jenerali kibibi
JF-Expert Member
- Nov 27, 2017
- 1,167
- 630
naona umeona maji yamezidi unga unaweka mpira kwapaniAliyekwambia bk hakuna daladala nani tena za moshi SAA zima unasubiri zijae sio kama bk dk mbili mshaondoka.stendi nilishakwambia inajengwa mpya.halafu mbona unatumia lugha chafu hivyo hii inaonyesha kutokukomaa kwako hebu niache mabishano na wewe maana hujakua bado na kustaarabika bado mtoto kumbe
n wapi nimetumia lgha chafu?
hahahaha yaan ki stand mnachojenga ambacho mmechukua mkopo ndio ifikie stand babu kubwa ya moshi? maajabu
yaan bukona ije kufikia moshi labda miaka 50 baadae
NAONA UNAWEKA MPIRA KWAPANI POLE UKWELI HAUFICHIKI HATA N SAWA NA KUFUNIKA MOTO KWA KUTUMIA NGUO
!!!