maana vyama hivi sasa vimekuwa kama Simba na Yanga!Kama mungu akijalia mchuano huu ukatokea basi itakuwa burudani kubwa sana!Mkuu Lumumba kamwe hawawezi kukubali hili, wanajua muziki wa kutetea viti nane si wakitoto
Iko wazi uamuzi utabatilishwa na watarudishwa, CCM hawezi kukubali kwenda kwenye uchaguzi labda madiwani wenyewe waseme sasa cc basi
Ni kweli kabisa nakuunga mkono kwa hilo,Chama Cha Maunga(CCM) kiko kwa ajili ya wanafiki,wanaojipendekeza,wazinzi na mafreemason,wale wote wenye kuonyesha msimamo wa kupinga hilo kwa maslahi ya wananchi hufukuzwa mara moja bali wale wenye kukandamiza wananchi ndio wanaopendwa na mafisadi ya chama,kumbuka Nyerere alishasema mwaka 95 wakati alipomkataa huyu mheshimiwa na kumpendekeza Mkapa kuwa amefanya hivyo kwa vile hayuko tayari kuona nchi ikitawaliwa na mbwa,watu hawakuelewa wakati ule kwani walijua anamaanisha vyama vya upinzani hasa Mrema wakati ule,sasa tunayaona aliyoyabashiri kutokea.hakika KIJANA YOYOTE MWENYE KUSHABIKIA MAGAMBA KWA SASA LAZIMA ATAKUWA MCHAWI UZEENI MWAKE,magamba hayakubaliki kuanzia sasaIt is very very interesting kwamba kwa CCM wanaopinga ufisadi ndio hufukuzwa katika chama lakini yale mafisadi, majambazi, majangili, na mauza unga yaliyokubuhu ndio kwanza yanaachwa na hata kupewa nafasi za juu za uongozi katika chama, serikalini, na bungeni.
Hili linashangaza sana! Hivi CCM wanaweza kuwaeleza wananchi sababu ya msingi na inayoingia akili ya kuwafukuza hao madiwani zaidi ya bla bla za kisiasa za akina Nape?
Unaimanisha nini, kwani wewe ni chizi kiasi kwamba hujui kuwa meya wa Ilemela ni kibaraka wa magamba..Mkuu Crashwise hivi Meya wa Ilemela Mwanza ni kutoka chama gani vile!.
Ben Saanane Saidia hili.
CC: Riitz, chama, Nape Nnauye, Mwigulu Nchemba
It is very very interesting kwamba kwa CCM wanaopinga ufisadi ndio hufukuzwa katika chama lakini yale mafisadi, majambazi, majangili, na mauza unga yaliyokubuhu ndio kwanza yanaachwa na hata kupewa nafasi za juu za uongozi katika chama, serikalini, na bungeni.
Hili linashangaza sana! Hivi CCM wanaweza kuwaeleza wananchi sababu ya msingi na inayoingia akili ya kuwafukuza hao madiwani zaidi ya bla bla za kisiasa za akina Nape?
Mkuu mimi sio Chizi ila nilitaka kujua kama na hawa waliofukuzwa huko BK watatambuliwa kama huyu Meya wa Ilemela.Unaimanisha nini, kwani wewe ni chizi kiasi kwamba hujui kuwa meya wa Ilemela ni kibaraka wa magamba..