Boss anajua siku zangu za period

Boss anajua siku zangu za period

Mimi ni secretary boss wangu ni mzee sana anajiheshimu sana sana ana miaka 55 hivi
kila nikiwa period anajua ,ananiuliza inabidi tu nikubali
naona aibu sana mwanaume anajua nipo period nifanyeje jamani ,na kwanini ananiulizaga?
Si ulimwambia mwenyewe!!!!! Umenikumbusha kuna mshikaj wangu alikuwa shamba boy sasa baadae akaenda kijijin kwao akaoa mke akamleta pale pale alipokuwa anafanyia kazi kwa bosi wake.......Binti baadae akawa kibur kwa mumewe kila jamaa akifanya kosa binti anamsemea kwa bosi wake,jamaa akamuonya demu ila hakusikia ....Sasa kuna siku bos wake NA jamaa akampa kaz mshikaj ambazo siku zote zinafanywa NA demu ..Alipouliza kwa bos akamwambia mke wako yuko hedhi....Jamaa aliumia sana akakaa miez miwili akamrudisha demu kwao Kigoma akamwacha rasmi.....Baada kama WK moja bos akamtumia dem nauli akarud bila jamaa kufahamu .....Mpaka Leo demu ni mfanyakaz wa ndan pale NA mshikaj aliachaga kazi NA kuhama.
 
Mimi ni secretary boss wangu ni mzee sana anajiheshimu sana sana ana miaka 55 hivi
kila nikiwa period anajua ,ananiuliza inabidi tu nikubali
naona aibu sana mwanaume anajua nipo period nifanyeje jamani ,na kwanini ananiulizaga?
Acha ujinga fanya Kazi, huwezi kumkataza mtu kujua siku zako za hedhi wakati zinahesabika tu kirahisi!
 
Ata km ndiye anayekuweka mjini lkn hilo swali sio sahihi kwa mtu km boss tena kwa mfanyakazi wake. Ata km anakuchukulia km binti yake ni swali gani hilo la baba kwa binti. Labda mm mshamba lkn baba yg hawez na hatokuja kuniulza swali km hilo.
Uyo mzee hajiheshimu n mtakua na vitu beyond usecretary n uboss
 
watu wazma wanajua tu hasahasa ukilalamika tumbo na ukiwa huna furaha kila kipind flan ana note seh
 
Mh! Ni shidaaa labda ungesema unaumwaga sana tumbo mpka ananua ila hvihvi mh!
 
kwanini anisome?
Upo karibu sana na mahali anapofanyia kazi, unapotoa ishara za piriod hua anahisi hujui hivyo anaokopa usoje siku moja ukamchafulia ofisi, pia anajaribu kukulinda ili ikitokea hata ukapatwa na yale maudhi madogomadogo ajue namna ya kuyatatua

After low jichunguze yawezekana unakua na harufu kali sana kama za swala, hivyo wengine husikia ila huwa hawapendi kukwambia kuokpa usijejisikia vibaya
 
MWANAMKE YEYOTE AKIWA PERIOD ANAJULIKANA
Tatizo sio kujulikana tatizo ni pale baba mtu mzima sio mpenzi wako anakuuliza habari za MP wallah lazima ujifikirie Mara mbili mbili, kuna vitu vingine ni vya heshma japo si vya ajabu
 
Mbona kama una mpa nafasi akuzowee? aliazaje mpaka afike huko kote? alikuonananini? unaumwa sanaaa au ?
Mie ningemkata jicho asinge rudia tena kuuliza na mijicho yangu hii mikubwa angejuta kaniulizia nini...
Huenda ndoo ungemvutia zaidi[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Ilo swali umeuliza humu unahisi na boss wako ni member jf au??
 
siwezi kummind ananisaidia mambo mengi sana huyu mzee .
Hapa kuna walakini, sijui labda tumefunzwa tofauti ila mwanamke akiwa Mp ni jambo la siri na la kuhitaji kuheshimiwa, tangu nikue sijawahi ambiwa na mwanaume umri saw a na baba yangu maneno hayo ambayo wewe unasema huwez Ku mind, only my husband only him
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom