CCM damu yangu! Ikifa na mimi Nakufa..

CCM damu yangu! Ikifa na mimi Nakufa..

Habari!
Binafsi hili vuguvugu la kuiponda ccm na kuiona haifai linaniumiza sana,
Nimezoea kula bure (kula kwa kupitia deals).
Nasafiri bure (nadhani hapa ni kwa kodi za walala hoi).

Chochote nitakacho napata kwa sababu CCM ipo madarakani, rafiki zangu kibao wamepata ajira kubwa kubwa regardles ujuzi wao mdogo na elimu yakuunga unga walionayo,(wawili wapo bandari, wanne wapo maliasili) just because ccm ndiyo wameshikilia dola.
Nina magari zaidi ya mawili, i got them kwa sababu tu ccm iko madarakani.

Ninavyosikia juu ya kufa kwa CCM naweweseka sana jamani.
Ila ninaamini CCM wakishindwa 2015.

Tupo wengi sana tutakao kuwa maskini, si mimi peke yangu.
Machale yananicheza sana.

Akina riz washajiwekewa njia m'badala yakujinasua endapo chama hakitaingia madarakani 2015.
Tunapambana kwa kila njia kwa maslai yetu, umaskini si mzuri jamani!

Maisha yakupanda bodaboda na kugombania daladala ni magumu jamani.

Nitafurahi ccm isipokufa niendelee kuishi kwa ubwerere.
Hata wenzangu nao watafurahi..

Copy...
Sumu, Ritz, chama, hawa ni wanachama pia
 
Last edited by a moderator:
Sio tu kufa ndugu yangu,unatakiwa upotee katika uso wa nchi.Katiba mpya yenyewe imeshawachanganya ndugu zako,wanakutana wiki ijayo!.
 
2015 ni mwaka wa sauti za masikini kusikika popote walipo nchini...na hizo gari zako tutauza na kununua matundu ya vyoo vya shule ya msingi Itirima
 
hahahaha,umenichekesha sana mkuu.ccm imeshakufa lakini mazishi yatakuwa 2015.
 
Ife haraka kama mgonjwa wa BP, mazishi tutafanya ila MATANGA HAKUNA.
 
Heri yako ccm ikupaye kula yako,sisi tulio tanzania halisi tunajua hakuna serikal ndan ya tz labda ipo nje ya mipaka. Huku ttlipo tunaporwa mashamba, biashara zinahujumiwa, maji shida, hospital hakuna dawa, shule nying ila elim duni, n.k vp mwenzetu unaishi wapi? Karibu na ikulu? Wape salam watawala waambie tutakutana nao mtaa uitwao ballot box 2015, mkumbuke ndugu yako apataye tabu kijijin kwa kukosa mbolea shamban kwake. Ccm ikifa hufi kwan hawakujui ww,usiwe shabik kuwa mwanachama ujenge chama,kwan siku zote mwanachama makin anaamin akikiuka misingi ya kupendwa kwake hukishusha chama. Tekelezen ahad mpenwe la sivyo mtaumbuka.
 
So brother kaka,kwa kuwa CCM imeshaanza kufa polepole huku ikiugulia maumivu makali ina maana na wewe pia umeshaanza kuoza na kunuka ukisubiri kifo tu.?Tunaopanda bodaboda na daladala ni wengi kulinganisha na rulling class mnaopanda hayo ma VX
 
Laana khum ccm! Tena ikifa isiende peponi haistahili! Imetutesa sana! Puuuuuuuuuuuuuuu!
 
Ccm wakiserukambiwa na wewe ivoivo au wakiliberaliwa na wewe ivoivo du
 
2015 ni mwaka wa sauti za masikini kusikika popote walipo nchini...na hizo gari zako tutauza na kununua matundu ya vyoo vya shule ya msingi Itirima

Lazima tuwajengee sisi? jamii inayowazunguka ina mambo mengi
 
Back
Top Bottom