Buriani ndugu zangu , tutaonana akhera

Buriani ndugu zangu , tutaonana akhera

mkuu naomba jina lako kamili mleta taarifa anaweza asilete kwa wakati?

mkuu naomba kama unapesa kwenye account yako nitumie ?

mkuu nakutakia safari njema huko uendako

Kwa hali hiyo aliyosema pesa atakuwa hana. Acha atangulie mwana yezaya!!!!
 
Nina msongo mkubwa wa mawazo

Sina raha tena hapa duniani

Nahitaji kutangulia mbele za haki

Kuna uwezekano mkubwa leo ndio ukawa mwisho wa kuonana mimi na nyinyi

Hivyo basi kwa wale wote niliowakwaza kwa namna moja au nyingine naomba mnisamehe na kwa upande wangu mimi nishawasamehe

Kwa wale ambao mliokuwa mnakwazika kwa nyuzi zangu pia mnisamehe kwa sababu hakuna binadamu aliyekamilika kila mtu ana mapungufu yake

Hakuna kitu chochote ninacho furahia kwa sasa maishani mwangu kila kitu kwangu nakiona hakinipendezi

Mwisho kabisa kama unahisi kuna kitu chochote ulikuwa unahitaji kuniambia ila ulishindwa huu ndio wasaa wenu sasa

Taarifa zaidi za.mazishi yangu zitaletwa na ndugu FAIZHAD kwa yoyote atakaye penda kunisindikiza kwenye nyumba yangu ya milele ataelekweza na huyo ndugu

Kwa kuhitimisha nisingependa kifo changu kihusishwe na mtu yoyote
Ndugu yangu ! Sijui nini kimekusibu lakini hakuna kubwa lisilokuwa na suluhisho.Naomba uni-PM tuongee na baada ya kuongea nami utaona maisha kuwa ni rahisi na ni tunu ya pekee na faraja itakuja hata kwa kugawana umasikini wetu. Tafadhali usipuuze, Nakuomba Ujitahidi tuwasiliane haraka kwa msaada wa muumba tunaweza kuona matumaini mapya na Shida zikawa chachu ya kutuletea maendeleo.Mizigo yetu yote ni yeye ndiyo mtuaji. Nakutakia Fikra njema.
 
Anaweza kura huko atakapo ni msongo zaidi ya huku

Mkataa pema... Pabaya panamuita
 
Mwenzetu huyu anahitaji ushauri nasaha. Nakupongeza kwa kujitolea kufanya kazi hiyo bila malipo ye yote. Jitahidi kwa jinsi utakavyoweza ili kuokoa maisha yake. Kujitoa uhai hakutatui tatizo ulilonalo bali kunafungua matatizo mengine mengi kwa familia yako na wale wote ambao maisha yao yanakutegemea wewe.
Ndugu yangu ! Sijui nini kimekusibu lakini hakuna kubwa lisilokuwa na suluhisho.Naomba uni-PM tuongee na baada ya kuongea nami utaona maisha kuwa ni rahisi na ni tunu ya pekee na faraja itakuja hata kwa kugawana umasikini wetu. Tafadhali usipuuze, Nakuomba Ujitahidi tuwasiliane haraka kwa msaada wa muumba tunaweza kuona matumaini mapya na Shida zikawa chachu ya kutuletea maendeleo.Mizigo yetu yote ni yeye ndiyo mtuaji. Nakutakia Fikra njema.
 
unatakiwa usakwe na kutiwa ndani,ila kama unafanya utani kumbuka maneno yako yanaweza kuumba
 
Unacase ya kujibu kabla ya kufunga hiyo KUDU mtini.

Kuamua kujiua..
 
Nina msongo mkubwa wa mawazo

Sina raha tena hapa duniani

Nahitaji kutangulia mbele za haki

Kuna uwezekano mkubwa leo ndio ukawa mwisho wa kuonana mimi na nyinyi

Hivyo basi kwa wale wote niliowakwaza kwa namna moja au nyingine naomba mnisamehe na kwa upande wangu mimi nishawasamehe

Kwa wale ambao mliokuwa mnakwazika kwa nyuzi zangu pia mnisamehe kwa sababu hakuna binadamu aliyekamilika kila mtu ana mapungufu yake

Hakuna kitu chochote ninacho furahia kwa sasa maishani mwangu kila kitu kwangu nakiona hakinipendezi

Mwisho kabisa kama unahisi kuna kitu chochote ulikuwa unahitaji kuniambia ila ulishindwa huu ndio wasaa wenu sasa

Taarifa zaidi za.mazishi yangu zitaletwa na ndugu FAIZHAD kwa yoyote atakaye penda kunisindikiza kwenye nyumba yangu ya milele ataelekweza na huyo ndugu

Kwa kuhitimisha nisingependa kifo changu kihusishwe na mtu yoyote

Kalale mahali pema ulipochagua, nakumbuka hata mwanzilishi wa lebo ya hiyo user name yako naye ametoka kuchanganyikiwa juzi tu, Pengine ni kwa sababu ya kutaka kuchukua mamlaka ya Mungu akijiita yeye ndo Mungu Mtakatifu.

Kutokana na hiyo user name uliochagua yaani Yeezus nina wasiwasi.
 
R.I.P ndugu yetu, kumbuka kuwasalimia wote huko jehanamu, waambie nyeupe na kina dj wanakuja
 
Nambie ulipo nakuletea amani na upendo. Be straight forward
 
Mkuu ningependa kuongea nawe na kuona vipi naweza kukusaidi.

Stress za maisha zinaweza kukupa "depression " na nini watu wengi mno wanateseka na huo ugonjwa sasa .

Mkuu kabla na kama bado hujachukua maamuzi magumu tuwasiliane. Nitumie PM. Pole Sana .
Katakuwa kamejiua kweli haka kamjamaa, yaani tangu saa 9 hakajaandika chochote hapa JF!
 
Back
Top Bottom