Yafuatayo ni maswali ya awali lakini nitauliza zaidi kadri muda utakavyoruhusu:-
- Naomba unieleze CCJ inaongozwa na falsafa ipi katika uongozi wa nchi? Siongelei blah blah za CCM kama kilimo kwanza, nguvu mpya ari mpya etc.
- CCJ wana mkakati gani wa kupigania mabadiliko ya kimsingi ya katiba na sheria yatakayotoa fursa sawa kwa vyama vya upinzani (ikiwemo CCJ) kuendesha siasa za haki nchini?