Buriani ndugu zangu , tutaonana akhera

Buriani ndugu zangu , tutaonana akhera

Sio kila kitu cha kuchukulia mzaha mzaha, hii taarifa siio taarifa ndogo, huenda tukamsaidia kama ni kweli lakini kama si kweli basi fahamu kuwa kuna wengine pia wenye msongo kama huo ulioelezwa na ambao kwa kutoa ushauri mzuri huenda tukawasaidia.

Sometimes MUNGU anaweza kumtumia mtu mwingine ili kuokoa mtu au watu wengine bila kujua! Rejea kisa cha yule jamaa aliyepeleka mtumbwi wake ukapakwe rangi, mpaka rangi akaona tundu kidgo kwenye mtumbwi ule akaamua kuliziba kisha akaendelea na kazi yake na hatimaye kurudisha mtumbwi ule, bila kujua watoto wakachukua mtumbwi wakaondoka nao, mwenye mali amerudi anakuta watoto wameondoka na mtumbwi huku akikumbuka kulikua na shimo, aliishia pozi. Ch akushangaza watoto walirejea salama na akaja kugundua kuwa yule fundi ndie aliziba lile tundu na hivyo kuokoa maisha ya watoto wale.

Huenda mleta mada akawa ndio tundu lenyewe, sisi wachangiaji tusimame upande wa fundi, hebu tuzibe tundu hili regardless ya kuwa linatuhusu au lah, huenda tukawaokoa wengine kwa kutoa ushauri mzuri. MUNGU akubariki
Moja ya post zenye maturity, kama wote wangekuwa hivi the world would be a better place for all human kind.
 
Hujala bata ww...una uhaba wa bata ....kama upo Dar ...tuambie tukufate ulipo tukagonge beer za kutosha sehemu zenye totoz hatari
 
Guys,,,tunampoteza huyu mtu,, seriously the situation is getting worse
Umefanya nini kumsaidia hadi sasa? Umetoa taarifa kwa watu wake wa karibu kama kaka,Dada,Mama,mjomba,au hata jirani wa karibu? Au unasubiri Yatokee ili upate cha ku thredisha humu? What is getting worse? Anadaiwa? Anaumwa? Amepigwa kibuti? Amedhulumiwa? If it's getting worse it's time for you to be open and fearless!! Time to save life! Time to show your humanity! Otherwise kuna trick mnataka kucheza!! Na kama ni michango sahau kabisa!! Maana kila mtu anataka kujitanabaisha kama victim namba moja wa sera ya "Kuisoma namba" ya Magufuliism.
 
Mleta uzi aseme amekumbwa na nini au amtafute mtu anayemuamini inbox amahirikishe yaliyomsibu. Short of that jamvi hili haliwezi kusaidia na itakuwa tu story na ntaishia kusema afungue tu shule
 
tatizo halitatuliwi kwa kulikimbia Left In Peace R.I.P
 
Ningependa huo muda wako ungetoa maelekezo utafia eneo gani ili wana jf wa sehemu hiyo watuwakilishe ndio uzuri wa Jf imesambaa Tanzania nzima ungekuwa karibu ipo sumu huwasaidia farasi ambao matumaini ya kupona ni madogo safi sana hiyo .
 
Sasa mkuu unatuachaje tuisome namba peke yetu?
Waonee huruma watu wanaokupenda kaka usikatishe uhai wako kwa tatizo lolote lile. Omba Mungu hilo pepo likuachie.
 
Safari njema ndugu salamie waliokutangulia
 
Najua umegundua kuwa una umeme ila nakushauri nenda kapate ARV na ushauri
 
Nina msongo mkubwa wa mawazo

Sina raha tena hapa duniani

Nahitaji kutangulia mbele za haki

Kuna uwezekano mkubwa leo ndio ukawa mwisho wa kuonana mimi na nyinyi

Hivyo basi kwa wale wote niliowakwaza kwa namna moja au nyingine naomba mnisamehe na kwa upande wangu mimi nishawasamehe

Kwa wale ambao mliokuwa mnakwazika kwa nyuzi zangu pia mnisamehe kwa sababu hakuna binadamu aliyekamilika kila mtu ana mapungufu yake

Hakuna kitu chochote ninacho furahia kwa sasa maishani mwangu kila kitu kwangu nakiona hakinipendezi

Mwisho kabisa kama unahisi kuna kitu chochote ulikuwa unahitaji kuniambia ila ulishindwa huu ndio wasaa wenu sasa

Taarifa zaidi za.mazishi yangu zitaletwa na ndugu FAIZHAD kwa yoyote atakaye penda kunisindikiza kwenye nyumba yangu ya milele ataelekweza na huyo ndugu

Kwa kuhitimisha nisingependa kifo changu kihusishwe na mtu yoyote
Ukisusa wenzio twala!
 
Nina msongo mkubwa wa mawazo

Sina raha tena hapa duniani

Nahitaji kutangulia mbele za haki

Kuna uwezekano mkubwa leo ndio ukawa mwisho wa kuonana mimi na nyinyi

Hivyo basi kwa wale wote niliowakwaza kwa namna moja au nyingine naomba mnisamehe na kwa upande wangu mimi nishawasamehe

Kwa wale ambao mliokuwa mnakwazika kwa nyuzi zangu pia mnisamehe kwa sababu hakuna binadamu aliyekamilika kila mtu ana mapungufu yake

Hakuna kitu chochote ninacho furahia kwa sasa maishani mwangu kila kitu kwangu nakiona hakinipendezi

Mwisho kabisa kama unahisi kuna kitu chochote ulikuwa unahitaji kuniambia ila ulishindwa huu ndio wasaa wenu sasa

Taarifa zaidi za.mazishi yangu zitaletwa na ndugu FAIZHAD kwa yoyote atakaye penda kunisindikiza kwenye nyumba yangu ya milele ataelekweza na huyo ndugu

Kwa kuhitimisha nisingependa kifo changu kihusishwe na mtu yoyote
Njoo nikupe bia bardi ustue mawazo!!
 
Back
Top Bottom