CCM damu yangu! Ikifa na mimi Nakufa..

CCM damu yangu! Ikifa na mimi Nakufa..

Thats real brother.mtakufa weng na umaskn ndio unawaita ss,mmefaid miaka 50 and nw its a time for changes,hey ccm u dig your own grave guys.GOD blec the coming changes in tz.
 
Habari!
Binafsi hili vuguvugu la kuiponda ccm na kuiona haifai linaniumiza sana,
Nimezoea kula bure (kula kwa kupitia deals).
Nasafiri bure (nadhani hapa ni kwa kodi za walala hoi).

Chochote nitakacho napata kwa sababu CCM ipo madarakani, rafiki zangu kibao wamepata ajira kubwa kubwa regardles ujuzi wao mdogo na elimu yakuunga unga walionayo,(wawili wapo bandari, wanne wapo maliasili) just because ccm ndiyo wameshikilia dola.
Nina magari zaidi ya mawili, i got them kwa sababu tu ccm iko madarakani.

Ninavyosikia juu ya kufa kwa CCM naweweseka sana jamani.
Ila ninaamini CCM wakishindwa 2015.

Tupo wengi sana tutakao kuwa maskini, si mimi peke yangu.
Machale yananicheza sana.

Akina riz washajiwekewa njia m'badala yakujinasua endapo chama hakitaingia madarakani 2015.
Tunapambana kwa kila njia kwa maslai yetu, umaskini si mzuri jamani!

Maisha yakupanda bodaboda na kugombania daladala ni magumu jamani.

Nitafurahi ccm isipokufa niendelee kuishi kwa ubwerere.
Hata wenzangu nao watafurahi..

Nakupa sana pole maana najua upo ICU kwa sasa unakaribia kufa
 
Niliwahi kusikia jina la Cerebellum, hivi hiki kijiji cha ujamaa kiko mahali gani Tanzania?
 
Ni kweli mkuu wewe sio damu ya CCM ila umetuelekeza jinsi gani CCM wanavyotufanyia
Hongera mkuu hiyo ndio CCM ya leo
 
huwezi kutoka mana tayari umekula pesa ya mlipa kodi tayari na kuona utamu wake,nyerere alisema ukila nyama ya mtu huwezi kuacha,ndivyo nawe umeshazoea vya kudhulumu ndo mana waona huwezi ondoka,endelea huko huko komred,
 
Nadhani hata VUTA NKUVUTE a.k.a Mzee TUPA TUPA wa Lumumba hilo kashaliona ebu mleta uzi muite huyu!
 
R.I.P ndugu yangu ,
tena uandae wosia,maana maneno yanaumba uhalisia.
Nakupongeza kwa ujasiri ulionao ambao umeweza kubainisha ukomo wako.
2015 ni maazishi yako mara baada ya uchaguz.Tuambie unazikwa wapi tuhudhurie.
 
R.I.P ndugu yangu ,
tena uandae wosia,maana maneno yanaumba uhalisia.
Nakupongeza kwa ujasiri ulionao ambao umeweza kubainisha ukomo wako.
2015 ni maazishi yako mara baada ya uchaguz.Tuambie unazikwa wapi tuhudhurie.

Tutatetea serikali ya umoja wa kitaifa. hapo vipi?
 
huwezi kutoka mana tayari umekula pesa ya mlipa kodi tayari na kuona utamu wake,nyerere alisema ukila nyama ya mtu huwezi kuacha,ndivyo nawe umeshazoea vya kudhulumu ndo mana waona huwezi ondoka,endelea huko huko komred,

Kwa upungufu wa akili za watanzania., kuna mambo tutafanya na yatatulinda..
 
Hivyo vyama ulivyoviodhoresha hapo vilikuwa vya kikabila au sehemu ndio maana vilipotea haraka sana
angalizo kwa chadema ambacho kinafanana na vyama hivyo
 
Hivyo vyama ulivyoviodhoresha hapo vilikuwa vya kikabila au sehemu ndio maana vilipotea haraka sana
angalizo kwa chadema ambacho kinafanana na vyama hivyo

lakini vilitawala nchi zao mkuu
 
Back
Top Bottom