Bongo Star Search Season 16 Special Thread

Bongo Star Search Season 16 Special Thread

šŸ¤
H kweli wamezingua, at least bc ht wangemuweka watatu
Hii chuki tuliiona toka mwanzo


Mimi nilijua kabisa hatapewa ushindi kwa sababu ya utaifa wake (Congo)
Kwa Sababu mwaka jana alishinda mshindi From Congo.
Ila pia leo aliongeza sababu ya kutokushinda kwa kukosea kuchagua nyimbo sahihi.

Lakini hili la kumuweka Mshindi wa 4 ni chuki za waziwazi mnoooo.
 
Ni waongo
Hata washiriki wa BSS mwakajana mshindi wa 1&2 Diamond aliahidi kuwasaini ila hadi holaaa

Mwaka huu akarudi na porojo kuwa anataka amsaini Joshua Gully from Congo.
Mshindi wa pili Saluh wa BSS yupo Wasafi na ndio back vocal wa tour ya Retro yake Diamond namuona sana sema Wasafi Wana utaratibu wao wakitoa msanii wanakuandaa then wanakutoa kama ilivyokuwa kwa Zuchu kasota pale Wasafi miaka 4 mpaka kuja kutolewa
 
ila mshindi wa kwanza apate 50m na gari na nini sijui
alafu mshindi wa pili milioni 5 aiseee
Mwaka jana mshindi wa 1 alipata Milioni 20
Wa 2 alipata Milioni 3
Wa Tatu alipata Milioni 1
Wa 4 na 5 walipata kilo 60 za Bwana sukari.
Yaani unamuweka mtoto wa watu 3 months afu unampa Bwana sukari.
Wa 6 Hadi nane ndio waliwapa Asante kwa kushiriki.

Hizi zawadi hazipo kuwabeba na kuendeleza future ya mshindi wa 2 Hadi 10.
Zipo kumbeba na kuendeleza mtu mmoja tu.
 
Mwaka jana mshindi wa 1 alipata Milioni 20
Wa 2 alipata Milioni 3
Wa Tatu alipata Milioni 1
Wa 4 na 5 walipata kilo 60 za Bwana sukari.
Yaani unamuweka mtoto wa watu 3 months afu unampa Bwana sukari.
Wa 6 Hadi nane ndio waliwapa Asante kwa kushiriki.

Hizi zawadi hazipo kuwabeba na kuendeleza future ya mshindi wa 2 Hadi 10.
Zipo kumbeba na kuendeleza mtu mmoja tu.
yaani inaboa sana 🤣🤣
 
Mwaka jana mshindi wa 1 alipata Milioni 20
Wa 2 alipata Milioni 3
Wa Tatu alipata Milioni 1
Wa 4 na 5 walipata kilo 60 za Bwana sukari.
Yaani unamuweka mtoto wa watu 3 months afu unampa Bwana sukari.
Wa 6 Hadi nane ndio waliwapa Asante kwa kushiriki.

Hizi zawadi hazipo kuwabeba na kuendeleza future ya mshindi wa 2 Hadi 10.
Zipo kumbeba na kuendeleza mtu mmoja tu.
Mimi sikuhizi siangaliag huo ujinga Kuna ubabaishaji hapo
 
Mshindi wa pili Saluh wa BSS yupo Wasafi na ndio back vocal wa tour ya Retro yake Diamond namuona sana sema Wasafi Wana utaratibu wao wakitoa msanii wanakuandaa then wanakutoa kama ilivyokuwa kwa Zuchu kasota pale Wasafi miaka 4 mpaka kuja kutolewa
Kama ametimiza ahadi basi afadhali
 
Back
Top Bottom