Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,476
- 39,995
- Thread starter
- #81
Yaani, CCM wametupa kweli wajinga sisi watanzania!! Ili kuiondoa CCM lazima kuwe na chama kimoja tu cha upinzani ambacho itikadi yake ni ANTI_CCM, that is it.
Yaani kazi kweli kweli
Huwezi kuwa na chama cha itikadi ya anti-CCM! Ndio makosa makubwa ya upinzani uliopita; tunataka chama chenye itikadi ya kusimamia nini! CCJ ndiyo chama pekee kwa itikadi yake ni kinyume kabisa na zile za utawala uliopo sasa.