Bukoba vs Moshi

Bukoba vs Moshi

Status
Not open for further replies.
Wewe kwenu Songea Luna nini cha Maana. Fungua uzi wa kulinganisha songea na Lindi mjini
Huu ndo ujinga wajinga kama wewe mnaofanya baada ya kupewa ukweli. Nimetaja Songea tayari unajaji Songea ni kwetu. Kwetu ni Nzega karibu sana
 
Povu kweli nyie wenyewe ndo mnaanzisha nyuzi kuibeza bukoba sasa tunataka kuwadhibitishia kuwa bukoba sio ya mchezo.tumechoka mpaka wengine wanalinganisha bk na babati,kigoma,songea,kahama,musoma nk.mulivianzisha wenyewe sasa hebu tuwalize na bukoba halisi ibayokua kwa kasi
Kuna watu wanaanzisha ila mtu wa Moshi hawezi kuanzisha uzi kuponda eti Bukoba, Bukoba kuna watu wa Moshi wengi, mtu wa Moshi anajua Bukoba ikiendelea ni faida kwakwe au kwa mtanzania yoyote kwa kuwa anaishi mji wowote
 
Wekeni na majengo ya MOSHI TOWN JAMANI, ILA BUKOBA ni mji wa zamani, majengo ya kizamani sana, MOSHI NI MASHINE, mji uliopangwa VYEMA SANA, MAGOROFA MENGI MNO, BONGE LA MJI, MIMI HUWA NINA KESI MOSHI
 
Hizo hotel umeziona shida ulikuwa mshamba sana na ulianza kushangaa shangaa tu na kucheki milima ilivyo na majumba au unawaogopa kuwaproach wahaya.bukoba ni moja ya miji michache nchini yenye hotel nyingi,cafe,resorts, na pub nyingi kama picha zinavyojieleZa sio porojo zako
Nje ya majiji yetu,manispaa Za hadhi ni Moshi na Dodoma na ndio ziko kwenye Mipango zifanywe Majiji...
Yaani izo picha unazotuma na kuziita hotel unasikitisha sana kijana, izo ni simpe lodge tu na wala hakuna hotel apo!!

Kagera ni moja I mikoa duni Tz masikini kibao, eat that
 
Ukifuatilia hii thread utaona Bk people kama wamekomaa sana, watu wa KLM wako na Christmas Exodus to the land of made of the most inner part of earth, The Volcanic ashes!.
Kiufupi Moshi pako juu hata watumishi wa uma (wahaya) wanapoandika miji na hadhi zake hawaachi kuitanguliza Moshi kabla ya Bukoba!
 
Moshi kuna shule nyingi za sekondari kuliko wilaya yoyote tz
Moshi kuna hospital mingi kuliko kagera nzimaKcmc pekee imemaliza
Vyuo vikuu vilivyopo Moshi Kagera nzima Hamna
Mnajenga bus stand Leo? Hamuwez kua mpo serious ata kidogo. ...
Hotel bk mnaonyesha nyumba zakulala (lodge)mnaziita hotel?acheni utani jaman
 
Nahitaji oblique view ya mji wa bk. ..
This is Moshi
73ea54b4ad77b543020de2069d2fd45e.jpg
 
At least Asee kale kastand ndo chanzo cha vumbi mjini pia halmashauri inashindwa kujenga b arabara za viwango mtaani wanamwaga tumoramu afu vibarabara vidogo kama voliongolelo wanatuangusha sana
Mkuu stendi walishafika hapa Leo jpili sehemu ilishapanuliwa ili kuweka lami baada Christmas
b75030aba7fb56a18f94d551fe1de716.jpg
0fc7a3142398ce446cf26ddb5ef81123.jpg
f3f72bd12b3ff3bf7376d942d0c08273.jpg
0d1dedfc558592bde8b2b99c213b3c68.jpg
bc7cd5a142fbc0db5a07d2b7a56d2284.jpg
444661035719f198dd0daf5d16cbda83.jpg
962851d5753fda6c4c1678a29284149c.jpg
aa06fa989e8b3e9c12c9cdc4d983ea4a.jpg
b447a1e81c5c7f71c5c0d2277f26808b.jpg
 
Kwa mlingano wachaga wako vizur sana kwan wao ndio wajenz wa miji mingi zaid tz kwa sasa kwani hawa hata kwao hawapo wamesambaa nchi nzima wakisaka hela hivyo hata bk kiasi flan imejengwa na wachaga aoao so waheshimuni sana hawa watu
Bk wahaya wengi tu kwanza bk ni full kihaya tu .bk siku hizi hata wa mikoani wameanza kurudi ndo maana bk unakua kwa kasi sana
 
Huu uzi kaanzisha nani? si mtu wa Bukoba huyu? pia nenda ka search nyuzi za Mwanza vs Arusha utaona ni watu hao hao wa Mwanza...Watu wa Moshi tuponde na kujivuna mkoa gani kwa lipi na wakati tupo kila mkoa?
Unajivunia mkoa umeendelea huku wanayofaidi hayo maendeleo ni waaarabu na wahindi na na nyie mkiwa mnalala na vinyesi vya ng'ombe?
Nyie mnaanzisha nyuzi nyingi mkiiponda bk kwa uongo,chuki na majungu ndo maana yamewatokea wahaya
 
Kuna watu wanaanzisha ila mtu wa Moshi hawezi kuanzisha uzi kuponda eti Bukoba, Bukoba kuna watu wa Moshi wengi, mtu wa Moshi anajua Bukoba ikiendelea ni faida kwakwe au kwa mtanzania yoyote kwa kuwa anaishi mji wowote
Hebu fuatilia nyuzi nyingi.zimeanzishwa ili kuiponda bk hebu search bukoba, wahaya utaona ukweli ndo maana tumeamua kuwaumbua
 
Wekeni na majengo ya MOSHI TOWN JAMANI, ILA BUKOBA ni mji wa zamani, majengo ya kizamani sana, MOSHI NI MASHINE, mji uliopangwa VYEMA SANA, MAGOROFA MENGI MNO, BONGE LA MJI, MIMI HUWA NINA KESI MOSHI
Majengo uliyoyaona ni ya kizamani? Porojo nyingi bila facts
 
Nje ya majiji yetu,manispaa Za hadhi ni Moshi na Dodoma na ndio ziko kwenye Mipango zifanywe Majiji...
Yaani izo picha unazotuma na kuziita hotel unasikitisha sana kijana, izo ni simpe lodge tu na wala hakuna hotel apo!!

Kagera ni moja I mikoa duni Tz masikini kibao, eat that
Hata kwenye kanga yapo kijana .sikushangai
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom