Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 58,639
- 220,418
Mmmhhh. ok wewe ndiye unajua bwana.siwezi kummind ananisaidia mambo mengi sana huyu mzee .
Mmmhhh. ok wewe ndiye unajua bwana.siwezi kummind ananisaidia mambo mengi sana huyu mzee .
huko hana shida tena nanataka nikaishi kwake basi tu sitakiMlie timing huyo, promotion nje nje na nyingeza za mishahara!
Anajilengesha.
ananipenda tu kama binti yake tena anataka nikaishi kwakesi ndio mnawapenda,,, eti wanajua kulea,,,,, mpe kabisa..
Kikawaida m/ke anapokaribia ama anapokuwa kwenye period huwa kuna dalili anazionesha so hienda mzee kaisha kusoma[emoji23] [emoji23] [emoji23]Mimi ni secretary boss wangu ni mzee sana anajiheshimu sana sana ana miaka 55 hivi
kila nikiwa period anajua ,ananiuliza inabidi tu nikubali
naona aibu sana mwanaume anajua nipo period nifanyeje jamani ,na kwanini ananiulizaga?
Huyo sawa sawa na baba yako mzazi, si vibaya akikujua
ahahaaaaa hakuna bnaSecretary ni mke wa boss.
Ukipenda bwana.ahahaaaaa hakuna bna
sipendi maswali yake ila sina jinsi ndo kaniweka mjiniKwa hali ya kawaida ungeweza kumfungulia kesi ya sexual harassment, hayo maswali ni very personal mtu anaetakiwa kuyajua ni yule mnaeshare private parts tu.
kwanini anisome?Kikawaida m/ke anapokaribia ama anapokuwa kwenye period huwa kuna dalili anazionesha so hienda mzee kaisha kusoma[emoji23] [emoji23] [emoji23]
huko hana shida tena nanataka nikaishi kwake basi tu sitaki
Inavyoelekea wameshapita hiyostage.Anakutaka huyo,