Mbunge wa mtera Livingstone Lusinde, amechafua hali ya hewa kwa kusema hakuna upinza ambao unaweza kuiwajibisha serikali, sababu hawa jipya. Pia ametaka wapinzani washinikize Mbowe ajiuzulu kwa kukubali kutumia gari la serikali wakati mwanzoni alilikataa.
Huyu jamaa huwa hana link na mabo anayoyaongea na uhalisia wa sasa.
Huyu jamaa huwa hana link na mabo anayoyaongea na uhalisia wa sasa.