Bukoba vs Moshi

Bukoba vs Moshi

Status
Not open for further replies.
Aliyekwambia bk hakuna daladala nani tena za moshi SAA zima unasubiri zijae sio kama bk dk mbili mshaondoka.stendi nilishakwambia inajengwa mpya.halafu mbona unatumia lugha chafu hivyo hii inaonyesha kutokukomaa kwako hebu niache mabishano na wewe maana hujakua bado na kustaarabika bado mtoto kumbe
naona umeona maji yamezidi unga unaweka mpira kwapani
n wapi nimetumia lgha chafu?
hahahaha yaan ki stand mnachojenga ambacho mmechukua mkopo ndio ifikie stand babu kubwa ya moshi? maajabu
yaan bukona ije kufikia moshi labda miaka 50 baadae
NAONA UNAWEKA MPIRA KWAPANI POLE UKWELI HAUFICHIKI HATA N SAWA NA KUFUNIKA MOTO KWA KUTUMIA NGUO
 
naona umeona maji yamezidi unga unaweka mpira kwapani
n wapi nimetumia lgha chafu?
hahahaha yaan ki stand mnachojenga ambacho mmechukua mkopo ndio ifikie stand babu kubwa ya moshi? maajabu
yaan bukona ije kufikia moshi labda miaka 50 baadae
NAONA UNAWEKA MPIRA KWAPANI POLE UKWELI HAUFICHIKI HATA N SAWA NA KUFUNIKA MOTO KWA KUTUMIA NGUO
Hebu nikuoneshe stendi inayojengwa ramani yake utaamini
035799f71939fa97cdc8a25025d080f5.jpg
60f106160f90f45a0cf408319cf8c96c.jpg
29c16df1de0afe65edc1020ac8d1a98e.jpg
c19c12ea827492706cfc3e57a49c1fe3.jpg
35bcec81d44e4a6c751fde078054de7a.jpg
2d6f411ff7537900049b2b67afff3823.jpg
85487d9b890c6d242d4488391ef8e69d.jpg
f4a3ad776b36fb0a207f5686ffe83bae.jpg
50e7575c2f7890649cd20bd59b26c4db.jpg
hii stendi inajengwa kwa own source ya ndani ya mji sio mkopo kama yenu ujenzi unaendelea
d4b01780729418038628c6966880f68a.jpg
eed240e91c2de4f4abf97e04736862d8.jpg
87f67a805a1b8c858e5d6309ae8c4f2e.jpg
0fcfaa638940d87271b20ebb14cbec46.jpg
 
Unavyofikiria sivyo mji Wa bukoba una kilometa za mraba 90 huku moshi ikiwa na 59 hivyo kiukubwa bukoba ni kubwa kuliko moshi. Kwa location bukoba iko location nzuri ukizingatia imepakana na Uganda. Rwanda,Burundi, na Kenya kupitia ziwani,kimzunguko Wa pesa ni mkubwa hasa uwepo Wa bandari, nchi nyingi zilizozunguka,vyuo vingi saut,jocuko,katoke,na open.pia viwanda ni vingi tanika,bunena water,Victoria chalks,vicfish,chai yetu,asilia water,Kabanga water, Mali juice,viwanda vya mafuta ya kujipaka,kagera sugar,viwanda vya maziwa,na balimi,.tena bk IPO katikati ya mwanza na mtukula ambayo miji kuna masoko ya Africa mashariki,biachara ya ndizi ndo usiseme watu ni wengi na bukoba bado INA sehemu kubwa ya kujenga nyumba kuliko moshi ambayo imebanwa na vijiji. Nakushangaa usemapo moshi itangazwe jiji ?
Kumbe jawabu ulikuwa nalo?
 
1_kutokuweka picha hakubadilishi ukweli
2_n kichaa pekee anaweza fananisha mji msafi kuliko yote tz na uliopangiliwa vyema moshi na huko uchochoroni bukoba ambako n vumbi Tupu hadi stand kuu n vumbi
3_mji wa bukoba hauna daladala
4_hizo picha za vigofu mnavyopost nawacheka tu moshi mihotel ya nyota tano telee gorofa had I 15 nawachora tu maana najua nyie n watu wa sifa ukiwa na milion unaesza sema una bilion
5_mji wa moshi una sifa zote za kuwa jiji isipokua kigezo cha ukubwa tu,bukoba imefeli vigezo karibu kumi vya kuwa jiji
Weka picha, sio unabwabwaja kama mfereji wa maji taka weka ushaidi. Hakuna hats mmoja aliyeweza kupiga picha ya kuonyesha sehemu ya Maana. Maneno mengi kama wanawake wa kizaramo
 
Weka picha, sio unabwabwaja kama mfereji wa maji taka weka ushaidi. Hakuna hats mmoja aliyeweza kupiga picha ya kuonyesha sehemu ya Maana. Maneno mengi kama wanawake wa kizaramo
mkuu huku tulishawamaliza wamekimbia na kwenda kuanzisha nyuzi nyingine huko et bk inazidiwa na biharamulo!!!!
 
Ngoja niwape vyombo hii ni walkguard hotel bukoba ipo mlimani km 3 toka mjini
ea20701f16dbe36614d4835b5530f354.jpg
5391a88d9d4633489b2ed6bf5c6a1170.jpg
3cee6b1f13d4c891c443fc05046f95b6.jpg
b3b87d7f10eaebf131c761a26fed76e0.jpg
f2e18d6ee247e3a309259d5e4c0119f1.jpg
 
Hii transit hotel IPO miembeni mjini kati bukoba
e024ae81bd909dfae0fd55483dec996c.jpg
 
Kwa wanaopenda beach kabuwara beach na Miami beach zinakuhusu bukoba moja
cda6f162c1c0e66bfcbe67712657193a.jpg
e55b7fb3f862cf3d361ae33d35e2776d.jpg
616cfe5ac1c19839b5aeb3316a3606ee.jpg
7a7674804214745e26f575aaf2bd1604.jpg
41063b6a8a6ad5ba7b1bdf58364fff66.jpg
15e6fdce0812f339ff233a80b79b0900.jpg
4458a091f788f10a999c61219812fcd7.jpg
33eb9296152045c2ec8db659c80d5716.jpg
6b9b1b163f05ceb9276d7349c2fa3012.jpg
 
Wengi wanaitharau bk kwa sababu ushabiki na chuki tu ila bukoba inaizidi songa mbele hii ni bikaijampola hotel imefunguliwa juzijuzi
5bdb807b2a715a1b719d5b644a995b0e.jpg
f142c17e6fa2100db316a7460c36496f.jpg
6f44ea6d8f1a331a25528d1f65adc3f2.jpg
5f09ee79d7053fc3fed0aed4ceb5b4d7.jpg
1a8d65321c354f8f848c1fb8f9891b62.jpg
38579d40f305eea5134f1bc00613d329.jpg
c2cc3610b501dcedc6e8ae77cc6f562f.jpg
0ab52bc1e07d2baf8c07a8458f21d207.jpg
4559bc131f66fb2d8da5c973ed937ac0.jpg
70f29f099328a3cd3d07ac41721f02c3.jpg
e6e69ea44fbbb01c2f746b21272c6d8a.jpg
421933a6406408f2e61b9c23aec1b368.jpg
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom