...Capt. John Komba aliudanganya Umma!

...Capt. John Komba aliudanganya Umma!

Sasa huon kuwa ww ndo umekengeuka? Ukiweka picha ya Komba alioonekana na ya machemli ni picha gan utapigwa ban humu ndan? Obviosly n ya machemli coz wote wapo naked, akil huna ndio coz huwez tetea picha ya kutengenezwa paspo mjua mhuska mkuuu, komba yupo na tshirt lake na hlo ndo kosa huyu mtu mliemnunua amchafue alpowaangushen,,, poor u na thinkn capacty yako


Sent from my iPhone using JamiiForums.🔩🔨

Wewe uwezo wa kujenga hoja na kunifanya nikubaliane na wewe huna, unachojua ni kuniambia mimi sina akili, nakubaliana na wewe akili sina lakini angalau nina uwezo wa kutofautisha picha feki na picha halisi.

Tiba
 
Kuwa faragha si Kigezo cha kuendekeza Michepuko nje ya ndoa , kwani wameleta picha za komba na mke wake wa ndoa? Tambua maadili Tanzania yalishapotea ndio Maana Vijana wanavaa nguo chini ya Ma.ta.ko wengine nguo za ndani ni chafu hakuna Kiongozi wala Mbunge hata wa Ukawa amewahi kulisemea hili.kumbuka Komba ni kioo cha jamii anapaswa kuishi kwa mfano bora si kuishi kwa kucopy ya wazinzi wa mitaani.
unaposema mtu ni kioo cha jamii inamaanisha kwamba kile anachokifanya hata jamii anayoingoza inafanya pia,........

Mimi nazani kama vyombo vya habari vingekua vinawapa nafasi kubwa viongozi ambao wanafanya mambo mema ingekua poa sana, hawa wachafu wapelekwe mahakamani na ushahidi upelekwe huko kama wamevunja sheria, hakuna haja ya kutoa picha chafu kama hizo kwenye magazeti.....
 
Kitu kinaitwa Maadili Tanzania hakitumiki kabsa Viongozi wote hadi Ukawa hawatambui uwepo wa Maadili ,vijana siku hizi wanavaa nguo chini ya Ma.ta.ko na Wadada nao vinguo mitego vimeshamiri ndio Maana akina komba na Machemli wametegwa wakanasa kirahisi hv. Siku akitokea kiongozi jasiri Kama marehemu Sokoine mwenye msimamo,asiyependa kufanya kazi kwa kujaribu jaribu,asiyefaMnya kazi kwa kuiga Nchi za ulaya na Marekani ktk suala la maadili,nina hakika Maadili yakirejeshwa kwa vitendo pasipo ubabaishaji hivi vitendo vya akina komba na wenzake vitabakia Kuwa Historia tu.
 
Hahahhaaaaaa, mtamuua huyu mzee jamani. Halafu inawezekana alikuwa akiyafayanya hayo usiku ule ule alipokuwa akimaliza kuhutubia!!!!!
 
ITV wachokozi sana, wanatoa ile speech ya JKN kuwa waziri wa UK alikumbwa na kashfa ya ngono! anasema PM wala hakusoma barua yake bali alibariki huyo waziri kujiuzulu!!! Komba na Waziri Kamani wazee wa MCHEPUKO wanaweza kujiuzulu kweli? I doubt ....
 
unaposema mtu ni kioo cha jamii inamaanisha kwamba kile anachokifanya hata jamii anayoingoza inafanya pia,........

Mimi nazani kama vyombo vya habari vingekua vinawapa nafasi kubwa viongozi ambao wanafanya mambo mema ingekua poa sana, hawa wachafu wapelekwe mahakamani na ushahidi upelekwe huko kama wamevunja sheria, hakuna haja ya kutoa picha chafu kama hizo kwenye magazeti.....
Mawazo yako ya mahakamani si mabaya lakini swali ni nani atawapeleka huko mahakamani ? Upo tayari wewe kuwapeleka mahakamani? Ujue mahakama zetu wapo busy na mlundikano wa Kesi ? Je? Unafahamu Kuwa mwenye pesa ndio mwenye Haki hata Kama ana kosa? Acha mahakama washughurike na kesi zingine za wananchi ,akina Komba na wazinzi wenzao wataadhibiwa hapa hapa JF Maana Michango ya wana JF ni mwiba mkali na mtambo wa kurejesha nidhamu.
 
ITV wachokozi sana, wanatoa ile speech ya JKN kuwa waziri wa UK alikumbwa na kashfa ya ngono! anasema PM wala hakusoma barua yake bali alibariki huyo waziri kujiuzulu!!! Komba na Waziri Kamani wazee wa MCHEPUKO wanaweza kujiuzulu kweli? I doubt ....
Bongo kujiuzulu kwa kashfa ya Ngono ni mwiko . Ni marufuku bongo kujiuzulu watajiuzulu kwa mambo mengine si Haya ya faragha.
 
Huyu Komba aache kubishana na ukweli. Watu wanazo picha zake akiwa kwenye baa ya Chuwa na visichana vidogo.

Na hata ile lodge anayopenda kwenda kufanyia mauchafu yake mitaa ya Sinza watu washamrekodi akiingia na hivyo visichana.

Kama anabisha na aje humu akatae kwamba pale kwa Chuwa hajawahi kwenda kukutana na hivyo visichana vidogo.

Aje hapa abishe watu tuziweke videos....dunia ya leo siyo dunia ya miaka ile.

Now let's see how far he wants to take this......

.......lol.....arrgh....arifu! we unataka JF ifungiwe?!!.....acha hizo arifu!...
 
Wadau,

Juzi hapa zilisambaa picha tofauti za mheshmiwa huyu akiwa na wadada wawili tofauti katika mionekano ya kuashiria kuna mapenzi baina yao. Kama kawaida ya wanasiasa wengi walivyo waongo, Mheshmiwa huyu alikimbilia Clouds FM kukanusha kuhusika kwake kwenye picha hizo.

Pamoja na sababu zingine, Mheshmiwa huyu alidai kua Picha za Uso/Sura/Kichwa chake zilitumika kuunganisha kwenye kiwiliwili cha mtu mwingine aliekuwepo na huyo dada ili ionekane ni yeye wakati sio kweli.

Sasa hapa chini zimenaswa picha mbalimbali za Mheshmiwa huyu akiwa na Nguo zilezile alizozikataa hapo mwanzo kua sio yeye bali sura ndio ilikua ya kwake.
View attachment 163506

View attachment 163507

Nawasilisha!!

Hili dude ndio maana kina mpoki wanaliigiza,kumbe ujinga wake ni wa kweli!
 
.......lol.....arrgh....arifu! we unataka JF ifungiwe?!!.....acha hizo arifu!...

Labda tuwatajie
Hiyo lodge inatwa

BLUE ROSE

UKIFIKA .MEEDA NJIA YA KWENDA HOSTEL ZA CHUO ZAMANI UKIPITA MBELE KUSHOTO KUNA LOJI NYEUPE UKITAKA MORE INFO UTAKUTA

DADA MOJA LA KINGONI LINAMZIGO ADIMU UKO ....LIPE BUKUKUMI TU ANAKUPA INFO oTE
 
Wenye verse ya mgeni mgeni mgeni ameingiia mgeni ....embutiwekeeni hapa
 
Kapteni Komba kama namuona vile presha inapanda presha inashukaaaa...teh teh!!!
 
Pengine WENGI WANAJIULIZA PICHA ZIMEPATIKANAJE

HUYO ALIETEMBEA ANA RAFIKIYAKE WA KIKE ALIPOMWOMBA SIMU AKAANZABKUCHUNGULIA PICHA ALIPOZIONA ZA KINGORA WETU AKAZIRUSHA FASTA KWENYE WATISAPU YAKE SHUGULI IKAANZIA HAPO NANSIO MPAKA ....
 
Perception is everything reality is nothing. New world order.
 
eti yule ni mpiga kura wake alikuwa mgonjwa ndio maana alivaa kanga komba akiwa full nguo
komba aalienda kumjulia mgonjwa hali

Huyo Komba ni bora angekaa Kiimya kuliko kujichanganya na kujidhalilisha zaidi , namshauri Kama Kama akitaka watu wamsamehe ni bora akili kisha aombe radhi kidogo itaweza kumsaidia .
 
Kapteni Komba kama namuona vile presha inapanda presha inashukaaaa...teh teh!!!

Huenda akakimbilia Mbugani kujificha kwa aibu Maana sasa kila anapopita ananyooshewa kidole na watu.
 
Bongo kujiuzulu kwa kashfa ya Ngono ni mwiko . Ni marufuku bongo kujiuzulu watajiuzulu kwa mambo mengine si Haya ya faragha.

Ni kweli Tanzania kuwajibika ni Jambo gumu sana ! Ukiona kiongozi kajiuzulu basi ujue kajiuzulu kwa Mbinde ! Tz kila kitu ni mbinde mbinde kasoro ufisadi tu ndipo Hakuna mbinde.
 
Wanatufanya kuwa watu hatuijui wala kuitumia photoshop . yani izo pics hakuna edit ata moja hapo ,
hawa wabunge wangekuwa wanajua,wangekuwa wanakaa kimya tuu .
ili msimu wa kashfa zinazowakumba nazo zipite.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom