Buriani ndugu zangu , tutaonana akhera

Buriani ndugu zangu , tutaonana akhera

mkuu naomba jina lako kamili mleta taarifa anaweza asilete kwa wakati?

mkuu naomba kama unapesa kwenye account yako nitumie ?

mkuu nakutakia safari njema huko uendako
Naomba unikabidhi mke wako tu,watoto mkabidhi mtu mwingine.
 
mkuu naomba jina lako kamili mleta taarifa anaweza asilete kwa wakati?

mkuu naomba kama unapesa kwenye account yako nitumie ?

mkuu nakutakia safari njema huko uendako
Mkuu wanaojiua kama hivi hawana hata sent kwenye acc
 
Huko unakokimbilia hata manabii walipakimbia muhammad alipo a mbiwa makafir wanakuja kumuua alikimbia.Mussa alipoambiwa anatafutwa na firaun ili au awe alikimbia yesu pia alikimbia wewe ndugu yetu kabla ya kufanya maamuz magumu umejiandaa na moto wa Mungu? Na kama umejiandaa jaribu huu wa duniani ambao ni majivu ya ule wa mbinguni weka kidole kama sekunde 3 ukiona unaweza chukua hatua
 
Nina msongo mkubwa wa mawazo

Sina raha tena hapa duniani

Nahitaji kutangulia mbele za haki

Kuna uwezekano mkubwa leo ndio ukawa mwisho wa kuonana mimi na nyinyi

Hivyo basi kwa wale wote niliowakwaza kwa namna moja au nyingine naomba mnisamehe na kwa upande wangu mimi nishawasamehe

Kwa wale ambao mliokuwa mnakwazika kwa nyuzi zangu pia mnisamehe kwa sababu hakuna binadamu aliyekamilika kila mtu ana mapungufu yake

Hakuna kitu chochote ninacho furahia kwa sasa maishani mwangu kila kitu kwangu nakiona hakinipendezi

Mwisho kabisa kama unahisi kuna kitu chochote ulikuwa unahitaji kuniambia ila ulishindwa huu ndio wasaa wenu sasa

Taarifa zaidi za.mazishi yangu zitaletwa na ndugu FAIZHAD kwa yoyote atakaye penda kunisindikiza kwenye nyumba yangu ya milele ataelekweza na huyo ndugu

Kwa kuhitimisha nisingependa kifo changu kihusishwe na mtu yoyote
acha bangi
 
Hata kama unatania,ila nakwambia hiyo
ni roho ya mauti,inakuita usivuke mwaka,maana kinywa chako kinaumba.
Nami Naikemea katika jina kuu lipitalo majina yote,
Kwa Jina la Yesu pepo la mauti TOKA.
 
Mkuu ningependa kuongea nawe na kuona vipi naweza kukusaidi.

Stress za maisha zinaweza kukupa "depression " na nini watu wengi mno wanateseka na huo ugonjwa sasa .

Mkuu kabla na kama bado hujachukua maamuzi magumu tuwasiliane. Nitumie PM. Pole Sana .
 
Nina msongo mkubwa wa mawazo

Sina raha tena hapa duniani

Nahitaji kutangulia mbele za haki

Kuna uwezekano mkubwa leo ndio ukawa mwisho wa kuonana mimi na nyinyi

Hivyo basi kwa wale wote niliowakwaza kwa namna moja au nyingine naomba mnisamehe na kwa upande wangu mimi nishawasamehe

Kwa wale ambao mliokuwa mnakwazika kwa nyuzi zangu pia mnisamehe kwa sababu hakuna binadamu aliyekamilika kila mtu ana mapungufu yake

Hakuna kitu chochote ninacho furahia kwa sasa maishani mwangu kila kitu kwangu nakiona hakinipendezi

Mwisho kabisa kama unahisi kuna kitu chochote ulikuwa unahitaji kuniambia ila ulishindwa huu ndio wasaa wenu sasa

Taarifa zaidi za.mazishi yangu zitaletwa na ndugu FAIZHAD kwa yoyote atakaye penda kunisindikiza kwenye nyumba yangu ya milele ataelekweza na huyo ndugu

Kwa kuhitimisha nisingependa kifo changu kihusishwe na mtu yoyote
f8124ae712bdca2dc76b5a80440788a0.jpg
 
Mkuu sikuhizi unaandika vitu vyenye akili sana, tofauti na miaka ya nyuma kwenye international forums ulikua unaandika utumbo sana. You have impressed alot.
 
mijitu inapenda watu wafe humu ..

mkuu usife bhana maisha matamu haya na bia zinashuka bei
 
Back
Top Bottom