Boss anajua siku zangu za period

Boss anajua siku zangu za period

inasemekana mwanamke anapokuwa ktk hiyo hali joto la mwili huwa lipo juu yamkini unapompa mkono kumsalimia huwa anahisi joto fulani kwenye mikono yako ndo maana huwa anakuambia
 
MWANAMKE YEYOTE AKIWA PERIOD ANAJULIKANA
Sio wote..huyu ukute akiwa mp anajilegeza...au anaumwa na kutojikaza....au anapenda kujiangalia angalia nyuma...au siku za mp anakua hayuko smartk km normal days...watu tumekaa na mama zetu na sikubali ajue km niko mp...nikiumwa najikaza..km ni tumbo nitasingizia naumwa kichwa...pedi ht haioni....sasa wengine mpk pedi analishika anapita nalo sebulen mmh
Kwakifupi i hate mtu ajue niko mp isipokua husby haizuiliiki
 
Sio wote..huyu ukute akiwa mp anajilegeza...au anaumwa na kutojikaza....au anapenda kujiangalia angalia nyuma...au siku za mp anakua hayuko smartk km normal days...watu tumekaa na mama zetu na sikubali ajue km niko mp...nikiumwa najikaza..km ni tumbo nitasingizia naumwa kichwa...pedi ht haioni....sasa wengine mpk pedi analishika anapita nalo sebulen mmh
Kwakifupi i hate mtu ajue niko mp isipokua husby haizuiliiki
mie hata ukisingizia kichwa bado ntakujua tu
 
Sanyingine periods zina mood labda anahakikisha ili moods zako zikichange awe anajua sababu
 
Sio wote..huyu ukute akiwa mp anajilegeza...au anaumwa na kutojikaza....au anapenda kujiangalia angalia nyuma...au siku za mp anakua hayuko smartk km normal days...watu tumekaa na mama zetu na sikubali ajue km niko mp...nikiumwa najikaza..km ni tumbo nitasingizia naumwa kichwa...pedi ht haioni....sasa wengine mpk pedi analishika anapita nalo sebulen mmh
Kwakifupi i hate mtu ajue niko mp isipokua husby haizuiliiki
Duh!weye kweli tofali nimekukubali wenzio wengi kama ulivyosema inakuwa mpaka kero upande wetu wanamume yaani ikifika unajua shughuli unayo hekaheka sio mchezo sasa weye umejipambanua uzuri kabisa nakupongeza.
 
Duh!weye kweli tofali nimekukubali wenzio wengi kama ulivyosema inakuwa mpaka kero upande wetu wanamume yaani ikifika unajua shughuli unayo hekaheka sio mchezo sasa weye umejipambanua uzuri kabisa nakupongeza.
Kuna watu nimesoma nao..nimeishi nao wengine kazini...yn kuwatarifu watu yuko mp haoni shida...kuna mmoja ofisin aliniacha hoi mdada mkubwa kabisaaa wa 1981 katoka kubadili pedi (toilet hamna dustin ipo nje ya mlango wa choo) badala aende kwa dustin moja kwa moja..katukuta kuna issue tunadiscuss ofisin (next to toilet)kaja na pedi lake mkononi liko kwa cover ya pink isssshhhhh yn i had to tell her plzzzzz....ingawa sikatai kuna watu ikifika mp ataumwa mpk achomwe sindano ndio apone..but wengine mmh
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom