Nahitaji oblique view ya mji wa bk. ..
This is Moshi
![]()
Ni bora picha moja yenye nyumba 500 kuliko kazi unayofanya wew ya kupost nyumba tatu tatu...Bk is a joke my friendPicha mmezirudia mpaka mnachosha .
Unajua kilichokwamisha ujenzi wa stendi,na je bukoba INA shule ngapi na bukoba unakuwa ya ngapi kitaifa kwenye mitianiMoshi kuna shule nyingi za sekondari kuliko wilaya yoyote tz
Moshi kuna hospital mingi kuliko kagera nzimaKcmc pekee imemaliza
Vyuo vikuu vilivyopo Moshi Kagera nzima Hamna
Mnajenga bus stand Leo? Hamuwez kua mpo serious ata kidogo. ...
Hotel bk mnaonyesha nyumba zakulala (lodge)mnaziita hotel?acheni utani jaman
Moshi...Apo sijapata picha ya shanty town nmalize kazi hua naua nzi kwa nyundo tuHii haiwezi kuwa Moshi bwana.....
Mbona kama inataka kufanana na Los Angeles
Bomang'ombe wakiwa serious mnapitwa. ...tatizo sijui ni poor exposure yaani hio ndio the best pic? Mbona unazingua sana mjombaBukoba kwa mbali hiyo![]()
![]()
Moshi...Apo sijapata picha ya shanty town nmalize kazi hua naua nzi kwa nyundo tu
Kwani kuna mkowa unaitwa BukobaUnavyofikiria sivyo mji Wa bukoba una kilometa za mraba 90 huku moshi ikiwa na 59 hivyo kiukubwa bukoba ni kubwa kuliko moshi. Kwa location bukoba iko location nzuri ukizingatia imepakana na Uganda. Rwanda,Burundi, na Kenya kupitia ziwani,kimzunguko Wa pesa ni mkubwa hasa uwepo Wa bandari, nchi nyingi zilizozunguka,vyuo vingi saut,jocuko,katoke,na open.pia viwanda ni vingi tanika,bunena water,Victoria chalks,vicfish,chai yetu,asilia water,Kabanga water, Mali juice,viwanda vya mafuta ya kujipaka,kagera sugar,viwanda vya maziwa,na balimi,.tena bk IPO katikati ya mwanza na mtukula ambayo miji kuna masoko ya Africa mashariki,biachara ya ndizi ndo usiseme watu ni wengi na bukoba bado INA sehemu kubwa ya kujenga nyumba kuliko moshi ambayo imebanwa na vijiji. Nakushangaa usemapo moshi itangazwe jiji ?
hao wahaya mbona wanapondwa na kila mtu? wanaoponda wahaya ni wachaga pekee? mbona hata wachaga wanapondwa hivyo hivyo pia? kwani wanaoponda wachaga ni wahaya pekee...Hebu fuatilia nyuzi nyingi.zimeanzishwa ili kuiponda bk hebu search bukoba, wahaya utaona ukweli ndo maana tumeamua kuwaumbua
Wacha tuwapake dawa wanasifa wakati hawazidi Moshihao wahaya mbona wanapondwa na kila mtu? wanaoponda wahaya ni wachaga pekee? mbona hata wachaga wanapondwa hivyo hivyo pia? kwani wanaoponda wachaga ni wahaya pekee...
Sidhani kama wanaoanzisha hizo uzi ni watu wa Moshi, kuna huu uzi hapaNyie mnaanzisha nyuzi nyingi mkiiponda bk kwa uongo,chuki na majungu ndo maana yamewatokea wahaya
Mbona alijisema kuwa ni wa KLM na ukiangalia vzr wengi wanapasifia KLM na kuiponda bukobaSidhani kama wanaoanzisha hizo uzi ni watu wa Moshi, kuna huu uzi hapa
Watu wa Kagera mnaishije? Hali ni ngumu sana huu mkoa
Aliyeuanzisha sio mtu wa Moshi, naona ujinga sana mtu kutumia nguvu nyingi kuponda mkoa mwingine wakati mikoa yote ni kama nyumbani kwake
Hivi wadau mtu anaweza kubadilisha kabila lake la asili na kuhamia kabila jingine kama ilivyo kwenye dini???Mbona alijisema kuwa ni wa KLM na ukiangalia vzr wengi wanapasifia KLM na kuiponda bukoba
Abaisiki bekichaga mbashana ebituzi ,
We jamaa unautani wa ngumi aiseeeeeeView attachment 657615View attachment 657616View attachment 657617View attachment 657618Angalia wachaga wanapanda daradara kwenda kwao watu hawajipanga, alafu wanakwambia wana maisha mazuri. Hiii yote ujanja ujanja