Bongo Star Search Season 16 Special Thread

Bongo Star Search Season 16 Special Thread

OH kama n hv bc safi, japokuwa sioni future kwake.

Ila kumanage mwanamke kimuziki sio kazi ya kitoto, Abbah ana kazi kubwa sana kwake, wakike n mwepesi sana kutoka kwenye reli.

Maybe kwakuwa amepitia THT anaweza kusogea mbele.
Ana nidhamu pia
Na ana kiu ya kufika mbali
Amepambana sana
 
Praise n pure singer, huyu demu n mburudishaji kwa maneno, tofauti na wengine wanaweza na kuchangamsha.

Ndo mana kuna comment yangu nimesema, mshindi akichaguliwa kwa kigezo cha kujua kuimba tuu, bc praise anashinda hii mchana kweupe, ila wakise waangalie kuimba na kuchangamsha bc anaweza kushinda so fire.
Mimi nikiamua kumpa yeye, ni kwasababu kwa umri wake ameshindana na walinolewa kwenye umri na maisha na bado ameonekana, hawajamficha.

Ila ukiniambia nichukue kipaji kilicho tayari kiuimbaji, namchukua Freya. Ila naona dalili zote zakupewa praise.
 
Ana nidhamu pia
Na ana kiu ya kufika mbali
Amepambana sana
Kwenye Muziki kikubwa ni nidhamu na Ubunifu. Staili ya wimbo wake ni failure, ni staili ile ya majaribio ya waimba taarabu Kuimba bongo fleva, haikufua dafu.
Aivishe vionjo vya Kisasa kuipendezesha.
 
Mimi nikiamua kumpa yeye, ni kwasababu kwa umri wake ameshindana na walinolewa kwenye umri na maisha na bado ameonekana, hawajamficha.

Ila ukiniambia nichukue kipaji kilicho tayari kiuimbaji, namchukua Freya. Ila naona dalili zote zakupewa praise.
Praise mwenyewe kanolewa sana tu! Huko kwao ni mwanamuziki nina video ya nyimbo yake aliyorecord akiwa na miaka 4
 
Kwenye Muziki kikubwa ni nidhamu na Ubunifu. Staili ya wimbo wake ni failure, ni staili ile ya majaribio ya waimba taarabu Kuimba bongo fleva, haikufua dafu.
Aivishe vionjo vya Kisasa kuipendezesha.
😃😃😃
 
Mimi nikiamua kumpa yeye, ni kwasababu kwa umri wake ameshindana na walinolewa kwenye umri na maisha na bado ameonekana, hawajamficha.

Ila ukiniambia nichukue kipaji kilicho tayari kiuimbaji, namchukua Freya. Ila naona dalili zote zakupewa praise.
Freya amezingua Leo tu uchaguzi wa wimbo, ila kimuziki Yuko Bora kuliko wote. Sema sasa kinachoangaliwa ni alama zao kwa siku ya Leo.
 
Wakichagua kigezo cha selection ya songs
Praise ni Mshindi
Selection ya songs Kwa praise Hii nakataa.

Praise anaimba ngoma ambazo kibongo Bongo sio maarufu au hatuzijui, kinachombeba n English na kujua kuimba.

Na hii ndo inanifanya nimpe namba moja.
 
Waichagua kigezo kwa kigezo cha kuimba
Basi mshindi ni Freya

Wakichagua kigezo cha selection ya songs
Praise ni Mshindi

Wakichagua mshindi Kwa kigezo cha uburudishaji Sophia atashinda

Kwa kigezo cha Sauti nzuri
Samarellah ni Mshindi
Absolutely
Na kama itatumika performance yamwisho tuu, rekodi zisitumike. Huyo mtoto wakiganda hashiki hata namba mbili. Wrong choice of song, kilichomuondoa Gully Joshua
 
Selection ya songs Kwa praise Hii nakataa.

Praise anaimba ngoma ambazo kibongo Bongo sio maarufu au hatuzijui, kinachombeba n English na kujua kuimba.

Na hii ndo inanifanya nimpe namba moja.
Umeyaangalia mashindano toka yameanza?
 
Praise mwenyewe kanolewa sana tu! Huko kwao ni mwanamuziki nina video ya nyimbo yake aliyorecord akiwa na miaka 4
Ah bc huyu ndo mtu sahihi kwa haya mashindano sasa, h ndo tunataka saaa
 
Back
Top Bottom