Boss anajua siku zangu za period

Boss anajua siku zangu za period

ningekuwa na harufu nisingeuliza halafu kama ushazoea kula k mbovu usidahini wote tupo hivo watu tuna k zenye ubora babu
Ni kweli ina ubora ndio maana mzee anaitaka hebu mpe usimpe wkt mgumu hv unadhani anavyokuambia upo kwenye siku zako ubadhani anamaanisha nn!!! kama sio kwamba zikiisha anahitaji gegedo
 
Kuna kitu kinaendelea kati yako na bosi wako......
 
Mimi ni secretary boss wangu ni mzee sana anajiheshimu sana sana ana miaka 55 hivi
kila nikiwa period anajua ,ananiuliza inabidi tu nikubali
naona aibu sana mwanaume anajua nipo period nifanyeje jamani ,na kwanini ananiulizaga?
Mkuu huyo bado ananguvu amakuliatiming mgunga uliwe na ndege
 
Inaelekea umefurahia sana bosi kukujua kiundani
 
ananiuliza tu mfano mbona umechoka upo period? au nikimwambia naumwa atauliza tu upo period halafu unakuta kweli nipo period
ahahah ngoja na mimi nianze kumuuliza work mate wangu ofisini nione reaction yake..! kisha nitakupa jibu
 
Mbona unaona kama kuwa kwenye siku zako n jambo la siri saaaana au n jambo kubwa saaaaana yaani mmeiweka kwamba n kitu kikubwa sana yaani, hv kuwa na mimba na kuwa kwenye siku kipi kinaleta kaaibu fulani au n kipi ambacho ukiwa nacho unaona kaaibu fulani mbele za watu
Ni jambo la siri ndio, something too personal, kama ndo mie mtu tunaheshimiana nawaza ndo boss aniulize mambo ya period yangu ningemmind labda kama nimemuweka kwenye target ndo ntamuacha.
 
si anakumbuka alvoomba mzgo ukasema uko period baada ya cku kadhaa ukampa kwahyo ameshka mzunguko wako
 
Kwa mila na desturi, mwanamke akiwa kwenye siku zake si msafi, kuna wanaume hawawezi kula chakula ulichopika akijua uko kwenye siku zako. Hizi ndiyo sababu zinatufanya tuiweke iwe siri kubwa.
Unajua siri n kitu ambacho hakijulikani kama kipo au unacho au kinakupata ndio maana ya siri sasa huwezi kusema n siri wkt ukiwa kwenye siku zako tunajua hata ukiwa msafi vipi labda kwa wale wanawake ambao wakiwa kwenye siju zao hawaumwi hao n ngumu kuwajua ila kama ukiwa unaumwa tunajua fasta sana hata wewe naona leo unakaribia kuingia kwenye siku zako bila shaka
 
Ni jambo la siri ndio, something too personal, kama ndo mie mtu tunaheshimiana nawaza ndo boss aniulize mambo ya period yangu ningemmind labda kama nimemuweka kwenye target ndo ntamuacha.
Inawezekana huyo miss nafafuta akiwa kwenye siku zake anaomba ruhusa kwenda home na anasema labda anajisikia vby ndio maana bosi anamuuliza ila kama n hv hv hawezi kumuuliza na kama anamuuliza wakiwa wawili ofisini basi bosi anakuwa na lake jambo
 
Miaka 55 uzoefu...harufu...kujua behaviour sio issue. Ila what is wrong with period to feel ashamed about it?
 
Mbona kama una mpa nafasi akuzowee? aliazaje mpaka afike huko kote? alikuonananini? unaumwa sanaaa au ?
Mie ningemkata jicho asinge rudia tena kuuliza na mijicho yangu hii mikubwa angejuta kaniulizia nini...
Sasa mwenzio bado anatafuta, na wewe hujui umpende nani kwani wapo wengi! mimi sijaona tofauti yenu wote wawili!!!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom