Thread Is not about iringa unakutupuka sasa
Ngoja waje wahusika na mapicha usikimbie tuWenzio wametuwekea picha kabisa za bukoba!
Tupe evidence sio maneno tu
Moshi haiwezi kuitangulia bukoba kuwa jiji bukoba inaizidi moshi eneo na watu mbali sanaBukoba na moshi ni miji tofauti sana. Fananisha Bukoba, musoma, kigoma, sumbawanga, songea, shinyanga, singida. Fananisha Moshi, Morogoro, dodoma, Iringa. Then Njombe, Babati, Geita, Mpanda, lindi. Halafu Dar, Mwanza, mbeya, arusha, Tanga. Kwa mlinganyo huu Sawa. Moshi ni manispaa inayoelekea kuwa jiji wakati Bukoba ni manispaa ambayo bado ina harufu ya halmashauri ya mji.
harufu ya ukabila naionaSiku hizi ukitaka umaarufu Jf lazima ufananishe Kaskazini(Moshi au Arusha) na vijikitu vya ajabu ajabu.
Embu pambaneni na vimji vyenu bhana.
Sasa mbona mnasema itakuwa jiji bukoba hamuijui shidaView attachment 451165 View attachment 451183 View attachment 451185 View attachment 451188 View attachment 451191
Ngoja tuwasaidie, ni mji mdogo lakini ni pasafi