...Capt. John Komba aliudanganya Umma!

...Capt. John Komba aliudanganya Umma!

Wewe ndie unayeleta ushabiki ambaye hauwezi kutofautisha picha halisi na picha ya kuchongwa. Kama unataka kuthibitisha unachotaka tuamini weka picha halisi au njoo na ushahidi sio kubwabwaja tu hapa. Eti harudi mjengoni na wala hatagombea, hayo kwa sasa ni none issue, issue hapa ni kwamba mpango wenu umekwama, kaanze upya.

Tiba

Akil huna www unaemtetea mtu anaejijua,ww machemli unamwona bungen tu na mikutano ya hadhara mm ndo mpiga kura wake namjua A-Z njoo nansio hapa uulze ameshatembea na ma barmaid wangap,kaiba wake za watu wangap hapa wilayan?usilolijua n sawa na usku wa giz ww kelel zako huku jf hazna mwangwi mchumia tumbo ww


Sent from my iPhone using JamiiForums.🔩🔨
 
wewe unayebisha ndiye unayepaswa kutoa ushahidi huo utuaminishe kwamba zile photo ni real na sio kazi ya photoshop.

Machemli sio za kuchonga n kwel kabsa,yule tunamjua sisi wakerewe tuliopo nansio huku ndo tunamjua vzur machemli


Sent from my iPhone using JamiiForums.🔩🔨
 
Machemli sio za kuchonga n kwel kabsa,yule tunamjua sisi wakerewe tuliopo nansio huku ndo tunamjua vzur machemli


Sent from my iPhone using JamiiForums.🔩🔨

Machemli halisi ana kitambi,
Huyu wa kuchonga hana kitambi!!
 
Pamoja na kuletewa machemli ili ku dilute, lakini wananchi wenye hasira bado mnaye Komba tu!
 
Pamoja na kuletewa machemli ili ku dilute, lakini wananchi wenye hasira bado mnaye Komba tu!
Mpaka atakapokiri kosa na kuwaomba wapiga kura wake msamaha!!
 
Shark,kwani sharti ambalo ulinunua miaka 10 iliyopita hadi leo unalo? Na unaendelea kulivaa? Maana kuna picha kuwa ili pgwa mwaka 2004

that is possible,,tena awa wabunge wana hela so wana nguo nyingi,,akivaa leo moja anaiweka kwa sanduku ad mwakani,,,hao sio kama wewe unayevaa nguo moja siku 4,,,kununua nyingine ni mbaka lumumba wakuwezeshe,,
 
afu we lizaiboni kwani umeambiwa uwo umalaya huyo jamaa kaufanya mwaka huu,,,,inawezekana ni miaka mingi nyuma,,,,
 
Hizi za KOMBA hata kama ni halisi unaweza kuzitazama mbele ya Mkweo , ila zile za Kamanda Machemuli hazifai hata kuzitizama mwenyewe.

tehee,povu! so unakiri kwamba kweli jamaa ni kahaba,,,,Shamsa ford amekiri hata huyo machemli hajawahi kukutana nae physicaly,,,,we endelea kumpaka kinyesi komba,,
 
Akil huna www unaemtetea mtu anaejijua,ww machemli unamwona bungen tu na mikutano ya hadhara mm ndo mpiga kura wake namjua A-Z njoo nansio hapa uulze ameshatembea na ma barmaid wangap,kaiba wake za watu wangap hapa wilayan?usilolijua n sawa na usku wa giz ww kelel zako huku jf hazna mwangwi mchumia tumbo ww


Sent from my iPhone using JamiiForums.

Mkuu naweza kukubaliana na wewe kwamba uenda akili sina, sawa na pia uenda kweli mimi ni mchumia tumbo sawa, lakini ili kuitetea hoja yako leta ushahidi hapa sio hizo picha za kutengeneza kwa photoshop. Kutwambia ametembea na Barmaid Nansio yote, hiyo yeyote anaweza kusema kama wewe unavyosema, lakini ushahidi huko wapi? Unataka tumhukumu mtu kwa kuwa wewe umesema, eti mpiga kura wake? Acha siasa uchwara na kumbuka this is a great thinkers forum, hatuendeshwi na kutoa maamuzi kwa kufuata mihemuko ya wachangiaji wengine, at least mimi.

Tiba
 
Hizo za Komba ni picha halisi lakini za yule Mkerewe, ni za kuchonga!!!!! Sijui akili za watu wengine, yaani unakwenda kwenye mchepuko halafu unakubali kupigwa picha?

Tiba
Chezea akili ndogo weee! Muulize Msigwa akudadavulie vizuri vituko vya wenye akili ndogo ....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom