Natamani watanzania waelewe kuwa hakuna wakuwaletea mabadiliko ila kwakila mmoja anaetaka mabadiliko kubadilika yeye kwanza.
Kwasababu hiyo CCJ inatoa opportunity kwa wale wote wapenda mabadiliko kabla haijawa jinsi tusivyopenda iwe; hivyo ni jukumu la kila mmoja mwenye mapenzi mema kusimama kwa zamu yake kuhakikisha CCJ inakuwa jinsi tunavyotaka iwe...Dont wait for others, join now make the lead and others will follow!
Mi ni mwanachama wa CCJ kwa itikadi na si kwa kadi and soon will lead for others to follow! I will stand at my watch to make sure CCJ becomes the party I dream to lead my country for the best of myself and of others!
ms Felister,kwangu mimi ni mfuasi wa itikadi zao,na nilishaweka hapo nyuma kuwa itikadi zao zinaelekea kuturudisha excactly at the point we were supossed to better ourselves from from poverty and so forth,and what failed us was and still are the leaders!
Its good that you drem to lead your country,hizo ni lugha nzuri tu za kimwamko,lakini hakuna jipya,ukishamchagua kiongozi you dont lead enimore and the dream is dead if not becoming a nightmare!
Tunapokuja sasa hapo kwenye leading,tunaambiwa kuwa viongozi wao hao ni wapya,sawa hilo liko wazi,lakini amin nakwambia kama wale wazalendo wengine wa kweli ambao wananchi wanawakubali hawaingii humo,sidhani kama wengi wetu wako tayari kugamble,Hata Obama mwenyewe kama si democratic party asingeshinda no matter what kind of a party he wouldve formulated! Na pia wengi waliweka imani baada ya watu kama marehem Kennedy na wengi wenye influence kubwa kwenye majority ya wanajamii wa kawaida (ambao kwa kweli they wanted something new or changes no matter what)endorsements matters no matter what ya'll say,Obama alikuwa endorsed na watu ambao walikuwa wakipewa heshma ya kuwa "watu wa watu" wenye kupigania maslahi ya jamii in a vast scope!
Mi bado nasuburia,kama ni kweli chama kinafuta "Misingi" ya kweli ikiwa ni pamoja na kuanzia kwa kurekebisha pale tulipokwama ndo solution,itikadi za chama hiki zenye kufanana na za TANU,zinzonyesha ni zile za kuturudisha kwenye msitari,hivyo ni lazima tuanze na wale waliokuwa wakipinga ufisadi toka enzi na enzi,ambao bado wapo,na wanaheshimika na watu wa kawaida kwa ujumla,yani masikini walio wengi,na kuchanganya na wale wa kizazi kipya kama wapo ie kina Renatus Muhabi na wenzake,inavyoonekana ndio hao viongozi wa ccj,ni lazima tuwaone hao watakaojitoa zaidi ya Mpendazoe,then we'll go from there,i dont really believe there's such a thing as "Brandnewey" in dis game.