Bukoba vs Moshi

Bukoba vs Moshi

Status
Not open for further replies.
Yaani niweke picha za mji wa MOSHI kulinganisha na bukoba? Wewe jamaa unaijua MOSHI au inasikia tu inavyotamkwa hapa?
Kweli sifa za muhaya kujiita No. 1 kwenye kila kitu hali ana debe la senene tu ndani mwake bado zipo hazijaisha
Mmeshaona bukoba ilivyo juu ndo maana mnaogopa kuziweka .
 
Hebu tuenjoy mitaa mbalimbali ya bukoba
90fd85690175c1b416dfe562d333636a.jpg
c2f0ebf224079783c77818b6dacc00aa.jpg
f297c53a2473755356468efd80e6a4fb.jpg
d416d499d06564b37f7b564bb26206ee.jpg
242071e4a70847f7dc49d6180e531025.jpg
41dddbb310792f6f3710645b7a6758dd.jpg
dc122f43b5b12d5dc64dbb42c9821bd7.jpg
956377b09c01cba32e2a79f498836824.jpg
37239f1d5ef10cda6dad5c7e38e01773.jpg
bandari ya bukoba
 
mi huwashangaa wanasemaga wahaya hujisifu lakini wao ukikaa nao hupenda kusifia kwao kama vile wengine wanakaa kwenye handaki, huwa nawachora sana,
 
tupia picha za airport mpya waache dharau za kijinga
OK hii ni bukoba aiport
53e917907847c8a2104d4c528d602ea1.jpg
47a3c6818a1dca70ed67aed2ef946db4.jpg
691e96dbc2a7d6e02ca67943cf3eb26d.jpg
7516f4972c9fce5f072d3e7fe3ae6fa8.jpg
8efe421ec625973fd1f5b12232bf4175.jpg
c2efbd4a004f5f6984d7f0becd6f5097.jpg
0aadf1872346c23ac7af7885eb0d7371.jpg
0b55d30017d372b854f8843ff2d03b37.jpg
b05c99c5ce1993bc13db278753d9eaef.jpg
magufuli amashaanza mchakato wa kuipanua zaidi ifikie km 2 ili jengo la wasafiri linalopokea watu laki 5 kwa mwaka sawa na terminal 1 ya jkIA liweze kutumika ipasavyo na ndege kubwa ziweze kutua pale kisa wingi wa wasafiri wanaoelekea bukoba.na pia kashozi road itaamishiwa migera ili upanuzi ufanyike watu walishaanza kuhamishwa
 
OK hii ni bukoba aiport
53e917907847c8a2104d4c528d602ea1.jpg
47a3c6818a1dca70ed67aed2ef946db4.jpg
691e96dbc2a7d6e02ca67943cf3eb26d.jpg
7516f4972c9fce5f072d3e7fe3ae6fa8.jpg
8efe421ec625973fd1f5b12232bf4175.jpg
c2efbd4a004f5f6984d7f0becd6f5097.jpg
0aadf1872346c23ac7af7885eb0d7371.jpg
0b55d30017d372b854f8843ff2d03b37.jpg
b05c99c5ce1993bc13db278753d9eaef.jpg
magufuli amashaanza mchakato wa kuipanua zaidi ifikie km 2 ili jengo la wasafiri linalopokea watu laki 5 kwa mwaka sawa na terminal 1 ya jkIA liweze kutumika ipasavyo na ndege kubwa ziweze kutua pale kisa wingi wa wasafiri wanaoelekea bukoba.na pia kashozi road itaamishiwa migera ili upanuzi ufanyike watu walishaanza kuhamishwa
Sasa hako kabarabara kalikotengwa ili ndege zitue inafananisha na uwanja gani wa moshi
 
Basi kama ni hizo picha,Bukoba hakuna hotel,kuna vilabu na Guest house
Za moshi zipo wapi ? Hivi nyie hamjionei aibu arusha kuwazidi hotel nyingi wakati vivutio vipo KLM ni aibu kwa moshi hata bukoba inaizidi moshi kwa hotel tena nyingine inafunguliwa Leo kule kilimahewa amealikwa baraca da prince na ni hotel kubwa.mtaumia sana mwaka huu naona hukutegemea bk kuwa hivyo
 
Hakuna mhaya wa kuhangaika ku compare Bukoba yake na huo uchafu wa Moshi. Wachaga ndo mnahanaika kujilinganisha na Bukoba. Kwanza ni aibu kwa mhaya kujilinganisha na mchaga. Ni kujishusha. Angalia nyuzi nyingi humu zimeanzishwa ama na wachaga wenyewe au wenye mrengo wa kuchukia wahaya. Nadhani unanielewa vizuri
wahaya ni taifa kubwa isipokuwa ccm na nyerere ndo kikwazo, lakini wanahistoria husema historia hujirudia IPO Siku wahaya watarudi kwenye peak
 
Sasa hako kabarabara kalikotengwa ili ndege zitue inafananisha na uwanja gani wa moshi
Utaaibika sana mkuu tukikuletea hoja za kielimu kuhusu huu uwanja hebu punguza wivu .hii ndo bk bwana leta picha na wewe sio za kia maana huo unapatikana hai ambayo sio moshi
 
Bwana nyie moshi ni habari nyingine watu wa bukoba ni masikini sanaa wako nyuma kwa kila kitu
 
Jaman tuseme mara ngap humu watu msikie??? Tunataka picha za moshi ili mtu ambaye hajui hii miji miwil alinganishe.
Angalizo : Hatutaki picha ya nssf tumelichoka hata sisi jengo la nssf tunalo tena zuri tu
Nssf ya bukoba hili hapa nalo ni zuri
870e02107f90b4694f37fbd756f673b2.jpg
309680658d203082c567c5b4a0e9ed8e.jpg
1e3b372f5dd50bcac0d01c2d8da4485d.jpg
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom