Boss anajua siku zangu za period

Boss anajua siku zangu za period

Teh teh teeeh!! Mambo gani sasa haya!
 
Inaelekea uko careless kiasi kwamba unajulikana. Kimaadili mzunguko wako wa mwezi huwa ni siri kubwa kwa mwanamke. Mwanamke well behaved and mannered anatunza sana kutokujulikana kwa MP yake. Kama umeolewa ni mume pekee atafahamu na si vinginevyo. Sema tu na siku hizi mapenzi kabla ya ndoa ni utamaduni hivyo na mpenzi wako anajua. Uzoefu wetu enzi hizo huwezi kabisa kugundua Rafiki au mchumba akiwa MP. Maadili yameshuka mno na ndoa zimegeuka talaka, matengano, uzinzi n.k.
 
Kwani yeye ameonesha dalili za kukutaka? Kuwa period cyo dhambi anataka kukusaidia tu ila wewe hisia zako ndo znakupeleka kwingine
 
Mimi ni secretary boss wangu ni mzee sana anajiheshimu sana sana ana miaka 55 hivi
kila nikiwa period anajua ,ananiuliza inabidi tu nikubali
naona aibu sana mwanaume anajua nipo period nifanyeje jamani ,na kwanini ananiulizaga?
Huyo anataka kwako kwangu, kwako kwangu, kwako kwangu,
kwako kwangu, kwako kwangu, kwako kwangu, kwako kwangu, kwako kwangu, kwako kwangu, kwako kwangu, kwako kwangu, kwako kwangu, kwako kwangu, kwako kwangu, kwako kwangu, kwako kwangu, kwako kwangu, kwako kwangu, kwako kwangu, kwako kwangu, kwako kwangu, kwako kwangu, kwako kwangu, kwako kwangu, kwako kwangu, kwako kwangu, kwako kwangu, kwako kwangu, kwako kwangu, kwako kwangu, kwako kwangu, kwako kwangu, kwako kwangu, kwako kwangu, kwako kwangu, kwako kwangu, kwako kwangu, kwako kwangu, kwako kwangu, kwako kwangu, kwako kwangu, kwako kwangu, kwako kwangu, kwako kwangu, kwako kwangu, kwako kwangu, kwako kwangu, kwako kwangu, kwako kwangu, kwako kwangu, kwako kwangu, kwako kwangu, kwako kwangu, kwako kwangu, kwako kwangu, kwako kwangu, kwako kwangu, kwako kwangu, kwako kwangu, kwako kwangu, kwako kwangu, kwako kwangu, kwako kwangu, kwako kwangu, kwako kwangu, kwako kwangu, kwako kwangu, kwako kwangu, kwako kwangu, kwako kwangu,



NADHANI UMENIELEWA
 
Masikini wadada,kuna mmoja alikuja wiki zilizopita aiseee kumbe kaanzia njiani.Alifika kwangu duuu sijui ingekuwaje maji yasingekuwepo.
 
Mimi ni secretary boss wangu ni mzee sana anajiheshimu sana sana ana miaka 55 hivi
kila nikiwa period anajua ,ananiuliza inabidi tu nikubali
naona aibu sana mwanaume anajua nipo period nifanyeje jamani ,na kwanini ananiulizaga?
Ukiona hivyo mmesha-cross line!
 
Mwanzo wa ngoma ni lele mama....kifuatacho ni 'leo umevaa ya rangi gani?'
 
Ila mleta mada naye uum. Siku kadhaa nyuma alileta uzi anatafuta mtu (kama sikosei). Leo oh bosi sijui anamuuliza nini.
...na ukienda kwenye ndumba yumo, sasa sijui kundi gani anafit zaidi!
 
Inawezekana anakuona kama binti yake, kuwa tu mwangalifu weka mipaka katika uhusiano, vingine akikuuliza unambadilikia usoni na unamuuliza anamaanisha nini?
Mpaka kumjibu juwa anapenda kuulizwa na yeye. Angekuwa anachukia angemchenjia toka siku ya kwanza. Anachotaka hapa si ushauri kuhusu swali la boss la siku zake za mwezi anachotaka ni go ahead kuwa huyo fataki anamtaka kimapenzi na yeye akubali maana ndani nafsi yake keshakubali akivuta picha maisha mazuri ya kuwa mchepuko wa boss.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom