Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 34,097
- 43,309
- Thread starter
- #221
Unajikatia pande au unataka tuamini kila unachoamni au kutaka kuamini?
hapana nawaongezea tu more possibilities ya vitu vya kuamini na sababu ya kuviamini.
Unajikatia pande au unataka tuamini kila unachoamni au kutaka kuamini?
Sina tatizo na vitu vya kuamini, ila bado natatizika the motive behind hizo sababu, yaani underlying facts zilizopelekea hata wewe kuiaminia CCJ.hapana nawaongezea tu more possibilities ya vitu vya kuamini na sababu ya kuviamini.
Sina tatizo na vitu vya kuamini, ila bado natatizika the motive behind hizo sababu, yaani underlying facts zilizopelekea hata wewe kuiaminia CCJ.
Mimi bado ni Tomaso!.
Uwepo wako, au support yako kwa CCJ in apelekea to send signals that CCJ is something with a substance that is more that what we see ambacho ninyi wenzetu kama wewe umekiona, open our eyes na sisi tuone hicho unachokiona.
here is the thing; kuna vitu unaweza kuangalia vinafanyika au unaweza kushiriki kuvifanya. Mimi kama wewe niliona upungufu wa upinzani ulivyo nchini. Na toka mwanzo niliona tatizo lililoko CCJ kwa sababu kilianzishwa out of spite and anger. Lakini hakikuwa na substance wala kujua mbele kitakuwaje. Kwa vile naamini mabadiliko siyo yale tunayoyangojea au yale tunayoyaombea nikaamua nishiriki baada ya kutafuta ukweli wote wa kutosha kunishawishi na mimi.
Ni baada ya kufanya hivyo na kujua mengine (ambayo hayako wazi sasa) nikaamua kutoa my full support. Sasa kwa wengine ni vizuri muendelee kusubiri kama Tomaso au mchukue hatua kama niliyochukua mimi ya kwenda kuutafuta undani badala ya kukaa pembeni kusubiri undani uletwe kwenu.
Kama CCJ haitakuwa ninavyotarajia itakuwa ni gharama ambayo niko tayari kuilipa. Lakini nitakuwa nimeshiriki kuifanya iwe ambavyo ningependa iwe. Mabadiliko ni yale tunayoyaleta.
Uwepo wako, au support yako kwa CCJ in apelekea to send signals that CCJ is something with a substance that is more that what we see ambacho ninyi wenzetu kama wewe umekiona, open our eyes na sisi tuone hicho unachokiona.
Mzee Mwanakijiji, hapa ndipo unatakiwa uje na huo 'ukweli wote wa kutosha kunishawishi na mimi'. mengine (ambayo hayako wazi sasa) ili uyatumie kuwashawishi na wengine.Kwa vile naamini mabadiliko siyo yale tunayoyangojea au yale tunayoyaombea nikaamua nishiriki baada ya kutafuta ukweli wote wa kutosha kunishawishi na mimi.
Ni baada ya kufanya hivyo na kujua mengine (ambayo hayako wazi sasa) nikaamua kutoa my full support. Sasa kwa wengine ni vizuri muendelee kusubiri kama Tomaso au mchukue hatua kama niliyochukua mimi ya kwenda kuutafuta undani badala ya kukaa pembeni kusubiri undani uletwe kwenu.
Chama cha mwamko mpya wa ujenzi wa taifa CCJ kinaanza harakati za kukutana na kuzungumza na wananchi katika kujitambulisha zaidi kwa wananchi wakati kinaendelea kusubiri usajili wa kudumu. Hadi hivi sasa maelfu ya Watanzania wameamua kujiunga na chama hiki ambacho hakina "jina kubwa" na ambacho viongozi wake "hawana majina makubwa" katika medani za siasa nchini.
Katika siku chache zijazo CCJ itapita kusalimiana na kukutana (meet and greet tour) wananchi katika sehemu mbalimbali za Tanzania Bara na Visiwani.
Yawezekana una maswali mengi kuhusu CCJ ni yapi hasa na ungependa hasa kujua nini?
.Mzee Mwanakijiji,
Kwa kuongezea tu nitakupa ukweli ambao wengi hatupendi kuuweka maanani leo hii. Waislaam waliutaka Uhuru wa Tanzania mapema lakini wasingeweza kufanikiwa pasipo support ya Wakristu. Ndipo walipokuja na plan ya kuwavuta Wakristu na mwalimu akapewa Uenyekiti.
Pamoja na tofauti za kiimani, itikadi na malezi yao mwalimu alipokea kitu kicho akiwa pia na nia moja tu - kumwondoa mkoloni kwanza. Mwalimu aliweza kuwatumia waislaam na Wakristu kwa pamoja (umoja wao) kuleta Uhuru na kisha kuleta itikadi zake za Ujamaa na Kujitegemea, jambo ambalo kina Marealle na Mtenvu walishindwa kuliona - We should learn from Him..
Mkandara, nimeipenda hii hoja yako ya ushirikiano. If there is anything you can do, please do!. Mwalimu aliwahi kusema mahali, "Umasikini mkubwa kabisa na mbaya zaidi, ni umasikini wa fikra". Viongozi wengi wa upinzani pia ni masikini wa fikra za ushirikiano. Hata mimi kama nisingekusomo humu, nisingeijua siri ya Julius kupewa usukani wa TANU enzi zile. Ukimwelimisha Mzee Mwanakijiji kuhusu somo hili, utakuwa umeielimisha CCJ, kazi ianze kwa man to man naamini eventually it will sink into their hard heads.Pasco,
Kwanza mkuu wangu shukran sana kwa kunielewa. Mimi nimemsoma sana Dr. Slaa na hakika nimewahi kuongea hata na baadhi ya viongozi ingawa sii wote na hofu hii imekuwapo kiasi kwamba kila mmoja wao anamshuku mwenzie. Hapa ndipo CCM walipotupiga bao, wametumia njama ya mkoloni kutuweka ktk hali ya kutoaminiana hivyo utengano utaweza kutudhoofisha. Yawezekana kuna ukweli mkubwa ktk dhana hii lakini sisi binadamu tumeumbwa na akili sana kupita kiasi na vichwa vingi havikosi ufumbuzi.
Mimi nilikwisha kata tamaa kabisa baada ya Muungano ule wa kwanza kufa, na hakika ulikufa kwa sababu hawakuwa na agenda yoyote hasa baada ya kushindwa na CCM uchaguzi wa 2005. That was bad timing na hakika leo hii wapo bado viongozi ngazi za vyama hivi wanaamini ktk muungano..Nitarudia kusema Muungano wa vyama sii viongozi ila ni Wafuasi wa vyama. Chadema sii Mbowe Dr.Slaa au Zitoo hivyo hivyo CUF sii Sharif Hamad wala Lipumba na TLP,NCCR wote hawa wanajenga jina la chama kutokana na wanachama wake..
Sasa maadam hesabu kubwa ya wananchama wa vyama hivi wanataka kuunda nguvu kubwa ya pamoja kumshinda CCM isipokuwa baadhi viongozi wao wana ushawishi wa kuvunja nguvu hizi kumetokea kitu kingine hapa - UJIO wa CCJ...Hawa pia sii kitu pasipo wanachama wake Hivyo maadam hiki ni chama kipya chenye record ya Waasi ni vigumu wao kupokelewa kama mtu mmoja mmoja lakini kwa ujumla wao wakiomba kukutana na wananchi na ku extend their hand kuomba muungano kujenga Upinzani not politics za itikadis for now, wanachama wengi watawakubali na viongozi wale watakao kataa Umoja huo watajiengua wenyewe kwani Magazeti yote yatawasema wote waliojitokewza kuunga mkono Umoja huu.
Trust me, viongozi mapandikizi watashindwa kuingia chama na waasi.. na hata kama ni spies hawatakuwa na muda wa kujipanga zaidi ya kubabaika..Mchawi yoyote mtoe hadharani atanywea kama chatu. Hivi sasa mapandikizi wote wanatoa habari zinazoendelea ndani ya vyama vyao sasa mnapoogopa kuungana hali kikulacho kiinguoni mwako - what the hell!
Kibaya nachokiona hapa ni kwa CCJ kufikiria wanaweza kuvuta Umma wote wa watanzania pasipo msaada wawanachama wa vyama hivi vinginevyo. Sijui kwa jumla ya wanachama wote wa vyama hivi lakini naweza kusema kwamba wapowatu watakipigia kura Chadema, CUF, TLP au NCCR hata kama watasimamisha mbuzi. Hawa watu ndio huleta tofauti kubwa ktk kura hasa unapowaambia tuko chama moja. Mkuu mimi naweza sana kumpigia kura Salim lakini wapo wengi hawamkubali, hivyo hivyo Dr.Slaa na wengineo kwa sababu wakitazama nyuma yao hawaoni msululu wa makomandoo wapiganaji.. Lakini kama hawa watu watajipanga vizuri na kuchagua Wabunge wenye nafasi kubwa kushinda ktk kila jimbo pasipo kujali chama ila ushindi na kiti kikubwa akae mtu wa uhakika.. Amini maneno yangu JK atakuwa ktk hali ngumu sana.
Nje ya hapo CCJ ipigane toka ndani hawa wazee wanaweza kabisa kumchanganya JK toka ndani ifikapo uchaguzi kama watajitenga na kugawana majimbo wakitumia zidumu fikra za mwalimu..Huku nje kama unavyoona Mzee Mwanakijiji anataka kutufungia mbuzi ktk gunia..Yaani sisi wananchi tunaotakiwa kukijua chama ndio tumekuwa wataka cha Uvunguni..Badala ya chama kujitangaza na kuwa wazi wanaunauza nini wao wanaleta biashara ya baniani - Kama nataka nunua kama hutaki acha kushika shika mali. Kwa mtaji huo watakesha..
.
Mkandara, nimekusoma muda mrefu unavyojaribu ku-inject sense ya 'umoja ni nguvu' into Mwanakijiji's head and it doesn't sink.
Kwa vile mimi binafsi sio mwanachama wa chama chochote ila ni mshabiki wa demokrasia ya kweli, nadhani umefikia wakati to play more active role. If there is anything anybody can do to inject the sense of 'united we stand', or 'together we can' kwa spirit ya 'umoja ni nguvu', uchaguzi wa mwaka huu, hata kama hawatachukua nchi, ila CCM wataitikisa na bungeni kwa wingi watatinga.
Mkuu pengine huelewi kwamba tuna vyama 18 tayari wakigombania limited number za viti vya uongozi..Kuongezeka kwa CCJ ni kupunguza uwezekano wa ushindi nikiwa na maana kama tunatafuta Mbunge wa Kinondoni, nafasi ni moja tu ya mbunge. Kugombania watu 19 hali inawezekana kabisa kugombania watu 3 au 4 kwa nafasi hiyo moja ni kutojali gharama za matumizi ya kodi za wananchi maskini..Serikali itatakiwa kuvipa vyama 19 fungu kubwa la fedha kwa wagombea 19 tofauti na wagombea watatu au wanne. Na hata kama vyama hivyo 4 vitapewa fedha yote (mathlan), kila chama kitakuwa na mtaji tosha kujiendesha kuliko kugawana vyama 19 mtaji ule ule, unless tafsiri ya ushindani huu ni kugombania ruzuku moja ambayo ni pato la chama..Tatizo ninalo liona ni kuwa mnataka CCJ ndiyo isikubali kuwepo ili iungane na vyama vilivyopo; huu ni umoja katika udhaifu. - unity in weakness siyo endelevu
Mkuu mfano wako mzuri sana ikiwa tu hao wadudu wameamua kumuua nyoka kwa sababu huyo nyoka anawapa shida kubwa ktk maisha ya viumbe wote. Na itasherehesha zaidi ikiwa kati ya hao wadudu kuna mmoja wao anaweza kumuua huyo nyoka peke yake..lakini kama hakuna na kuna uwezekano wa hawa wadudu watatu kumuua nyoka ili kuboresha mazingira ya viumbe wote.. why not kwani siku zote Mchwa hula sisimizi hata pasipo kuwepo Nyoka. Na nyuki hawezi kujenga mzinga ulipo mzoga kwani asili ya asali haitaki mzoga karibu ila maua yanayonukia..hata wakiitikisa CCM na Bungeni wakatinga kwa wingi, watakuwa wanasimamia nini? Umoja wa wingi usio na msingi bado ni umoja wa udhaifu. Huwezi kuwakusanya nyuki, sisimizi, mchwa na siafu ati kwa sababu wote wanauma ukawaunganisha pamoja ili wamuue nyoka. Wakishamuua nyoka mchwa watawala sisimizi; sasa sisimizi hawezi kudai ati "tulikuwa na umoja kabla ya kuumua nyoka"! Na nyuki wakitaka kujenga mzinga ulipo mzoga wengine watasema nyuki anatumia nguvu zake zaidi!. You CAN NOT HAVE UNITY IN WEAKNESS. Hili naona ndio kwenu halizami kabisa. Nitaendelea kujitahidi hata hivyo
Mkuu nimekwisha kujibu swali hili huko nyuma. Ya kwamba, sababu za vyama hivi kutoungana ukweli sizijui kama nisivyojua sababu za CCJ...isipokuwa naweza ku speculate kwamba inatokana na ilee habari ya UJINGA (kutojua) na ULIMBUKENI (kujua) wakifikiri wao wanajua kumbe hawajui...na ndio shina la mti Ubinafsi kuunda matawi yake..Mkandara, kwanini vyama vilivyoop vya upinzani visiungane au kwanini vimeshindwa kuungana? na kwanini bila ya CCJ haviwezi kuungana bado?
Mkuu nimekwisha kujibu swali hili huko nyuma. Ya kwamba, sababu za vyama hivi kutoungana ukweli sizijui kama nisivyojua sababu za CCJ...isipokuwa naweza ku speculate kwamba inatokana na ilee habari ya UJINGA (kutojua) na ULIMBUKENI (kujua) wakifikiri wao wanajua kumbe hawajui...na ndio shina la mti Ubinafsi kuunda matawi yake..
asa maadam Pili, kutoelewa msingi wa kuwepo vyama vingi.. Demokrasia haimaanishi ni utengano baina ya watu kifikra ila ni umoja wenye itikadi (imani) tofauti. Politics zote za Bongo zinazungumzia Watu na Matukio, huu ndio muundo wa demokrasia yetu. Na huwezi kubadilisha tofauti hizi iwe kwa CUF, Chadema wala CCJ kwani wote pamoja na kuwa na itikadi zao bado wanaona hawana jukumu moja. Kila mmoja wao anafikiria yeye kuwa Mtawala kama yule Nyuki anayetaka kujenga mzinga karibu na mzoga.
Ssilaha kubwa ya CCJ ni itikadi ambayo ndio wanajivunia hiyo itikadi haiwezi kufanya kazi ktk mfumo usiotambua tofauti hizi..Politics za Tanzania zinazungumzia sana WATU na MATUKIO yao..lacking insight of the all idea behind Politics
Mkuu wangu, CCM waliunda mfumo wa vyama vingi for their benefit and advantage. Kwanza ni Tanzania na uongozi wake kukubalika kama nchi ya demokrasia kuweza kupata mikopo na misaada. Na hivyo kufanya mfumo mzima wa demokrasia nchini kuwa fake hata kama kuna tofauti za Kiitikadi ambazo hazitumiki. Ni sawa na kuunda sheria lakini wapo watu ambao ni above the law, kisha mnaendelea kuongeza sheria zaidi pasipo kufuta mamlaka ya wale walioko juu ya sheria.
Sasa mkuu wangu mimi na wewe tusiwe kama wao, tufikirie tofauti na kuwakilisha mawazo yetu kwa Umma wa Watanzania ikiwa ni pamoja na viongozi wa vyama hivi. Tusiendelee kuunda vyama vingi ktk mfumo batili badala yake nguvu zetu ziwe ktk kubomoa muundo huo kwanza.
Na hatuwezi kufanya hivyo pasipo ushindi dhidi ya CCM.. Kwangu mimi CCM ni sawa na mtawala mkoloni na aje huyo Kingunge aniulize kama namjua Mkoloni!..Na kumwondoa mkoloni kwanza unahitaji Uongozi safi, umoja na nguvu ya wananchi, siasa za Mapinduzi na mwisho master plan.
Tumechukua miaka kumsafisha Kikwete, chaguo lilikuwa la JK kutusikiliza au kutokutusikiliza lna sisi tuliifanya kazi yetu kila tulipoona makosa lakini ktk akili za wanaojua kumbe hawajui walifanya wao wanayoyaona bora zaidi na tumefika hapa. .Hili ni kweli.
Na wewe Mwanakijiji pengine uliunda maadui kwa kufanya hivyo..lakini maadam ulikuwa na nia safi, lengo safi kwa maslahi ya taifa zima..Ujumbe wako ulipofika..
Hili ni sehemu ya gharama hiyo na ninaamini kwa kadiri naendelea kusimama ninaposimama nitajiongezea na tayari nimeshajiongezea maadui wengi zaidi na wenye nguvu zaidi. Lakini ni gharama ambayo nilikuwa tayari kuilipa miaka minne iliyopita kama nilivyo tayari kuilipa kwa miaka mingi ijayo. Ni matokeo tu ya maamuzi ambayo tunatakiwa kuchukua.
Na ningekuelewa kama CCM ni tatizo la CCJ sio wananchi kwa ujumla wake, kwani silaha na nguvu ulizonazo wewe CCJ hana Chadema au CUF lakini pia walizonazo wao wewe huna. Ndio maana unaanza kutafuta kusajili na umeshindwa kupita hapo wakati wenzako wameisha kuwa na nguvu hiyo, bado unatafuta nguvu ya wanachama acha mbali Wapiga kura ambao within four month uwe tayari umewashawishi vya kutosha. Hizi ni weakness zako lakini ni plus ktk umoja wa vyama.
You must stand together as one, ndipo hili lidude likubwa li SISIEM, litang'oka, bila hivyo, tusubirie miaka 5 mingine!
Mzee Mwanakijiji,
Maadam unaamini hivyo mkuu endelea na imani yako au yenu to the finals na hakika nakuombeeni kila la kheri even though najua hamtafika popote.. By the way I'm 100% sure kwamba watu kama Salim, Warioba, Sitta na wengineo waitwao wapiganaji waliowahi kupitia njia ngumu za mageuzi nchini hawamo ktk chama hiki cha CCJ - HAWAMO. I bet yah! hawa ni opportunist tu hakuna Tumaini Jipya hapa na pengine umeingizwa mkenge wewe.
Ikiwa umeshindwa kuelewa kwa nini CUF visiwani, NCCR-Mageuzi waliweza kushindana na CCM pasipo kuwepo upinzani wa vyama 18 sidhani kama utaelewa lolote kamawasivyoelewa wengineo..Ukishindwa kuliona hilo na ukafikiria Chama CCJ kama chama badala ya WATU kuunganisha nguvu zao sidhani kamautakuja kuelewa. Tutakuwa tunazungumza lugha ya JK kuwatukana kina Mgaya hali swala zima la TUCTA linawahusu wafanyakazi wote wa Umma.
Mkuu wangu nimesema huwezi kunielewa na unazidi kutonielewa. hao vyama 18 pamoja na CCM hawana tofauti na wewe CCJ hivyo nitaweza vipi kupata Umoja kwa watu ambao mna asili moja? - Nyote hamuambiliki mkasikia ila mnayajua yenu!ni uwezekano mkubwa kweli lakini ni gharama ambayo niko tayari kuilipa. Katika life kuna risk takers.. I'm one of them.
Inawezekana kabisa ni kutokana na kile ulichokisema ni ujinga na upumbavu wa baadhi yetu na uwezo wetu mdogo wa kuelewa mambo haya ya umoja. Nyinyi wenzetu wenye uelewa mkubwa na uliopevuka tafuteni umoja kwenye hivi vyama 13 vingine mtufundishe sisi wengine.
Mkuu wangu nimesema huwezi kunielewa na unazidi kutonielewa. hao vyama 18 pamoja na CCM hawana tofauti na wewe CCJ hivyo nitaweza vipi kupata Umoja kwa watu ambao mna asili moja? - Nyote hamuambiliki mkasikia ila mnayajua yenu!