Bukoba vs Moshi

Bukoba vs Moshi

Status
Not open for further replies.
Moshi town
d6b1294d8f144c65871c7f9f32f8e107.jpg
69b964f236ae5fd5aa7b79524d134f81.jpg
49a39282da959fcce7bdc74e4e8d2a16.jpg
91de823d42c5d90882fddbdd5239d2ee.jpg
b5fb9436cabddee8ca0510acee742949.jpg
 
Bukoba na moshi ni miji tofauti sana. Fananisha Bukoba, musoma, kigoma, sumbawanga, songea, shinyanga, singida. Fananisha Moshi, Morogoro, dodoma, Iringa. Then Njombe, Babati, Geita, Mpanda, lindi. Halafu Dar, Mwanza, mbeya, arusha, Tanga. Kwa mlinganyo huu Sawa. Moshi ni manispaa inayoelekea kuwa jiji wakati Bukoba ni manispaa ambayo bado ina harufu ya halmashauri ya mji.
Moshi haiwezi kuitangulia bukoba kuwa jiji bukoba inaizidi moshi eneo na watu mbali sana
 
Jamani ebu msikinganishe moshi na bukoba ata kidogo.Moshi ni level nyingine papo juu sana.Kabla ujajilinganisha na moshi ebu angalia kama umeweza kuifikia morogoro,Dodoma,iringa,kahama etc kwanza.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom