Bukoba vs Moshi

Bukoba vs Moshi

Status
Not open for further replies.
Watu tumeshajua mbivu na mbichi hatufanganyiki tena. Hata waalikane wote wachangie kwa ngonjera, tunataka picha za kwao tu. Za Bukoba waziache. Wamebakiza takwimu kwenye makaratasi tu sasa
Alafu kingine ni kwamba wakati huu wengi wapo uko kijijini Kilimanjaro na wameshindwa kuonyesha picha. Wamebaki kubwabwaja tuu, Mara ivi Mara vile. Mimi nilishangaa sana walivyokuwa wanaongea eti Kilimanjaro. Watu wanawajua wachaga kuliko wao wanavyojiona. Wahaya wamekuwa wanabaguliwa na kufanyiwa fitina na wachaga katika taasisi nyingi ambazo wao wengi wamejazana kwa kubebana bebana, MTU hana elimu lakini yupo kwenye kazi kinachomlinda ni Ushirikina na uchawi ndio unaowaweka katika ofisi, na kingine ni kufoji vyeti. Hawa jamaa ni wababaishaji sana katika mambo na ni wezi kishenzi. Kama sasa ivi, maeneo ya Dar es salaam yamekuwa magumu kwa ufugaji wa ng'ombe na nguruwe kwa sababu ya wizi.
 
Instabul bana..kuna mahali nimeona unapasifia moshi kweli kweli
 
Duuuuu naweza sema naijuwa bukoba vizuri sana. Kuanzia BUKOBA MJINI, VIJIJINI, MISENYI, KARAGWE,nk.yaani kifupi naijuwa KAGERA. Kiukweli kuilinganisha BUKOBA MJINI NA MOSHI MJINI ni kituko sana. Labda mseme moshi haina fukwe za Ziwa tuu lakini vingine vyote hapana. Stendi yenyewe tope. Zikipaki gari kubwa 30 imejaa kabisa. Ivo ukiwa umeshatembelea na Moshi uje.
Stendi inajengwa mpya bro kyakairabwa na inakamilika mei .shida mna maneno mengi na kama ulikuja 2010 usifikiri bk haijabadilika .imebadilika sana hasa baada ya tetemeko
 
Stendi inajengwa mpya bro kyakairabwa na inakamilika mei .shida mna maneno mengi na kama ulikuja 2010 usifikiri bk haijabadilika .imebadilika sana hasa baada ya tetemeko
Nasema tena umewahi fika moshi? Mwisho wangu wa kufika bk ni mwaka 2016. Nachokuambia maeneo yote nayajuwa. Usilinganishe moshi na bk. Nimekuambia mnaizidi moshi maji ya ziwa tuu. Naweza sema bk ilinganishwe na bomang'ombe
 
Nasema tena umewahi fika moshi? Mwisho wangu wa kufika bk ni mwaka 2016. Nachokuambia maeneo yote nayajuwa. Usilinganishe moshi na bk. Nimekuambia mnaizidi moshi maji ya ziwa tuu. Naweza sema bk ilinganishwe na bomang'ombe
Sisi tunaendelea kuwapa picha za bk hii ni perfect hotel bukoba
e21a4f145c8478631793bb0d770906e7.jpg
99a29c6f30efc3b8ede88906266731d4.jpg
02b88af9c13d380f4464c5e10611a0be.jpg
ce5cac4ed84b03af54f6bdae35699230.jpg
09e585e18b9fa7e990daacef5ac47ca1.jpg
0778d755f2d937ac38eecee24e468d2f.jpg
df557d376fd2a28888c1d434e5b6c536.jpg
f1e666372631acadd742498a0c7a255e.jpg
430cbcc556592691545295b6688f9182.jpg
1900c170aa9b4748664bcb4b8bdafea0.jpg
224be6b958e105320600486d5d2799fb.jpg
8a24e7a98892ebffbdb10a36f676707a.jpg
na hapa ndo makao makuu ya kolping tz
52f313e0b72770506b31e3282017911c.jpg
 
Anayeifananisha Moshi na bukoba ni yule tu anaye amini mwanamke anaweza bila kuwezeshwa,kwamba moshi uifananishe na kituko gani....
 
Nasema tena umewahi fika moshi? Mwisho wangu wa kufika bk ni mwaka 2016. Nachokuambia maeneo yote nayajuwa. Usilinganishe moshi na bk. Nimekuambia mnaizidi moshi maji ya ziwa tuu. Naweza sema bk ilinganishwe na bomang'ombe
hawa wat n washamba hatari
yaan hivo vi picha vya guest bubu at I ndo mijengo ya kifahari kwao najichekea mwenyewe
 
Anayeifananisha Moshi na bukoba ni yule tu anaye amini mwanamke anaweza bila kuwezeshwa,kwamba moshi uifananishe na kituko gani....
Mlituchokoza kwa kuanzisha nyuzi kuiponda bk sasa tunawaumbua endeleeni tu kutuchokonoa mtaaibika ile mbaya shida bukoba ni mbali hivyo wengi wanaiskia tu na sasa hawaamini wanachokiona wanaishia kusema moshi siyo ya kufananisha na vitu vya hovyo ambayo havijulikani kweli mapovu yanawatoka
 
mnachekesha nyie washamba hicho ki hotel kule moshi n kama guest house
tatizo ushamba wenu hamjawah ona mijengo nyie nimecheka sana
Maneno yapo hadi kwenye kanga .kujitapa hakusaidii bila evidence ni ukosefu wa elimu na utoto
 
Alafu kingine ni kwamba wakati huu wengi wapo uko kijijini Kilimanjaro na wameshindwa kuonyesha picha. Wamebaki kubwabwaja tuu, Mara ivi Mara vile. Mimi nilishangaa sana walivyokuwa wanaongea eti Kilimanjaro. Watu wanawajua wachaga kuliko wao wanavyojiona. Wahaya wamekuwa wanabaguliwa na kufanyiwa fitina na wachaga katika taasisi nyingi ambazo wao wengi wamejazana kwa kubebana bebana, MTU hana elimu lakini yupo kwenye kazi kinachomlinda ni Ushirikina na uchawi ndio unaowaweka katika ofisi, na kingine ni kufoji vyeti. Hawa jamaa ni wababaishaji sana katika mambo na ni wezi kishenzi. Kama sasa ivi, maeneo ya Dar es salaam yamekuwa magumu kwa ufugaji wa ng'ombe na nguruwe kwa sababu ya wizi.
dadadeki. utatokwa povu hadi ufe
mda huu tupo kula bats home nyie c mmetelekeza kwenu?
at I mnabaguliwa ktk taasisi mnachekesha
kuhusu wez kuna wizi mkuu kuliko escow? hivi yulemhusika mkuu wa escrow n wawapi?
hamtakaa mtufkie kmwe,endeleen kujidanganya na tu picha twa hotel ambato kwetu ni gest bubu
 
kumbe mnajenga kwa kutumia rambirambi duh
Uongo na majungu havijengi. Aliyekwambia nani? Wivu utakuua.habar ndo hiyo ,angalia usilie bado nawaletea picha motomoto ukizingatia bk ni pana sana vilima 70% ya mji sijavigusa bado.utaumbuka sana mwaka huu
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom