Bongo star search 2015

Bongo star search 2015

Mi nilichofanya ni kukariri tu majina ya wanaosema kayumba hastahili,amependelewa,ohhhh sijui soon atapotea..Ntawatafuta..Muda utatwambia
Eeh tutakuwa hapa kuwakumbusha mbona. Afu tuassume basi hatotoboa. Hivi tusker project fame mbona ina vipaji vya kufa na washindi huwa wanastahili but ni mshindi yupi aliyetoboa kati yao kina alpha, hope, Ruth, davis etc? Kipaji tu pekee hakitoshi,... nyota, management na mengineyo mengi yanahusika pia. Kila la kheri kwa fonabo pia
 
Unaniumiza roho hapo daddy ukimwacha bella hakuna msanii nayempenda na anayejua kama barnaba boy, sijui nyota ndo tatizo

Barnaba ana full package yule dogo..Na sidhani kama tatizo ni nyota..watu kibao wanamkubari huyu dogo..Nadhani labda kwenye management ndo kuna tatizo..
 
kwani wadhamini ndio waliompa ushindi kayumba au ni watanzania?
Kayumba alikuwa na juhudi tangu siku ya kwanza,angekuwa hajitumi hata mimi nisingemkubali.
Yote kwa yote kayumba ana nyota,watu wengi sana walikuwa wanamkubali mimi mwenyewe nikiwa mmojawapo,haya ya mdhamini hayana mashiko as long as kijana alikuwa na kipaji na bidii.
interest?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom