...Capt. John Komba aliudanganya Umma!

...Capt. John Komba aliudanganya Umma!

Kwani huyo bint si yupo hai mwiteni mumpe kiti moto atasema ukweli halafu jamani mbona tutaanzisha vile mashine vya lie detective mbona tutawapata wengi Maury. Show njoo bongo bwana
 
Wadau,

Juzi hapa zilisambaa picha tofauti za mheshmiwa huyu akiwa na wadada wawili tofauti katika mionekano ya kuashiria kuna mapenzi baina yao. Kama kawaida ya wanasiasa wengi walivyo waongo, Mheshmiwa huyu alikimbilia Clouds FM kukanusha kuhusika kwake kwenye picha hizo.

Pamoja na sababu zingine, Mheshmiwa huyu alidai kua Picha za Uso/Sura/Kichwa chake zilitumika kuunganisha kwenye kiwiliwili cha mtu mwingine aliekuwepo na huyo dada ili ionekane ni yeye wakati sio kweli.

Sasa hapa chini zimenaswa picha mbalimbali za Mheshmiwa huyu akiwa na Nguo zilezile alizozikataa hapo mwanzo kua sio yeye bali sura ndio ilikua ya kwake.
View attachment 163506

View attachment 163507

Nawasilisha!!

Komba Bonge Vioja kaanza Kitambo isipokuwa alikuwa akijificha Msituni hakuwa akionekana , lakini kwa wale tunaomjua Komba hivi ni Vioja kiduchu ukilinganisha na Vingi ambavyo havijafichuliwa.
 
Nimeguswa na huuo utaalamu wa Mheshiwa kujitambua kuwa ana uzito wa kupindukia na kurundika viti vitatu ili vimpe support. Sijapenda mdogo wetu Vicky alivyoridhia kushikwa paja na Mheshimiwa mwenzake, siyo vizuri unless wana uhusiano wa karibu sana (ndugu) au ni wapenzi.

Kwan hajaukana huo mkono!
 
Komba a.k.a Bonge ni Muumini number one wa Ngono zembe japo Umri umeenda lakini bado hujioni ni kidume anapenda Ngono kuliko Maendeleo ya Jimbo lake zile pesa za mfuko wa Jimbo zote humalizikia kunako kujifurahisha Nafsi yake, Komba Bonge huwa anajuta kuijua JF Maana anadai wanasema Ukweli lakini hapo hapo anatambua Ukweli unauma japo anatapa tapa kujisafisha Sidhani Kama atafanikiwa.
 
Nimeguswa na huuo utaalamu wa Mheshiwa kujitambua kuwa ana uzito wa kupindukia na kurundika viti vitatu ili vimpe support. Sijapenda mdogo wetu Vicky alivyoridhia kushikwa paja na Mheshimiwa mwenzake, siyo vizuri unless wana uhusiano wa karibu sana (ndugu) au ni wapenzi.
Hapo alikuwa akimhoji Komba Kulikoni kwenda kumaliza Pesa kwa Vitoto wakati mambo ipo huku ?
 
Tafuta jambo la maana tujadili. Kutegemea ukweli kutoka kwa mtu yeyote wa ccm ni sawa na kutarajia kuvuna embe kutoka kwenye mbigiri.
 
eti yule ni mpiga kura wake alikuwa mgonjwa ndio maana alivaa kanga komba akiwa full nguo
komba aalienda kumjulia mgonjwa hali

Mgonjwa kajipaka lipstik mgonjwa kajipodoa usanii mwingine bwana
 
Nimeguswa na huuo utaalamu wa Mheshiwa kujitambua kuwa ana uzito wa kupindukia na kurundika viti vitatu ili vimpe support. Sijapenda mdogo wetu Vicky alivyoridhia kushikwa paja na Mheshimiwa mwenzake, siyo vizuri unless wana uhusiano wa karibu sana (ndugu) au ni wapenzi.

huyo binti alivyotulia...! huo mkono wala haumsumbui. angekuwa ndugu hakika angeshtuka...
 
Mtangazaji wa Clouds FM kwa makusudi au la hakumuuliza Bw. Komba swali la msingi kabisa: Je Bw. Komba, unawafahamu wasichana wanaooneka katika picha za utupu pamoja nawe? Kwa kutokuuliza swali hili, ni dhahiri kuwa Clouds Fm inatumika kumsafisha mheshimiwa huyu. Hali hii ni kinyume kabisa na maadili ya uandishi wa habari. And it makes the the society worse off. Vyombo vya habari vya namna hii havina manufaa yoyote kwa jamii.
 
kwani hiyo 2004 hakuwa akiitwa komba? unataka kutuaminisha kwamba 2004 komba alikuwa hajazaliwa au unataka tukueleweje?
hiyo picha ya mwaka 2004 inaonekana na imefanyiwa usanii kidogo.kwa mawazo yangu inaonekana yuko katika mkutano wa hadhara,kwahiyo hiyo picha chanzo chake ni media kama gazeti kwamaana kipindi hicho hata mambo ya intanet yalikuwa hayajawa sana tanzania.

Hiyo picha ndogo ikiwa imeegemewa na mwanamke alievaa kanga ndo nnahisi kuna kitu,inaonekana imechukuliwa picha ya komba akiwa amekaa baada ama kabla ya kuhutubiwa ikaungwa na kipande cha picha cha hiyo picha ya mwanamke wa rahatupu.com or wherever ,kisha ikawekwa picha ya huyohuyo mwanamke wa rahatupu akiwa kafunua kanga.
In short picha ya mwanamke yaweza kuwa ya hivi karibuni na si miaka kumi iliyopita.
 
Sasa watafute nguo za kuvaa kwenye michepuko tu na disguises nyingine kama ndevu bandia etc, la sivyo ni kuaibika tu!. Shortcut - acha kuchepuka
 
Wadau,

Juzi hapa zilisambaa picha tofauti za mheshmiwa huyu akiwa na wadada wawili tofauti katika mionekano ya kuashiria kuna mapenzi baina yao. Kama kawaida ya wanasiasa wengi walivyo waongo, Mheshmiwa huyu alikimbilia Clouds FM kukanusha kuhusika kwake kwenye picha hizo.

Pamoja na sababu zingine, Mheshmiwa huyu alidai kua Picha za Uso/Sura/Kichwa chake zilitumika kuunganisha kwenye kiwiliwili cha mtu mwingine aliekuwepo na huyo dada ili ionekane ni yeye wakati sio kweli.

Sasa hapa chini zimenaswa picha mbalimbali za Mheshmiwa huyu akiwa na Nguo zilezile alizozikataa hapo mwanzo kua sio yeye bali sura ndio ilikua ya kwake.
View attachment 163506

View attachment 163507

Nawasilisha!!
ila lazima nikubali kuwa shark yuko juu sana kwa mambo haya ya picha.

Hata picha ya pili nayo inazua maswali.huyo binti anayembusu huyo komba,imekatwa kichwani makusudi.iwapo ingeonekana hata zaidi kidogo ya hapo ingeonyesha tafsiri tofauti.
Shark hebu onyesha hiyo picha ndogo yote tuone.
 
Wadau,

Juzi hapa zilisambaa picha tofauti za mheshmiwa huyu akiwa na wadada wawili tofauti katika mionekano ya kuashiria kuna mapenzi baina yao. Kama kawaida ya wanasiasa wengi walivyo waongo, Mheshmiwa huyu alikimbilia Clouds FM kukanusha kuhusika kwake kwenye picha hizo.

Pamoja na sababu zingine, Mheshmiwa huyu alidai kua Picha za Uso/Sura/Kichwa chake zilitumika kuunganisha kwenye kiwiliwili cha mtu mwingine aliekuwepo na huyo dada ili ionekane ni yeye wakati sio kweli.

Sasa hapa chini zimenaswa picha mbalimbali za Mheshmiwa huyu akiwa na Nguo zilezile alizozikataa hapo mwanzo kua sio yeye bali sura ndio ilikua ya kwake.
View attachment 163506

View attachment 163507

Nawasilisha!!


Siku hizi UAMINIFU KATIKA MAISHA YA NDOA NI BIDHAA ADIMU SANA. Hakuna mtu mwaminifu hata kidogo. Wewe bisha leo kama kawaida yako kwa kuwa kwa sasa hupo katika hali hiyo ya kukosa uaminifu lakini kesho itakuwa zamu yako na nafsi yako itakuwa shahidi na wala si mimi au mtu mwingine. Huyo Komba ni kiwakilishi cha wengi na wala siajabu kuona vitu kama hivi kwenye mitandao.

Cha ajabu ni kipi alichokitenda kilicho cha ajabu sana ambacho wengi wetu hatukifanyi kiasi cha kudhalilisha utu wake ki hivi? Hata kama ni mkosefu adhabu ya mkosefu si kumwanika ki-hivi. Wewe unapomnyoshea mwenzako kidole huoni vidole vilivyobaki inaangalia kwako. Tutumie busara zaidi na kulinda utu wa binadamu.
 
Mtangazaji wa Clouds FM kwa makusudi au la hakumuuliza Bw. Komba swali la msingi kabisa: Je Bw. Komba, unawafahamu wasichana wanaooneka katika picha za utupu pamoja nawe? Kwa kutokuuliza swali hili, ni dhahiri kuwa Clouds Fm inatumika kumsafisha mheshimiwa huyu. Hali hii ni kinyume kabisa na maadili ya uandishi wa habari. And it makes the the society worse off. Vyombo vya habari vya namna hii havina manufaa yoyote kwa jamii.

Bongo kila kitu kinawezekana si unajua Yule mwakilishi wa Clouds yupo pale Dodoma kitambo yawezekana wamejenga urafiki na komba a.k.a Tumbo Mzigo, Cluods kuweni makini si kila Habari toka Dodoma inatakiwa ilushwe kabla ya kufanyiwa utafiti wa kiina.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom