PreGE2025 CCM Dodoma: Mkingeni Rais Samia dhidi ya mashambulizi mitandaoni

PreGE2025 CCM Dodoma: Mkingeni Rais Samia dhidi ya mashambulizi mitandaoni

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
4,393
Reaction score
14,500
Katibu wa Siasa na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Dodoma, Jawadu Mohamed amewataka Watanzania na WanaCCM kumkingia kifua Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan dhidi ya mashambulizi yoyote anayoyapata kupitia mitandao ya kijamii

Jawadu ameyasema hayo Jumanne Juni 3, 2025 Jijini Dodoma wakati wa Samia Day iliyofanyika kata ya Kizota wilaya ya Dodoma Mjini yenye lengo la kutangaza mafanikio yaliyopatikana chini ya uongozi wa awamu ya sita katika kila kata za mkoa huo.

Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Amesema mashambulizi ya Rais Samia yapo mitandaoni na si kwingine, hivyo WanaCCM na wananchi kwa ujumla waitetee CCM pamoja na Rais wao.

Aidha, amewataka WanaCCM kuendelea kusemea mambo mazuri aliyoyafanya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan katika kuleta maendeleo nchini.
 
Katibu wa Siasa na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Dodoma, Jawadu Mohamed amewataka Watanzania na WanaCCM kumkingia kifua Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan dhidi ya mashambulizi yoyote anayoyapata kupitia mitandao ya kijamii

Jawadu ameyasema hayo Jumanne Juni 3, 2025 Jijini Dodoma wakati wa Samia Day iliyofanyika kata ya Kizota wilaya ya Dodoma Mjini yenye lengo la kutangaza mafanikio yaliyopatikana chini ya uongozi wa awamu ya sita katika kila kata za mkoa huo.

Amesema mashambulizi ya Rais Samia yapo mitandaoni na si kwingine, hivyo WanaCCM na wananchi kwa ujumla waitetee CCM pamoja na Rais wao.

Aidha, amewataka WanaCCM kuendelea kusemea mambo mazuri aliyoyafanya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan katika kuleta maendeleo nchini.
Hiyo kazi ni ngumu sana kama huo mlango wa mashambulizi anaufungua mwenyewe
 
Katibu wa Siasa na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Dodoma, Jawadu Mohamed amewataka Watanzania na WanaCCM kumkingia kifua Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan dhidi ya mashambulizi yoyote anayoyapata kupitia mitandao ya kijamii

Jawadu ameyasema hayo Jumanne Juni 3, 2025 Jijini Dodoma wakati wa Samia Day iliyofanyika kata ya Kizota wilaya ya Dodoma Mjini yenye lengo la kutangaza mafanikio yaliyopatikana chini ya uongozi wa awamu ya sita katika kila kata za mkoa huo.

Amesema mashambulizi ya Rais Samia yapo mitandaoni na si kwingine, hivyo WanaCCM na wananchi kwa ujumla waitetee CCM pamoja na Rais wao.

Aidha, amewataka WanaCCM kuendelea kusemea mambo mazuri aliyoyafanya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan katika kuleta maendeleo nchini.
Muanze kwanza kuwakinga watanganyika wenzenu wanao tekwa na kuuawa kikatili kabla ya kumkinga huyo mzanzibar anaye wateka watanganyika wenzenu na kuwaua
 
Hawa chawa ni vichaa kweli kweli.Anatakiwa ajikingie kifua mwenyewe Kwa kuacha kuteka na kuua watanzania.Huwezi kumtetea mtu anayefanya mambo ya kijinga
 
Katibu wa Siasa na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Dodoma, Jawadu Mohamed amewataka Watanzania na WanaCCM kumkingia kifua Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan dhidi ya mashambulizi yoyote anayoyapata kupitia mitandao ya kijamii

Jawadu ameyasema hayo Jumanne Juni 3, 2025 Jijini Dodoma wakati wa Samia Day iliyofanyika kata ya Kizota wilaya ya Dodoma Mjini yenye lengo la kutangaza mafanikio yaliyopatikana chini ya uongozi wa awamu ya sita katika kila kata za mkoa huo.

Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Amesema mashambulizi ya Rais Samia yapo mitandaoni na si kwingine, hivyo WanaCCM na wananchi kwa ujumla waitetee CCM pamoja na Rais wao.

Aidha, amewataka WanaCCM kuendelea kusemea mambo mazuri aliyoyafanya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan katika kuleta maendeleo nchini.
Sawa tumekuelewa..
Sasa iachieni Twitter ili tuanze kumtetea..
Nae aendelelee kutetea watekaji..
 
Katibu wa Siasa na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Dodoma, Jawadu Mohamed amewataka Watanzania na WanaCCM kumkingia kifua Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan dhidi ya mashambulizi yoyote anayoyapata kupitia mitandao ya kijamii

Jawadu ameyasema hayo Jumanne Juni 3, 2025 Jijini Dodoma wakati wa Samia Day iliyofanyika kata ya Kizota wilaya ya Dodoma Mjini yenye lengo la kutangaza mafanikio yaliyopatikana chini ya uongozi wa awamu ya sita katika kila kata za mkoa huo.

Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Amesema mashambulizi ya Rais Samia yapo mitandaoni na si kwingine, hivyo WanaCCM na wananchi kwa ujumla waitetee CCM pamoja na Rais wao.

Aidha, amewataka WanaCCM kuendelea kusemea mambo mazuri aliyoyafanya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan katika kuleta maendeleo nchini.
jinga lao mbona hiyo nguvu haitumiki kuwakinga wanaotekwa na kuuawa
 
Amesema mashambulizi ya Rais Samia yapo mitandaoni na si kwingine,
Yapo kote, sema tu wananchi wanahofia kutekwa/kuuawa wakisema ukweli waziwazi..
Aidha, amewataka WanaCCM kuendelea kusemea mambo mazuri aliyoyafanya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan katika kuleta maendeleo nchini.
Kwamba yasemwe mazuri pekee, mabaya yake aah, yawe siri?

Kwanini msimwambie yeye akomeshe mambo mabaya yaliyochosha wananchi wengi kama utekaji, mauaji, kesi za mchongo, nk?
 
Damu ya mtu mbaya kila wakimzuia huyu anatokea mwingine hadi majirani nao wameingia kwenye kazi hii ya ajabu.Damu huwa inaongea na ina sauti kuna jamaa mmoja niliskia akifundisha mahali damu huwa inaongea na kudai kisasi.Sauti ya damu ya ndugu yako Abili inanililia kutoka katika ardhi,utakapoilima ardhi haitakupa mazao.Ndio maana tunauza ardhi ovyo kisa laana za damu.Hao wenyewe wanaofanya hayo mambo hawalali ndio maana unakuta mtu anakaa baa hadi saa tisa usiku,akilala kidogo anakutana na aliwafanyia ubaya au kuwaua
 
1749022915558.jpeg
 
Katibu wa Siasa na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Dodoma, Jawadu Mohamed amewataka Watanzania na WanaCCM kumkingia kifua Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan dhidi ya mashambulizi yoyote anayoyapata kupitia mitandao ya kijamii

Jawadu ameyasema hayo Jumanne Juni 3, 2025 Jijini Dodoma wakati wa Samia Day iliyofanyika kata ya Kizota wilaya ya Dodoma Mjini yenye lengo la kutangaza mafanikio yaliyopatikana chini ya uongozi wa awamu ya sita katika kila kata za mkoa huo.

Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Amesema mashambulizi ya Rais Samia yapo mitandaoni na si kwingine, hivyo WanaCCM na wananchi kwa ujumla waitetee CCM pamoja na Rais wao.

Aidha, amewataka WanaCCM kuendelea kusemea mambo mazuri aliyoyafanya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan katika kuleta maendeleo nchini.
Wajichanganye waje hapa tuwatanduke za uso, wamuulize mshangazi Lucas na wenzie
 
Back
Top Bottom