Hahahah Mimi sina tatizo nae, nimeenda mbali zaidi ya yeye....bado atarudia asili yake ni bora awahi akajipumzikie
Polisi wataanza na huyo uliyemtajaNina msongo mkubwa wa mawazo
Sina raha tena hapa duniani
Nahitaji kutangulia mbele za haki
Kuna uwezekano mkubwa leo ndio ukawa mwisho wa kuonana mimi na nyinyi
Hivyo basi kwa wale wote niliowakwaza kwa namna moja au nyingine naomba mnisamehe na kwa upande wangu mimi nishawasamehe
Kwa wale ambao mliokuwa mnakwazika kwa nyuzi zangu pia mnisamehe kwa sababu hakuna binadamu aliyekamilika kila mtu ana mapungufu yake
Hakuna kitu chochote ninacho furahia kwa sasa maishani mwangu kila kitu kwangu nakiona hakinipendezi
Mwisho kabisa kama unahisi kuna kitu chochote ulikuwa unahitaji kuniambia ila ulishindwa huu ndio wasaa wenu sasa
Taarifa zaidi za.mazishi yangu zitaletwa na ndugu FAIZHAD kwa yoyote atakaye penda kunisindikiza kwenye nyumba yangu ya milele ataelekweza na huyo ndugu
Kwa kuhitimisha nisingependa kifo changu kihusishwe na mtu yoyote
Halafu ni New MembaAngekuwa na hiyo distress asingeweza kuweka "siredi" huyu ni kama alivyosema mwanaJF mwenzetu mama kubwa kuwa shule zifunguliwe watoto warudi shule ili JF thread za kitoto zipungue
Reasons behind His decision please?Guys,,,tunampoteza huyu mtu,, seriously the situation is getting worse
uwezo wa mwanadamu kumkubali Mungu au kumpinga Mungu upo mikononi mwa Mungu-maana uwezo wa mwanadamu kuamua afuate lipi sio kosa lake bali aliyempa uwezo huo wa kuchagua.hivyo yatakuwa si makosa yake
FAIZHAD nakuomba umwahi ndugu yako umuokoe, ILI TUISOME NAMBA PAMOJA hatutaki UJINGA, lazima tuisome wote NAMBA hakuna kukimbiaNina msongo mkubwa wa mawazo
Sina raha tena hapa duniani
Nahitaji kutangulia mbele za haki
Kuna uwezekano mkubwa leo ndio ukawa mwisho wa kuonana mimi na nyinyi
Hivyo basi kwa wale wote niliowakwaza kwa namna moja au nyingine naomba mnisamehe na kwa upande wangu mimi nishawasamehe
Kwa wale ambao mliokuwa mnakwazika kwa nyuzi zangu pia mnisamehe kwa sababu hakuna binadamu aliyekamilika kila mtu ana mapungufu yake
Hakuna kitu chochote ninacho furahia kwa sasa maishani mwangu kila kitu kwangu nakiona hakinipendezi
Mwisho kabisa kama unahisi kuna kitu chochote ulikuwa unahitaji kuniambia ila ulishindwa huu ndio wasaa wenu sasa
Taarifa zaidi za.mazishi yangu zitaletwa na ndugu FAIZHAD kwa yoyote atakaye penda kunisindikiza kwenye nyumba yangu ya milele ataelekweza na huyo ndugu
Kwa kuhitimisha nisingependa kifo changu kihusishwe na mtu yoyote