Shark
JF-Expert Member
- Jan 25, 2010
- 29,915
- 30,027
- Thread starter
- #21
Shark,kwani sharti ambalo ulinunua miaka 10 iliyopita hadi leo unalo? Na unaendelea kulivaa? Maana kuna picha kuwa ili pgwa mwaka 2004
Wakunyumba, naona umekazana kumtetea wakunyumba mwenzio.
Hapa tunazungumzia sababu alizozitoa Komba kua kile kiwiliwili cha kwenye Picha ile ya malavidavi hakikua cha kwake, bali cha mtu mwingine ila kikaja kikapachikwa kichwa chake kwa juu kwa kutumia utaalamu wa picha.
Sasa kiwiliwili hichohicho alichokikana kimeoneka mahali pengine kikiwa na sura hiyohiyo ya kwake.
Tukirudi kwenye swali lako huyu jamaa ni "oversize", so nguo za watu kama hawa hua ni adimu kidogo madukani na mitaani. So ukiipata moja unaitunza vilivyo maana kupata ingine ni adimu mno. Sio ajabu akawa na nguo toka mwaka 2004.