Nyimbo za watu alikua anaimba huku kachangamka ya kwake kasimama kama mlingotiWabongo kwa kutia maboko 🙌
Huyu shaira cjui shaila, c alishamaliza nafasi yake, vp tena wanamrudisha kuperform
C bora wangemuweka wa mwisho hukooo aimbe huku watu wanaondoka
Nyimbo yenyewe baya 😂
Class ya huo wimbo imezagaa tu mtaani, anatakiwa kukaza sio kufanya kama wengine.Wabongo kwa kutia maboko 🙌
Huyu shaira cjui shaila, c alishamaliza nafasi yake, vp tena wanamrudisha kuperform
C bora wangemuweka wa mwisho hukooo aimbe huku watu wanaondoka
Nyimbo yenyewe baya 😂
Kwasababu upimaji ni subjective. Unakua sahihi pia kusema hivyo.Hawajamzidi, ila wimbo si maarufu.
Kwanza kwa huo wimbo, nazidi kuelewa kwanini sio mshindi. Ila nazidi kupata shida na alichokiona Abbah kama kuna kingine zaidi ya hilo tākoNyimbo za watu alikua anaimba huku kachangamka ya kwake kasimama kama mlingoti
She's goodAbbah sasa ajitahidi kumjenga Sheridah, atatoboa maana pia sio mbaya kihivyo. Uwezo anao. Akiweka bidii atatoboa.
All the best kwake ❤️❤️
Praise n pure singer, huyu demu n mburudishaji kwa maneno, tofauti na wengine wanaweza na kuchangamsha.Kwasababu upimaji ni subjective. Unakuakua sahihi pia kusema hivyo.
Binafsi wimbo huu haujanionesha kipaji chake ninachokijua. Na kama angekua anafanya ivi hatua zote, sidhani kama angefika huku
Tupo pamoja! So fire alitakiwa kushindana na Praise ila kutofata maelekezo kumemfanya ashuke.1. Praise
2. Freya
3. Sofia
OH kama n hv bc safi, japokuwa sioni future kwake.She's good
Anajua basics za muziki maana amepita hadi THT
Waichagua kigezo kwa kigezo cha kuimbaPraise n pure singer, huyu demu n mburudishaji kwa maneno, tofauti na wengine wanaweza na kuchangamsha.
Ndo mana kuna comment yangu nimesema, mshindi akichaguliwa kwa kigezo cha kujua kuimba tuu, bc praise anashinda hii mchana kweupe, ila wakise waangalie kuimba na kuchangamsha bc anaweza kushinda so fire.
Kabisa. Anakuwa mtamu aliumba na kurap, tena rap ya taratibu. Sasa yeye kakomaa na rap kelele.Tupo pamoja! So fire alitakiwa kushindana na Praise ila kutofata maelekezo kumemfanya ashuke.
Aliambiwa fanya rap huku unaimba ila kakazania kurap tupu ila huwa anakua wa moto akimix
Hajui kuchagua nyimboTupo pamoja! So fire alitakiwa kushindana na Praise ila kutofata maelekezo kumemfanya ashuke.
Aliambiwa fanya rap huku unaimba ila kakazania kurap tupu ila huwa anakua wa moto akimix
Yah so fire n rahisi kumu-win mana yeye yupo na style moja tuu, anyway anajua kuwainua watuTupo pamoja! So fire alitakiwa kushindana na Praise ila kutofata maelekezo kumemfanya ashuke.
Aliambiwa fanya rap huku unaimba ila kakazania kurap tupu ila huwa anakua wa moto akimix
Dah 😂Sasa yeye kakomaa na rap kelele.