Weka picha zake tumchambue naye maana haijalishi ni nani cha muhimu maadili yazingatiwe. Halafu mbona unamtetea kama vile ni wewe ulikuwa unag'atwa vile?
Mwenyekiti wetu yupi tena, kama picha zake zikiwekwa atasemwa tu. weka picha zake zenye ushahidi wa kutosha kama hizi za komba tutamsema eti.