CCM damu yangu! Ikifa na mimi Nakufa..

CCM damu yangu! Ikifa na mimi Nakufa..

mmh umenchekeshaje?halafu kweli njemba nyingi zinazopigia debe ccm kwa sasa zinajua kabisa ccm ikitoka madarakan hali mbayaaa.usiombee kulishwa au kuvishwa kwa siasa
 
Mkuu usiwe na wasi wasi CCM ikianguka kwenye uchaguzi ujao basi jipe moyo kitarudi madarakani miaka mingine. Hautakufa lkn cha moto utakiona ndugu yangu kwa mtaji huo. Pole sana jitahidi kujitoa kwenye hayo mapenzi ya chama utaumia bure
 
du? kwel wana jf mmepewa kazi na cdm, yaani mnaanzisha mada alafu mnajijibu wenyewe, hakuna mwana ccm wakuja kupost vitu km hiv huku, kwanza tangu lini mtu anajikosoa mwenyewe, vijana achani kupoteza muda fanyeni kazi, hii sio kazi koz no products, haifai kujenga nchi japokuwa nalipwa lkn no production of goods and services hence it got no effect in economic wise
 
Mkuu usiwe na wasi wasi CCM ikianguka kwenye uchaguzi ujao basi jipe moyo kitarudi madarakani miaka mingine. Hautakufa lkn cha moto utakiona ndugu yangu kwa mtaji huo. Pole sana jitahidi kujitoa kwenye hayo mapenzi ya chama utaumia bure

Kurudi itakuwa ngumu sana sana...muhimu tusipoteze nafasi!
 
du? kwel wana jf mmepewa kazi na cdm, yaani mnaanzisha mada alafu mnajijibu wenyewe, hakuna mwana ccm wakuja kupost vitu km hiv huku, kwanza tangu lini mtu anajikosoa mwenyewe, vijana achani kupoteza muda fanyeni kazi, hii sio kazi koz no products, haifai kujenga nchi japokuwa nalipwa lkn no production of goods and services hence it got no effect in economic wise

Nimetoa hadi namba ya kadi hapo juu..
Hao cdm ndiyo tunaowaogopa mno!
 
Hakuna asubuhi isio na jioni, wala hakuna leo isio na kesho! jiandae
 
kuweka nadhiri kama hizi ni mbaya sana kisaikologia.
 
Kuna mzaha gani hapo? umaskini mbaya ndugu.. kusema ccm damu yangu namaanisha mengi!!

na kweli unamaanisha mengi, mm nimekung'amua mapema! haya bhana kila la kheri active member wa cdm!
 
Weweseka tu mizizi ya ccm haingoleki nyerere aliweka zege ambalosilaha yake haijagunduliwa
 
Habari!
Binafsi hili vuguvugu la kuiponda ccm na kuiona haifai linaniumiza sana,
Nimezoea kula bure (kula kwa kupitia deals).
Nasafiri bure (nadhani hapa ni kwa kodi za walala hoi).

Chochote nitakacho napata kwa sababu CCM ipo madarakani, rafiki zangu kibao wamepata ajira kubwa kubwa regardles ujuzi wao mdogo na elimu yakuunga unga walionayo,(wawili wapo bandari, wanne wapo maliasili) just because ccm ndiyo wameshikilia dola.
Nina magari zaidi ya mawili, i got them kwa sababu tu ccm iko madarakani.

Ninavyosikia juu ya kufa kwa CCM naweweseka sana jamani.
Ila ninaamini CCM wakishindwa 2015.

Tupo wengi sana tutakao kuwa maskini, si mimi peke yangu.
Machale yananicheza sana.

Akina riz washajiwekewa njia m'badala yakujinasua endapo chama hakitaingia madarakani 2015.
Tunapambana kwa kila njia kwa maslai yetu, umaskini si mzuri jamani!

Maisha yakupanda bodaboda na kugombania daladala ni magumu jamani.

Nitafurahi ccm isipokufa niendelee kuishi kwa ubwerere.
Hata wenzangu nao watafurahi..

uwezi kufa masikini, kwani ccm ni chama cha wanadamu, kwa hiyo kusudio la Mungu kukuleta duniani unalijua vizuri tu, jipange unaweza ukawa tajiri wa maajabu wakati chadema ikiongoza nchi 2015-2020
 
Habari!
Binafsi hili vuguvugu la kuiponda ccm na kuiona haifai linaniumiza sana,
Nimezoea kula bure (kula kwa kupitia deals).
Nasafiri bure (nadhani hapa ni kwa kodi za walala hoi).

Chochote nitakacho napata kwa sababu CCM ipo madarakani, rafiki zangu kibao wamepata ajira kubwa kubwa regardles ujuzi wao mdogo na elimu yakuunga unga walionayo,(wawili wapo bandari, wanne wapo maliasili) just because ccm ndiyo wameshikilia dola.
Nina magari zaidi ya mawili, i got them kwa sababu tu ccm iko madarakani.

Ninavyosikia juu ya kufa kwa CCM naweweseka sana jamani.
Ila ninaamini CCM wakishindwa 2015.

Tupo wengi sana tutakao kuwa maskini, si mimi peke yangu.
Machale yananicheza sana.

Akina riz washajiwekewa njia m'badala yakujinasua endapo chama hakitaingia madarakani 2015.
Tunapambana kwa kila njia kwa maslai yetu, umaskini si mzuri jamani!

Maisha yakupanda bodaboda na kugombania daladala ni magumu jamani.

Nitafurahi ccm isipokufa niendelee kuishi kwa ubwerere.
Hata wenzangu nao watafurahi..

Mkuu,

Nimeipenda hii 'satire' yako inayoonyesha jinsi wanachama wa magamba wanavyoweweseka kila wanapofikiria ya kuwa siku inakuja, naam haiko mbali ambapo utawala wao wa mabavu na wa kidhalimu utaporomoka.

Tunaposikia kelele zao za jazba na mapovu kuwatoka huko Bungeni, tunapoona jinsi walivyo tayari kutumia nguvu kubwa ya dola kuwadhibiti wananchi wanapodai haki zao, tunapoendelea kuona jinsi wanavyopanga na kuwabambikizia keshi wananchi wasio na hatia, yote ni ishara ya kuwa siku zao zinahesabika. Ni kweli kabisa hawapati usingizi.

Wanaishi maisha ya kifahari, wanasafiri na kula bure (kwa kodi ya mwananchi), wanapeana vyeo vikubwa wasivyostahili kulingana na elimu zao bila kujali nani anaumia (umetoa mfano wa bandari na maliasili naongezea pia elimu).

Hawa ndiyo wenye hofu kubwa sana wakifikiria itakuwaje ccm ikitoka madarakani, na ninaamini wako tayari kufanya lolote lile ili waendelee kubaki kwenye madaraka. Kuna yule aliyesema Bungeni ya kuwa yuko tayari kutoa ushahidi mpaka mbinguni kwa kesi ya kutunga...

Sijui siku ikifika, naam, haiko mbali, ccm ikitoka madarakani atakimbilia wapi :A S-fire1:
 
Falsafa ya lugha safi! tumekuelewa
 
Uwe ccm usiwe ,kufa kupo.swali ni kuwa utakufa katika mazingira gani na mwisho wako baada ya kufa ni upi?
 
Back
Top Bottom