jenerali kibibi
JF-Expert Member
- Nov 27, 2017
- 1,167
- 630
mnatuumbua kwa hizo picha za gest za vyumba vitatu .mlivyojenga kwa msaada wa rambirambi?Mlituchokoza kwa kuanzisha nyuzi kuiponda bk sasa tunawaumbua endeleeni tu kutuchokonoa mtaaibika ile mbaya shida bukoba ni mbali hivyo wengi wanaiskia tu na sasa hawaamini wanachokiona wanaishia kusema moshi siyo ya kufananisha na vitu vya hovyo ambayo havijulikani kweli mapovu yanawatoka
mnachekesha nyie n washamba tunawachora tu