Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 89,369
- 176,202
Tatizo lako we uko losers side alwayz..Mi na my Douta Heaven Sent ushindi deile
Whaaaaaaaat!! Wapi kwingine unakokuongelea?
Last edited by a moderator:
Tatizo lako we uko losers side alwayz..Mi na my Douta Heaven Sent ushindi deile
Kanishinda tabiaaa
Huu ni mwaka wangu,Yanga walichukua kombe la ligi kuu,Arsenal wakabeba makombe,Yanga ikaifunga Simba,Arsenal ikaifunga Man U...
Kayumba kashinda bado Lowassa nifunge mwaka.
Happyyyyyyyy......
kwani wewe ndo GYETAMCINE
huyo dogo anatoka Shinyanga?
Huu ni mwaka wangu,Yanga walichukua kombe la ligi kuu,Arsenal wakabeba makombe,Yanga ikaifunga Simba,Arsenal ikaifunga Man U...
Kayumba kashinda bado Lowassa nifunge mwaka.
Happyyyyyyyy......
Teh teh..nikikukuta ntakwambia
Huyu Kayumba atakuwa kama Jumanne Idd
Unaweza kwenda kulala sasa..Mana utaanza kusifia hapa mpaka tukosane
Khaaa yote nimekubali ila hapo pa man u kufungwa roho imeniuma Sana umenikumbusha machungu
cc GentamycinUtabiri Wangu Umetimia Kuwa KAYUMBA JUMA a.k.a Dr. MAGUFULI Ataibuka Mshindi Rasmi Wa BSS Na Kweli Imekuwa Hivyo Baada Ya KUMGARAGAZA Vibaya Mno FONABO a.k.a LOWASSA. Sasa Hakuna Tena UBISHI Kuwa Dr. John Pombe Joseph Magufuli Ndiyo Atakuwa Mshindi Wa Urais Hapo Tarehe 25, October 2015. Sijui Ni Kwanini au Nina KARAMA Gani Mwenyezi Mungu AMENITUNUKU Kwani KILA NIKITABIRI au NIKIBASHIRI Jambo au Kitu HUTOKEA au HUWA KWELI 100%. Akhsante Mungu.
Hahaah,dogo anaimba hadi machozi yanakulenga msikilizaji..
Hahahahaaa umekosea ID yake ngoja aje uone atakavyokutukana!
Luv u......
Poa poa..Natangulia chumbani