Bukoba vs Moshi

Bukoba vs Moshi

Status
Not open for further replies.
Sawa bwana mdogo

Umeshinda.....

Ngoja sisi tuendelee kuburudika......

Maana unabishania mambo ambayo watu wa Kilimanjaro wameshafanya miaka Zaidi ya hamsini iliyopita ndio maana unaona watu wanakushangaa.....

a0ed713e4be0cbdb132024cb8deffa91.jpg
af01a2fc39461417fa7f11e785d11197.jpg
We jamaa mbona unawatia aibu wachaga wenzio. Hii Moshi ni kituko
 
Wanaoibeza bukoba nawashangaa hotel za kitalii zimejaa kama elct bukoba hotel
84280f310fd775a1c3f5cc1c7b94e4c0.jpg
1e17446c2891ca013723907e2f4c4adc.jpg
c47459b03d58875d676f81e156ece68f.jpg
6efbca896cd82be184c889619652082a.jpg
647545b545a0926c167e03a899cb1ce3.jpg
8d3827deb530822373a9aacf58e8d67b.jpg
c0450b8ee89c68fe387d8331383ed763.jpg
b57b8504247595bd4420f8525a0ae348.jpg
956f2a7ee2b5767532983199b2f84d82.jpg
9c0231a4432368fdb6ea902d8b33de39.jpg
da45d836ebac66287206ea7f67f6ebb7.jpg
291623e1eed988e35bb21907dc4dff87.jpg
e34904cd72a6481de6d450447b8d7f0e.jpg
d5e7bfe0e35299030b002621ee48f596.jpg
29596eb224f130e734419003347f24ea.jpg
45d15f3d2257c99e1b8ad5b900696bfb.jpg
3a6e108fe021a4d2ad1bcd03003e278e.jpg
7eec99ad58122df04ce18511aa364425.jpg
 
wahaya ni taifa kubwa isipokuwa ccm na nyerere ndo kikwazo, lakini wanahistoria husema historia hujirudia IPO Siku wahaya watarudi kwenye peak
Kweli kabisa mkuu, kipindi kile serikali ilikuwa inaogopa kuleta maendeleo kwa sababu ya Fitina za serikali. Lakini sasa ivi ndio watatujua na sasa ivi tunawapanga vijana wetu wawe katika kujiajiri na Kuitumia elimu katika maswala ya ujasilia Mali. Tunawapanga katika kuwa katika system za ajira ambazo sio tegemezi kutoka serikalini
 
We jamaa mbona unawatia aibu wachaga wenzio. Hii Moshi ni kituko
hapa n wilaya ya rombo eneo linaitwa mamsera
pamechangamka sana hii picha imepigwa kijieneo cha pemben
piga pich halisi
mamsera pana soko LA ndizi na mbuzi,pana mzunguko mkubwa wa hela,pia pana ukumbi mkubwa wa mikutano uitwao Samaria hall,na pana jengo LA kncu chma cha ushirika,pia pana ma restaurant ya maana supu SAA 24
mfano kwa mwarabu,shia bar nk
piga picha full sio upoge kijieneo
mamsera ndio mwanzo wa rombo,imepita barabAra ya lami kwenda dar
 
hapa n wilaya ya rombo eneo linaitwa mamsera
pamechangamka sana hii picha imepigwa kijieneo cha pemben
piga pich halisi
mamsera pana soko LA ndizi na mbuzi,pana mzunguko mkubwa wa hela,pia pana ukumbi mkubwa wa mikutano uitwao Samaria hall,na pana jengo LA kncu chma cha ushirika,pia pana ma restaurant ya maana supu SAA 24
mfano kwa mwarabu,shia bar nk
piga picha full sio upoge kijieneo
mamsera ndio mwanzo wa rombo,imepita barabAra ya lami kwenda dar

Achana na washamba hao.....wanaokimbia kwao.....

1be4d716e37b18ce03953d29082b3ca4.jpg
 
Kemondo moja hiyo .stendi walishaanza kujenga hizo ni picha za tarehe 1 disemba sasa walishafika mbali
d7a93b7f6dcf48944aa878ae86991411.jpg
251429e926b08416f3211f2a64e42be2.jpg
ef5fed657aa6c380ffb9d48f049b0792.jpg
sa hivi walishafika mbali sijaendako siku nyingi
At least Asee kale kastand ndo chanzo cha vumbi mjini pia halmashauri inashindwa kujenga b arabara za viwango mtaani wanamwaga tumoramu afu vibarabara vidogo kama voliongolelo wanatuangusha sana
 
Kwa mlingano wachaga wako vizur sana kwan wao ndio wajenz wa miji mingi zaid tz kwa sasa kwani hawa hata kwao hawapo wamesambaa nchi nzima wakisaka hela hivyo hata bk kiasi flan imejengwa na wachaga aoao so waheshimuni sana hawa watu
 
Acha kuvuta wewe. Mtu gani wa Bukoba alinganishe Bukoba au Mwanza (Kanda ya ziwa) na huo uchafu wenu wa kaskazini?? Ni kujishusha kabisa maana sisi tunajua tupo level tofauti kabisa. Angalieni nyuzi nyingi mnaanzisha nyie na mnagalagazwa. Mkome
Huu uzi kaanzisha nani? si mtu wa Bukoba huyu? pia nenda ka search nyuzi za Mwanza vs Arusha utaona ni watu hao hao wa Mwanza...Watu wa Moshi tuponde na kujivuna mkoa gani kwa lipi na wakati tupo kila mkoa?
Unajivunia mkoa umeendelea huku wanayofaidi hayo maendeleo ni waaarabu na wahindi na na nyie mkiwa mnalala na vinyesi vya ng'ombe?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom